Mashabiki wa Yanga SC walioenda Rwanda: Kutokujua kwetu Kiingereza kunatupa wakati mgumu hapa Kigali

Mashabiki wa Yanga SC walioenda Rwanda: Kutokujua kwetu Kiingereza kunatupa wakati mgumu hapa Kigali

Sasa sijui Wewe huwa husikilizi Clouds FM inahusiana vipi na Mada ( Hoja ) iliyoko? Halafu nikiwadharau na Kuwaiteni Fools mnachukia.
Wewe habari zako unazipatia clouds, mimi nawajua wanyarwanda wengi tu tene kw muda mrefu.
Labda uniambie wale walioishi Uganda, wanyarwnda kinge bado acha kusikiliza maneno ya redioni. that's entertainment, usiitumie kama ni reseach fulani ya maana.
 
Wewe habari zako unazipatia clouds, mimi nawajua wanyarwanda wengi tu tene kw muda mrefu.
Labda uniambie wale walioishi Uganda, wanyarwnda kinge bado acha kusikiliza maneno ya redioni. that's entertainment, usiitumie kama ni reseach fulani ya maana.
Bladi Fulu.
 
The stupid thread i have never seen before, we are Tanzanian we will speak our natural language everywhere at anytime
Where did you learn this Standard Three English of yours you damn and certified Fool?
 
Matusi ya nini, tunataka hoja na uzalendo wazee, yanga Simba ni watani wa jadi tu matusi sio mwake.
 
Back
Top Bottom