Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.
Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1
Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania. Kwa miaka mi tatu inacheza na
ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.
Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao sio UNACHEZA na zalan, bamako na marumo unajisifu mkubwa, MATUSI, kelele, nk
YANGA SHUGHULI YETU IMEISHIA HAPO.