- Thread starter
- #21
HuendaMatajiri wa Urusi wamekuja kutalii Tanzania wakiwa na nyumba zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HuendaMatajiri wa Urusi wamekuja kutalii Tanzania wakiwa na nyumba zao.
Loliondo nani aligharamia kuwahamishaHao watu wana akili, mahesabu yalishapigwa na kuona faida yake, hawaendi kichwakichwa.
Halafu kuna mwamba mstaafu alikuwa vacation last weekWameniletea toothpick zangu nili zisahau pale Geneva , ukiwa serious Sana utakufa mapema, tazama kwa macho tuu alafu puuzia,🚶🚶🚶🚶
Ndo ushangaeIna maana tbc hawakuwepo hapo kutuelezea tukio hilo la kihstoria ndani ya nchi yetu,daah tbc wangekuwepo kuonyesha live ili tujue movie ya royal tour imeanza kulipa.ila ukiona kimya inawezekana kweli tuulize faru John kama yuko salama huko mbugani
Kwenye keyboard watanzania mnatia huruma sana.Maskini twiga wetu! ☹️ ☹️ ☹️
Ndio maana nasema unatakiwa kuona na kupuuzia kwa sababu hatuna cha kufanya, ukifurukuta Sana utapigwa uhujumu uchumi familia yako ibaki inatesekaHalafu kuna mwamba mstaafu alikuwa vacation last week
Ndio maana nasema unatakiwa kuona na kupuuzia kwa sababu hatuna cha kufanya, ukifurukuta Sana utapigwa uhujumu uchumi familia yako ibaki inateseka
Hapo sasaKia ndio uwanja pekee ulio karibu na mbuga ya Serengeti.
Ni mwendo wa upigaji tu.Dah! Safari hii watakuwa siyo twiga tu waliobebwa! Yaani hapo ni kuanzia swala, tembo, nyati, twiga, nk watakuwa wamebebwa kupelekwa uarabuni.
Kweli kabisa Mkuu. Wiki iliyopita kwenye Hifadhi ya Tarangire eneo la TAWA niliwaona Jamaa wa TAWIRI walikuwa wakiwadaka baadhi ya wanyama pori na kuwapakia kwenye lori lao.Humo itakuwa kama safina ya nuhu,twiga,tembo,swala watakuwa hawako salama