Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Antonov 225,zilitengezwa mbili tu, moja ilikamilika, nyingine bado , iliishia nusu, ukraine hawajawahi kuimalizia,
Iliyokuwa inapiga kazi, ilikua ni moja, nayo warusi waliilipua siku wanavamia ukraine mwaka jana, pale uwanja wa ndege wa Antonov, kiev
1671837011471.png

It was originally developed during the 1980s as an enlarged derivative of the Antonov An-124 airlifter for the express purpose of transporting Buran-class orbiters. On 21 December 1988, the An-225 performed its maiden flight; only a single example was ever completed, although a second airframe with a slightly different configuration was partially built. After a brief period of use supporting the Soviet space program, the aircraft was mothballed during the early 1990s. Towards the turn of the century, it was decided to refurbish the An-225 and reintroduced it for commercial operations, carrying oversized payloads for the operator Antonov Airlines. Multiple announcements were made regarding the potential completion of the second airframe, however its construction has largely remained on hold due to a lack of funding. By 2009, it had reportedly been brought up to 60–70% completion.

 
Nguo na mabegi ambayo yanaweza kubebwa na ndege za kawaida Leo hii yabebwe kwenye hilo dubwana kubwa namna hiyo kwa faida ya nani basi kuna watu wnapesa za kuchezea!

Siku zote madege na meli kubwa huwa tunaoneshwa picha za ndani likija na likiondoka lakini hili dege sijui hata lilikuja limebeba nini na liliondoka limebeba nini mimi sijui!
 
Mwenye Enzi Mungu ibariki Tanzania [emoji1241] na watu na wanyama wetu na rasilimali zetu na ardhi yetu yote walahi
Tulinde na utuongoze daima na milele yote!
Aamina [emoji2972]
 
Mashine inayosifika kwa kuweza kubeba idadi kubwa ya wanyamapori imetua tena Kia sijajua safari hii wataenda wangapi? Ndugu zangu hapo JRO vipi? Mmeiona hiyo chuma?
kuna uwezekano mkubwa wamekuja kubeba wanyama kupeleka uarabuni. lakini hata hivyo, basi tu, ukweli ni kwamba tunao wanyama wengi sana hata wakibeba hawapunguzi kitu, na hata wakipeleka kwao sio kwamba watalii wataisha kuja hapa kwasababu wanyama hapa wapo kwenye asili yao, kule wanapelekwa kuwa kama zoo, na watalii wengi wanapenda kuwaona wanyama katika asili yao. kama mtz sipendi wafanya hivyo lakini hata wakifanya hatuathiriki saaana.
 
Back
Top Bottom