Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Imeisha hiyoKweli kabisa Mkuu. Wiki iliyopita kwenye Hifadhi ya Tarangire eneo la TAWA niliwaona Jamaa wa TAWIRI walikuwa wakiwadaka baadhi ya wanyama pori na kuwapakia kwenye lori lao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeisha hiyoKweli kabisa Mkuu. Wiki iliyopita kwenye Hifadhi ya Tarangire eneo la TAWA niliwaona Jamaa wa TAWIRI walikuwa wakiwadaka baadhi ya wanyama pori na kuwapakia kwenye lori lao.
Oooh aina gani kwenye maroli labda walikuwa wanawapeleka chanjoKweli kabisa Mkuu. Wiki iliyopita kwenye Hifadhi ya Tarangire eneo la TAWA niliwaona Jamaa wa TAWIRI walikuwa wakiwadaka baadhi ya wanyama pori na kuwapakia kwenye lori lao.
Wakikuambia limebeba nini utalia, ni afadhali uyaache maana hata wakikuambia kilichobebwa hakirudi tena!Kuna ndege kubwa sana ilitua na kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro tarehe 22 December!
Labda wataalam mtusaidie kutuambia liliondoka limebeba nini!
HahahahWakikuambia limebeba nini utalia, ni afadhali uyaache maana hata wakikuambia kilichobebwa hakirudi tena!
Ya vikobaMarejesho hayo
Kuna jamaa mmoja juzi kati alikuwa ametinga raba kali akiwa na wa ubavu wake huko Olduvai kwa madai ya kupumzisha akili.Ina maana tbc hawakuwepo hapo kutuelezea tukio hilo la kihstoria ndani ya nchi yetu,daah tbc wangekuwepo kuonyesha live ili tujue movie ya royal tour imeanza kulipa.ila ukiona kimya inawezekana kweli tuulize faru John kama yuko salama huko mbugani
Putin babaUmekosea jina boss
Antonov AN -225, iliyokua ndege kubwa kuliko zote duniani iliharibiwa na Warusi huko Ukraine View attachment 2455560View attachment 2455563Na hakuna nyinginge ilikua moja tuu.
Chanjo[emoji3]Oooh aina gani kwenye maroli labda walikuwa wanawapeleka chanjo
156,000 kg ni kilo 15,000! Shule muhimu ndugu zangu.Kuna ndege kubwa sana ilitua na kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro tarehe 22 December!
Ndege ile ni miongoni mwa madege makubwa matano tu duniani (MAXIMUM S AIR CARGO) inaitwa Antonov AN -225
Dege hilo kama likiamua kubeba watu basi ni wastani wa watu siyo chini ya elfu tatu na zaidi!
Lakini kwakuwa ni la mizigo basi linauwezo wa kubeba kilo elfu kumi na tano (156,000kg)
Gharama ya kuendesha ndege hii inazidi mara kumi na tano (~18) ya gharama za kuendesha ndege ile kubwa kabisa ya Air Tanzania ambayo inakwenda China!
Swali na wasiwasi wangu je hiyo ndege kubwa namna ile inawezaje kuja kutua KIA kwa kubeba vi nguo vya watalii?
Nguo na mabegi ambayo yanaweza kubebwa na ndege za kawaida Leo hii yabebwe kwenye hilo dubwana kubwa namna hiyo kwa faida ya nani basi kuna watu wnapesa za kuchezea!
Siku zote madege na meli kubwa huwa tunaoneshwa picha za ndani likija na likiondoka lakini hili dege sijui hata lilikuja limebeba nini na liliondoka limebeba nini mimi sijui!
Labda wataalam mtusaidie kutuambia liliondoka limebeba nini!
maana hii nisawa na mtu ageuze BUS kuwa TAX halafu tuone kawaida! hata kama jeuri ya pesa Inatia mashaka!
Ukiunganisha na dot za mwamba aliyekuwa anasherekea bezidei mbugani juzikati mashaka yanazidi
View attachment 2455585
View attachment 2455545
Una elimu gani,Lakini kwakuwa ni la mizigo basi linauwezo wa kubeba kilo elfu kumi na tano (156,000kg)
156,000 kg ni kilo 15,00! Shule muhimu ndugu zangu.
Tangazo la Dubai kwenye jengo refu zaidi dunianiKuna ndege kubwa sana ilitua na kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro tarehe 22 December!
Ndege ile ni miongoni mwa madege makubwa matano tu duniani (MAXIMUM S AIR CARGO) inaitwa Antonov AN -225
Dege hilo kama likiamua kubeba watu basi ni wastani wa watu siyo chini ya elfu tatu na zaidi!
Umekonect dot kisawa sawa. Is it a coincidence?Halafu kuna mwamba mstaafu alikuwa vacation last week
DotTangazo la Dubai kwenye jengo refu zaidi duniani
Wasiwasi siyo dhambiAkili za mtu masikini ni kuwaza negative tu Na makasiriko
Darasa la nne mkuu!Una elimu gani,
Bibi na bwanaAta mm nimeiona leo kwa taarifa ya habari,ni ndege kubwa ya cargo..nadhani zipo mbili