Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Wametengeneza safari park hapo Dubai inafanya a copy na Serengeti hadi udongo na vegetation Serengeti kabisa, tafuta Google utaiona
Wazungu huwa wanafuata kitu natural huwa hawapendi vitu artificial kama sisi !! Wanataka wawaone wanyama kwenye asili zao sio kwenye asili fake za kubumba bumba ili mradi machoni panapendeza!! Wazungu hawapo hivyo !!
 
Huu uzi niliusoma mara ya kwanza ulikuwa na picha, nikaichunguza picha nikawa na cha kuongea but sikuongea.

Sasa narudi kuongea, picha haipo. Nilichotaka kuongea picha haina uhalisia ila ni kweli kmmk hawa washenzi wanatupiga.
 
20221226_164759.jpg
 
kuna uwezekano mkubwa wamekuja kubeba wanyama kupeleka uarabuni. lakini hata hivyo, basi tu, ukweli ni kwamba tunao wanyama wengi sana hata wakibeba hawapunguzi kitu, na hata wakipeleka kwao sio kwamba watalii wataisha kuja hapa kwasababu wanyama hapa wapo kwenye asili yao, kule wanapelekwa kuwa kama zoo, na watalii wengi wanapenda kuwaona wanyama katika asili yao. kama mtz sipendi wafanya hivyo lakini hata wakifanya hatuathiriki saaana.
Kuna kaka za dada mkubwa wapo Oman na ni wafanyabiashara mahiri basi tuombe Mungu atunusuru na wanyama wetu kuuzwa kama vitunguu huko!
 
Back
Top Bottom