Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Happy Holidays.
Tarehe 21 mwezi huu kuna dege moja kubwa sana (pichani) lilitua pale KIA na taarifa tulizopata tukaambiwa ilikuja ikashusha mizigo baadaye ikaondoka.
View attachment 2459076


Ndege hii ni maalumu kwa kubeba mizigo mbalimbali yoyote ile, inasemekana kuwa sinmara ya kwanza kuja hapa nchini ila kutokana na taarifa zinazosemwa za uongo ndiyo imepelekea kuleta mshtuko kwa raia wengi.

Kuna kampuni pale KIA inaitwa KADCO ambayo inaonekana ndiyo ilitoa huduma za kutoa huduma zote kuhusiana na ndege hiyo, mkurugenzi wake kaandika barua kujinasua kwa lolote japo kutokana na (barua hii chini) kachemka kwa kusahau dunia ipo kiganjani.
View attachment 2459087

Aliposema "...ndege iliendelea na safari yake kwenda nchi nyingine..."

Wananchi tofauti wamefanya research na kuifuatilia hiyo ndege na kupata data sahihi kuwa, ndege ilipokuja ilipakia mizigo kama si kushusha kisha iliondoka direct to Abu Dhabi, angalia hapo [emoji1484]
View attachment 2459092View attachment 2459093

Kinachoumiza akili na kuwachefua raia ni baadhi ya watendaji kutumia lugha ulagai kwa wenye nchi (japo hawawezi kufanya lolote)

WHY Inatumika nguvu kubwa kupotosha ukweli ambao upo uwani mwa kila mtu?.

Je kama kuna upolaji wa mali za wananchi nani anaweza kutumia nafasi, nguvu nk kuokoa hilo?.

View attachment 2459096

Karibuni kwa mjadara.
Tujadili nini sasa, mbuzi kwy gunia?

Tujadili wanyama hai?, Tanzanite?, mauwa?, wafanyakazi wa ndani?, makinikia?

Mlinzi wa.mipaka ya nchi ni nani? TRA au SUMA JKT?

Kama wanakamata ndege zetu na sisi pia tungejifidia na hiyo.
 
Tatizo jingine la watanzania ni hili hapa.........watu wanakurupuka tu ili mradi tu wawe na chuki na mtu. Kwa vile wana chuki na mama samia, basi hoja inadandiwa tu bila kushirikisha milango ya fahamu. Kwa hali hii, kutoboa sijui!!
 
Mashine inayosifika kwa kuweza kubeba idadi kubwa ya wanyamapori imetua tena Kia sijajua safari hii wataenda wangapi? Ndugu zangu hapo JRO vipi? Mmeiona hiyo chuma?

img-20221226-wa0012-jpg.2458542
👇
Screenshot_20221226-211913.png
 
Happy Holidays.
Tarehe 21 mwezi huu kuna dege moja kubwa sana (pichani) lilitua pale KIA na taarifa tulizopata tukaambiwa ilikuja ikashusha mizigo baadaye ikaondoka.
View attachment 2459076


Ndege hii ni maalumu kwa kubeba mizigo mbalimbali yoyote ile, inasemekana kuwa sinmara ya kwanza kuja hapa nchini ila kutokana na taarifa zinazosemwa za uongo ndiyo imepelekea kuleta mshtuko kwa raia wengi.

Kuna kampuni pale KIA inaitwa KADCO ambayo inaonekana ndiyo ilitoa huduma za kutoa huduma zote kuhusiana na ndege hiyo, mkurugenzi wake kaandika barua kujinasua kwa lolote japo kutokana na (barua hii chini) kachemka kwa kusahau dunia ipo kiganjani.
View attachment 2459087

Aliposema "...ndege iliendelea na safari yake kwenda nchi nyingine..."

Wananchi tofauti wamefanya research na kuifuatilia hiyo ndege na kupata data sahihi kuwa, ndege ilipokuja ilipakia mizigo kama si kushusha kisha iliondoka direct to Abu Dhabi, angalia hapo 👇🏾
View attachment 2459092View attachment 2459093

Kinachoumiza akili na kuwachefua raia ni baadhi ya watendaji kutumia lugha ulagai kwa wenye nchi (japo hawawezi kufanya lolote)

WHY Inatumika nguvu kubwa kupotosha ukweli ambao upo uwani mwa kila mtu?.

Je kama kuna upolaji wa mali za wananchi nani anaweza kutumia nafasi, nguvu nk kuokoa hilo?.

View attachment 2459096

Karibuni kwa mjadara.
Ongezea na hii!

Huko Al-Ain ilikoenda kutua hiyo ndege kuna Zoo ya Wanyama! Pia ni mji wa nne kwa ukubwa
Screenshot_2022-12-26-19-47-43-72_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
Screenshot_2022-12-26-19-37-43-99_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
kuna uwezekano mkubwa wamekuja kubeba wanyama kupeleka uarabuni. lakini hata hivyo, basi tu, ukweli ni kwamba tunao wanyama wengi sana hata wakibeba hawapunguzi kitu, na hata wakipeleka kwao sio kwamba watalii wataisha kuja hapa kwasababu wanyama hapa wapo kwenye asili yao, kule wanapelekwa kuwa kama zoo, na watalii wengi wanapenda kuwaona wanyama katika asili yao. kama mtz sipendi wafanya hivyo lakini hata wakifanya hatuathiriki saaana.
Do you know economically impacts in tourism sector?
 
Happy Holidays.
Tarehe 21 mwezi huu kuna dege moja kubwa sana (pichani) lilitua pale KIA na taarifa tulizopata tukaambiwa ilikuja ikashusha mizigo baadaye ikaondoka.
View attachment 2459076


Ndege hii ni maalumu kwa kubeba mizigo mbalimbali yoyote ile, inasemekana kuwa sinmara ya kwanza kuja hapa nchini ila kutokana na taarifa zinazosemwa za uongo ndiyo imepelekea kuleta mshtuko kwa raia wengi.

Kuna kampuni pale KIA inaitwa KADCO ambayo inaonekana ndiyo ilitoa huduma za kutoa huduma zote kuhusiana na ndege hiyo, mkurugenzi wake kaandika barua kujinasua kwa lolote japo kutokana na (barua hii chini) kachemka kwa kusahau dunia ipo kiganjani.
View attachment 2459087

Aliposema "...ndege iliendelea na safari yake kwenda nchi nyingine..."

Wananchi tofauti wamefanya research na kuifuatilia hiyo ndege na kupata data sahihi kuwa, ndege ilipokuja ilipakia mizigo kama si kushusha kisha iliondoka direct to Abu Dhabi, angalia hapo 👇🏾
View attachment 2459092View attachment 2459093

Kinachoumiza akili na kuwachefua raia ni baadhi ya watendaji kutumia lugha ulagai kwa wenye nchi (japo hawawezi kufanya lolote)

WHY Inatumika nguvu kubwa kupotosha ukweli ambao upo uwani mwa kila mtu?.

Je kama kuna upolaji wa mali za wananchi nani anaweza kutumia nafasi, nguvu nk kuokoa hilo?.

View attachment 2459096

Karibuni kwa mjadara.
Kwa ile nguvu kubwa iliyotumika na serikali kuwahamisha wakazi kwa sababu ya kumpa mwarabu uwanja mpana wa kuvuna asali ya nchi, sitashangaa kwa jambo hilo kutokea
 
Back
Top Bottom