Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Ujinga nimzigo,mnapambana na marehemu kipumbavu sana hojazenu ninyepesi kiasi kwamba hata asipokuwepo mtuyoyote anaweza kuwapinga kirahiai sababu 24/7 mkishindwa hoja mnaanza kutaja watu wawili ama watatu lisu anaeficha ushahifi "dereva" na sanane, haohao.

Mkiulizwa vipi kuhusu Mvungi na mauwaji ya kibiti mbona hamlalamiki kwauzito huo mnazungusha machotu.

Magu hatachafuka kipumbavu mtapiga makelele mbaka 2025 hakuna atakaesikiliza upuuzi wenu.
Wafisadi, wauza madawa ya kulevya, walioghushi vyeti na majangili hawataki kusikia mema ya Magufuli kabisa. Sijui wanataka tuwe na taifa ovu kiasi gani!!!
 
Ni hivi ukisema Hayati JPM alikuwa fisadi ,mwananchi wa kawaida atakwambia heri fisadi aliyejenga SGR,heri fisadi aliyenunua ndege,heri fisadi aliyejenga vituo vya afya,Heri fisadi aliyepambana na wauza madawa ya kurevya,heri fisadi aliyebana mafisadi tukaheshimika tuingiapo ofisi za umma,heri fisadi aliyejenga viwanja vya ndege,heri fisadi JPM aliyejenga Madaraja makubwa,heri fisadi JPM aliyetuacha Lita ya petrol ikiwa inauzwa shillinga 2300,heri fisadi JPM aliyesaidia tukienda mahospitali tunapata madawa kuwa urahisi,heri fisadi JPM aliyesomesha watoto wetu bure ,heri fisadi JPM aliyetuhimiza kumuomba Mungi kipindi cha shida.

Mh zitto,unajisahaurisha ufisadi wa nyuma kwa kumpaka matope hayati JPM.? Mbona hukubwajabwaja akiwa hai? Au utasingizingia kuwa ungepotezwa .Nikwambie tu wanaokuelewa niwatanzania wa mitandaoni ambao siyo wapiga kura.Huku mitaani wanamwelewa sana JPM tena wanamkumbuka sana.

Yani wamemumisi kinoma.kama unafikiri ndiyo njia ya kuikuza ACT yako kwa kumsema marehemu ambaye hawezi kujitetea umelaniwa na chama chako na ukoo wako na wengine wenye tabia kama ya kwako nawashauri niwashauri tu muache Mara moja tabia yenu ya hivyo.

Vinginevyo tutajiuliza mengi juu ya usiri wa kifo chake.Kwa nini tulifichwa taarifa za kuumwa kwake?
 
Waliwasaidia,hapo umejibu vema hata Biblia inasema nitamfanya msaidizi lakini sisi tumegeuza wasaidizi kuwa watawala matokeo yake watoto wa mitaani wanaongezeka kwa kasi.
Mbona dunia imeshuhudia uongozi mahiri wa wanawake walioleta mageuzi kwenye nyanja zote za maisha?

Unawafahamu au ulishawahi kuwasikia akina Margaret Thatcher, Queen Elizabeth, Angela Merkel, na wengineo?

Tanzania tunaye Mama Shupavu; Samia Suluhu Hassan. 😂
 
Ni hivi ukisema Hayati JPM alikuwa fisadi ,mwananchi wa kawaida atakwambia heri fisadi aliyejenga SGR,heri fisadi aliyenunua ndege,heri fisadi aliyejenga vituo vya afya,Heri fisadi aliyepambana na wauza madawa ya kurevya,heri fisadi aliyebana mafisadi tukaheshimika tuingiapo ofisi za umma,heri fisadi aliyejenga viwanja vya ndege,heri fisadi JPM aliyejenga Madaraja makubwa,heri fisadi JPM aliyetuacha Lita ya petrol ikiwa inauzwa shillinga 2300,heri fisadi JPM aliyesaidia tukienda mahospitali tunapata madawa kuwa urahisi,heri fisadi JPM aliyesomesha watoto wetu bure ,heri fisadi JPM aliyetuhimiza kumuomba Mungi kipindi cha shida.

Mh zitto,unajisahaurisha ufisadi wa nyuma kwa kumpaka matope hayati JPM.? Mbona hukubwajabwaja akiwa hai? Au utasingizingia kuwa ungepotezwa .Nikwambie tu wanaokuelewa niwatanzania wa mitandaoni ambao siyo wapiga kura.Huku mitaani wanamwelewa sana JPM tena wanamkumbuka sana.Yani wamemumisi kinoma.kama unafikiri ndiyo njia ya kuikuza ACT yako kwa kumsema rehemu amabaye hawezi kujitetea umelaniwa na chama chako na ukoo wako.
Hawa wasiokuwa mafisadi ndio wanaongoza kukusanya tozo, kodi, misaada na madeni... Halafu zote zinaishia kuliwa kwa urefu wa kamba na kulambia asali. RIP Magufuli.
 
Ujinga nimzigo,mnapambana na marehemu kipumbavu sana hojazenu ninyepesi kiasi kwamba hata asipokuwepo mtuyoyote anaweza kuwapinga kirahiai sababu 24/7 mkishindwa hoja mnaanza kutaja watu wawili ama watatu lisu anaeficha ushahifi "dereva" na sanane, haohao.

Mkiulizwa vipi kuhusu Mvungi na mauwaji ya kibiti mbona hamlalamiki kwauzito huo mnazungusha machotu.

Magu hatachafuka kipumbavu mtapiga makelele mbaka 2025 hakuna atakaesikiliza upuuzi wenu.
Shetani yule. Tunamshambulia Ili nyie ndugu zake mlionufaika na uovu wake muumie.

Hakika familia yake itapata tabu sana.

Itakataliwa popote mpaka mbinguni.

Muuwaji amekataliwa mbinguni na duniani
 
Ni hivi ukisema Hayati JPM alikuwa fisadi ,mwananchi wa kawaida atakwambia heri fisadi aliyejenga SGR,heri fisadi aliyenunua ndege,heri fisadi aliyejenga vituo vya afya,Heri fisadi aliyepambana na wauza madawa ya kurevya,heri fisadi aliyebana mafisadi tukaheshimika tuingiapo ofisi za umma,heri fisadi aliyejenga viwanja vya ndege,heri fisadi JPM aliyejenga Madaraja makubwa,heri fisadi JPM aliyetuacha Lita ya petrol ikiwa inauzwa shillinga 2300,heri fisadi JPM aliyesaidia tukienda mahospitali tunapata madawa kuwa urahisi,heri fisadi JPM aliyesomesha watoto wetu bure ,heri fisadi JPM aliyetuhimiza kumuomba Mungi kipindi cha shida.

Mh zitto,unajisahaurisha ufisadi wa nyuma kwa kumpaka matope hayati JPM.? Mbona hukubwajabwaja akiwa hai? Au utasingizingia kuwa ungepotezwa .Nikwambie tu wanaokuelewa niwatanzania wa mitandaoni ambao siyo wapiga kura.Huku mitaani wanamwelewa sana JPM tena wanamkumbuka sana.

Yani wamemumisi kinoma.kama unafikiri ndiyo njia ya kuikuza ACT yako kwa kumsema marehemu ambaye hawezi kujitetea umelaniwa na chama chako na ukoo wako na wengine wenye tabia kama ya kwako nawashauri niwashauri tu muache Mara moja tabia yenu ya hivyo.

Vinginevyo tutajiuliza mengi juu ya usiri wa kifo chake.Kwa nini tulifichwa taarifa za kuumwa kwake?
Pumbafu na shetani wenu
 
Shetani yule. Tunamshambulia Ili nyie ndugu zake mlionufaika na uovu wake muumie.

Hakika familia yake itapata tabu sana.

Itakataliwa popote mpaka mbinguni.

Muuwaji amekataliwa mbinguni na duniani
Then tukiumia ushetani wake ndio unaisha? Umekula kwanza?
 
Ninajiuliza:

• Ni kwamba mama ameona hajafanya chochote ndani ya mwaka wake mmoja as compared na mwaka mmoja wa Magufuli; hivyo akaamua ku-divert attention ya watu kutoka kujadili upungufu wake hadi kumtetea na kumshambulia Magufuli?

• Ni wazi hakuna Waziri ambaye hapendwi tangu tupate uhuru kama January. Je, Zitto (swahiba na mpigaji mwenzie) na wenzao wameona wabadilishe mjadala kutoka kujadili uzembe unaoendelea Wizarani hadi kumshambulia Magufuli knowing Wananchi wata-concentrate zaidi kumtetea Magufuli kuliko kuwashambulia wao?

• Kama ni report ya CAG; mbona mwaka jana, ambapo awamu ya tano ilikuwa inahusika 100%, mashambulizi hayakuwa ya level ya uongozi wa juu kama mwaka huu ambapo pia serikali ya awamu ya sita inahusika kwa zaidi ya 30%?

• Sote tunajua wanaojiita watoto wa mjini siyo smart sana kama wanavyojidhania; au ni upepo tu umewapitia na hivyo bahati ipo upande wao?

Vyovyote iwavyo, wanastahili pongezi. Wamefanikiwa kutuhamisha kwenye mijadala yenye masilahi ya nchi kuanzia uendeshaji hovyo wa wizara ya Nishati na Madini, matumizi mabaya ya rasilimali kwa waziri kwenye suala la anuani za makazi, mpaka ziara ya mkuu nje ya nchi kwa zaidi ya week sasa, and still counting.

Mpaka sasa Sukuma Gang 0 - 3 Msoga Gang

Hongera zao sana. 😁

Muwe na Alhamisi njema.
Hujatuambia leo ni zamu ya nani kulinda kaburi Chato?
 
Jiwe, Bashite na Sabaya walikuwa na ushoga?
Hao ni partners in crime.

IMG_20211028_135238_003.jpg
 
Back
Top Bottom