Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Wamefeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atapigwa na nani?!Hawa Israel siku marekani ikimuacha atapigwa kama ngoma ni weupeee hamna kitu pale
Unafuatilia taarifa za habari au ni maoni yako?Hili shambulio la Israel japo halijaleta madhara makubwa ila ni taa nyekundu kwa mamullah wa Iran, ulinzi wao wa anga dhaifu sana.
Au ndio Sababu vinu vya nyuklia vimejengwa chini ya ardhi na chini ya milima ?
Maoni tu bossUnafuatilia taarifa za habari au ni maoni yako?
Kama ni maoni ni sawa, una haki ya kutoa maoni Mkuu.Maoni tu boss
Iran nae sio haba, angalau anajitahidi...Kama ni maoni ni sawa, una haki ya kutoa maoni Mkuu.
Israel imeshambulia kwa ndege vita ngapi? Na kila ndege vita ina uwezo wa kurusha makombora mangapi?Iran nae sio haba, angalau anajitahidi...
ila Israel ingekuwa na nia ya kuleta madhara makubwa zaidi, Iran isingeweza kuzuia
T14 Armata
Loading…
www.google.com
Na je hizo ndege zilishambulia wapi ?Israel imeshambulia kwa ndege vita ngapi? Na kila ndege vita ina uwezo wa kurusha makombora mangapi?
Suala si imeshambulia wapi suala ni makombora yalifika.Na je hizo ndege zilishambulia wapi ?
Images released by Israel’s military showed members preparing to depart for the strikes in American-made F-15 and F-16 warplanes.Swali langu kwako, Israel ilishambulia kwa ndege vita ngapi? Na kila ndege ina uwezo wa kubeba makombora mangapi ikiwa kwenye operation?
Hapo Israeli alikuwa. Anasukutua kwanza bado hajaanza kutafuna hizo kobasi na Lile lemba labwana Ayatoli lazima liungue kama sinawar
Kwa hiyo wewe unafikiri Wairani watakuja kukutangizia kuwa ni uharibifu wa kiasi gani ambao Waisrael wameufamya?Hii ni Aibu kwa Isramarekan
Hakuna Madhala Yeyote kwa Iran mpaka Sasa
Propaganda nyingi Kuliko Uhalisia
Kwa kutumia ndege zaidi ya 20 kwenda juu basi Israel ilidhamiria kufanya uharibifu mkubwa sana ila inavyoonekana shambulio limefeli.Images released by Israel’s military showed members preparing to depart for the strikes in American-made F-15 and F-16 warplanes.
The Iranian military statement described Israel’s warplanes as firing lightweight missiles at a distance of 100 kilometers (62 miles) from the Iranian border. The missiles struck air defense radar stations, the military said, some of which were already under repair. (AP)..
Loading…
www.google.com
Habari hapa chini Kuna habari nyingine Iran inakanusha kutumika ndege 100 (japo habari inasema hivyo) ikiwemo F-35...
Loading…
www.google.com
Mkuu, ngoja kwanza nitafute utulivu, naangalia mpira nikimaliza nitakujibu.Images released by Israel’s military showed members preparing to depart for the strikes in American-made F-15 and F-16 warplanes.
The Iranian military statement described Israel’s warplanes as firing lightweight missiles at a distance of 100 kilometers (62 miles) from the Iranian border. The missiles struck air defense radar stations, the military said, some of which were already under repair. (AP)..
Loading…
www.google.com
Habari hapa chini Kuna habari nyingine Iran inakanusha kutumika ndege 100 (japo habari inasema hivyo) ikiwemo F-35...
Loading…
www.google.com
Kobasi amshukuru marekani..kumuombea kwa Israeli ampige tu kidogo asizidishe