Mashehe na Maaskofu wanaohangaika kumuombea Dua Paul Makonda wanajisikiaje anapotajwa waziwazi kushiriki kushambulia watu?

Mashehe na Maaskofu wanaohangaika kumuombea Dua Paul Makonda wanajisikiaje anapotajwa waziwazi kushiriki kushambulia watu?

Viongozi wa dini wapo kwa ajili ya watu wenye dhambi siyo wasafi pekee.
Yesu alishasema yafuatayo :-
Marko 2:17
17 Yesu aliposikia haya aka waambia, “Wenye afya nzuri hawahitaji daktari, bali wagonjwa wanamhitaji. Sikuja kuwaalika wenye haki, bali wenye dhambi.”
 
Viongozi wa dini wapo kwa ajili ya watu wenye dhambi siyo wasafi pekee.
Yesu alishasema yafuatayo :-
Marko 2:17
17 Yesu aliposikia haya aka waambia, “Wenye afya nzuri hawahitaji daktari, bali wagonjwa wanamhitaji. Sikuja kuwaalika wenye haki, bali wenye dhambi.”
Amen
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Ukitoa uhai wa mtu, hata iwe mafichoni kivipi, unaweza usichukuliwe hatua labda kwa cheo chako au peza zako, lakini utajulikana tu.
Na utakuja kuumia baadaye kabla hujafa.
Umeshaona polisi aliyekua mkatili anavyoteseka akikaribia kufa au nesi wa labour Ward ambaye hakutimiza wajibu wake watoto na WAZAZI wakafa anavyoteseka akishastaafu?
Kazi ya kutoa uhai tumwachie Muumba tu.
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
Kwani mbona mmeo DJ hutajwa sana kuteka watu lakini bado anaendelea kwenda kanisani na kuombewa!!?
 
Viongozi wa dini makini hawafanyi mambo kwa mihemko,wanamiongozoyao ya jinsi ya kudili na wauminiwao.

Hakuna mkamilifu hapa duniani, tatizo la chadema ni wafuasi uchwara ambao wana hemkwa sana bila fact.
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
hao mashehe na maaskofu njaa tupuuuu
 
Viongozi wa dini makini hawafanyi mambo kwa mihemko,wanamiongozoyao ya jinsi ya kudili na wauminiwao.

Hakuna mkamilifu hapa duniani, tatizo la chadema ni wafuasi uchwara ambao wana hemkwa sana bila fact.
Hoja hujibiwa kwa hoja
 
Back
Top Bottom