Soma Waraka wa Shura ya Maimamu simbilisi wewe 😄Elimu ya kujadili ripoti ya CAG na sukari wanayo?
Wanasemaje, nisomee nisikieSoma Waraka wa Shura ya Maimamu simbilisi wewe 😄
Ipo Hapa Jf tena Jukwaa la SiasaWanasemaje, nisomee nisikie
Huyu Mwamba kwa kweli ana mengi watu tunatakiwa kujifunza kwake..Ney wamitego anawazidi viongozi wa dini kwa kukemea maovu
HakikaMahubiri yenu yanaikumbatia serikali. Hubirini HAKI, wizi wa mali za Umma , uuzwaji wa rasilimali za nchi, MaDc, RC, kuwaonea watu , report za CAG na vitu kama hivyo. Maadili si ushoga/ubakaji tu.
Hubiri na kusema uongo si maadili ( Magufuli yuko ofisini anachapa kazi, kumbe yuko mortuary).
Hubirini kuhusu kupotea ka watu na kufa mikononi mwa polisi na mambo kma hayo!
Mtoto punguza uropokaji mitandaoni una uhakika na unachokisema kwa uthibitisho upi?Viongozi wa dini walikua zamani
Sasa hivi wengi wao wanaangalia pesa tu
Viongozi wa dini wanawathamini waumini wenye pesa kuliko wanyonge sembuse kuwathamini viongozi mafisadi kuliko wananchi!!
Dunia ya sasa hivi wanaojitoa akili, wanafki ndio wenye furaha na wanafanikiwa zaidi ya wenye utimamu wa akili na wasema kweli..!
Nilisema makala humu inasema Mtume Mohammed alipewa Mafunzo pangoni kwa udhamini wa Bibi Hadija ndio Quran ikazaliwaTakbiir
Wewe hupendi kupanda Gari unapenda uzulule na Bajaj huna hata Baiskeli unasemaje?Tatizo ni wachumia tumbo, kumhofu allah hakumo ndani mwao, na sasa wanataman wawe kama mapadre na maparoko ili nao wasipande bodaboda.
Hakika pepo ni ngumu. Mola pekee atunusuru na kundi hili la wanafiq
Kumtangaza allah na rehma zake yapaswa kuwa kipaumbele cha kila mja mwema. Mengine ni sunna na mswalie mtume.Wewe hupendi kupanda Gari unapenda uzulule na Bajaj huna hata Baiskeli unasemaje?