Masheik mahubiri ya maadili yasiishie kwenye ushoga, jumuisha HAKI, WIZI WA MALI ZAUMMA- REPORT ZA CAG, siasa safi, uongozi bora na mambo kama hayo

Kumtangaza allah na rehma zake yapaswa kuwa kipaumbele cha kila mja mwema. Mengine ni sunna na mswalie mtume.
Mswalie Mtume ukiwa na Gari zuri la kumtembelea sio unatembelea kubazi mwanzo mwisho
 
Ni vigumu kuwaona wakiongelea baadhi ya mambo kwa sababu wengi wao walijikita zaidi kwenye elimu ya madrasa wakasahau Elimu ya darasani na kuna mambo kuyajadili lazima shule iwe ya uhakika sio ya kutoa ujinga tuu
Ila wanasema Elimu ya Dunia ime-copiwa kutoka kwenye Qur'an hujawahi kusikia hio?
 
Umeniita mtoto kwa kigezo kipi? Hunijui sikujui ungetumia memba ingekua poa kama ulishindwa kuniita mkuu!

Soma tena nilichokiandika ukiwa na akili timamu naona wewe ndiye unaropoka sasa
Wewe mtoto mdogo sana 32 yrs old unajiona mkubwa?
 
Tatizo ni wachumia tumbo, kumhofu allah hakumo ndani mwao, na sasa wanataman wawe kama mapadre na maparoko ili nao wasipande bodaboda.

Hakika pepo ni ngumu. Mola pekee atunusuru na kundi hili la wanafiq
Sasa kuna shida gani mkiwanunulia hata Vitz ..mbona Sheikh Mkuu mmempa shangingi!
 
Ila wanasema Elimu ya Dunia ime-copiwa kutoka kwenye Qur'an hujawahi kusikia hio?
Kama ingekua hivyo basi wale waliosoma sana hicho kitabu wangekua watu werevu sana lakini ni kinyume chake kabisa
 
Ogopa sana Shehe mwenye njaa akutanapo na Fisadi la CCM, anakunjiwa Msimbazi kadhaa halafu anaanza kufanya Dua za kulaani "Makafiri" wa CHADEMA.

Bongo hatuna Mashehe tuna Mashehe Ubwabwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…