Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu wanawatetea tu ila hao jamaa walistahiki kupotelea hukohuko na ole wao wajifanye kama wanajikuna
Watu wanashindwa kufatilia nini kilitokea Hadi wamefika hapo, Tena walikamatwa na Serikali ,Rais akiwa muislamu

Intelligence ipo makini , kuwashikilia miaka yote hiyo lazima Kuna jambo

Watu wa kivule wangekuja hapa kutupa mkasa zaidi
 
ishu sio CCM, ishu ni ugaidi
 
Yaani hakuna nchi inayo endeshwa kihuni kama Tanzania chini ya ccm. Mtu unapotezea miaka 12 ya maisha yake halafu baada ya miaka 12 ya mateso unamwambia nenda nyumbani? Bila hata mjadala ! Hii sio sawa siku watanzania watakapo choke huu uhuni Tanzania itakuwa kama Samalia.
 
akili za kigaidi hizi
 
je kama walishiriki kwa namna moja au nyingine ku facilitate hayo magaidi wataachwaje kukamatwa?
Halafu wakishakamatwa kinachofuata nini, kufungwa bila mashtaka na kuuliwa?

16 walikatwa kwenye famulia moja, 7 wakaletwa mahakamani, 9 hawakuletwa.

Unadhani hawa 9 walifanywaje ?

Kwa hiyo Kikwete ali sign death warrant tisa. On paper wanasema wa mwisho kunyonga ni Mwinyi. Na hawa 9 je, walisamehewa na Kikwete wakapaa mbinguni ?
 
Needless to say, the global problem of terror will be finished by the moslems themselves, if they decide to end it today they'll do so devoid of any hindrance because they are the architects.
 
sababu ya kukamatwa kwao ni ugaidi. Swali hili jibu lake ni mukhtadha wa kukamatwa kwao
 
Sheria ya DDP hana nia ya kuendelea na kesi ni ya hovyo sana ni kama watu wapo kwenye ukoloni bado kwa nini anakuja na jia wakati alikua hana ushahidi wa kutosha kwenye sheria pana mapungufu sana ndio maana yale makampuni yakitudaka lazima tuwalipe na wanafungua kesi zao nje ya Nchi huko DPP anabaki kusoma kama sisi tu..
 
Or else watuhumiwa wanaotumia kama Hawa kwa kukaa rumande muda mrefu, ilihali wanaathirika kisaikolojia na kiuchumi, Walipwe fidia na dola.
Ukigombana na DPP tu anakutia ndani wewe gaidi unapigwa mvua baada ya miaka 10 anakuja mwingine anakuachia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…