Masheikh wa uamsho ukweli ukoje?

Masheikh wa uamsho ukweli ukoje?

Mkuu, wafuata mkumbo ni wengi humu, mtu anasema wale ni magaidi ukimuomba ushaidi anapotea mazima 😁

Mama samia wala asipoteze muda wake kuingia na kufuatilia hii page, atakutana na chuki na ubaguzi kama kawaida.


Mungu asaidie waachiwe huru
Mapanga yalikamatwa kwenye mihadhara yao
 
Navyoona yanayoendelea Msumbiji tena kwa muda wa miaka minne tu bora waendelee kusota ndani kwaajili ya usalama wao.

Kipindi cha Kikwete hadi walikuwa wanasokomezewa vijiti tigoni sijui walimkosea nini mzee wa msoga muislamu mwenzao.
Yanayoendelea msumbiji ni yapi?
Unayajua?
 
Hapana mkuu siyajui bali nilimsikia hawara ya bibi yako akiwasimulia wenzake kibarazani wakicheza bao na kunywa kahawa na kashata.
Basi wacha ujuha kuzungumzia yanayotokea msumbiji kama huyajui.

Lengine ikiwa mama yako hajakufundisha adabu wakati mimi nilikuuliza bila ya kukutajia mwana wa familia yako hata mmoja mwambie akufundishe adabu. Jinsi ya kuulizwa na kujibu alichoulizwa kama hajui anyamaze kimya.
 
Hunijui ndio maana unaniuliza haya maswali ambayo nimechagua kuto kuyajibu.

Mark my words, iwe miaka 1000 basi uamsho watatoka gerezani na atarudi kuishi na familia zao.

Historia inaonyesha hivyo. Tangu enzi za mitume, baada ya kipindi cha mitume na hata juzi juzi tu wakati wa kina Mandela.

Besides, ni sisi tu ndio tunajipa pressure lakini waliopata wasaa wa kuwatembelea uamsho gerezani wakiamua watatueleza namna ambavyo wametulia nafsi zao wakiacha kadari ya Allah ichukue nafasi yake.

Uamsho ni aina ya watu ambao wameelewa haswa maana ya Qadar na wapo wanamtumikia mola wao popote walipo. Wakijua fika kwamba ukiishi sana basi ni miaka 60-70 halafu unatembea. Wako wapi wafalme na maraisi waliokuwa wababe wakiogopewa Leo hii?? Futi sita ndani ya tumbo la ardhi.

Walikuwepo waliokuwa wanakaa ikulu na kulindwa na mabunduki kina Magufuli na Kijazi, wawapi Leo?? Kwahiyo Uamsho wapo, fikra zao zitaishi katika mioyo ya Wazanzibari daima dumu.

Kila la kheri mkuu na karibu tena Mtendeni uje ununue TV upeleke kwenu Kimbiji.
Mnaleta nadharia kwenye uhalisia
 
Michango mingi imeegemea katika ushabiki na hisia tu.Watanzania tuna dalili zote za kupenda chokochoko za kiimani kama muwasilishaji tu.
 
Ushahidi wa 1 kwa 1 inaweza ikawa Mimi na wewe ndio hatuna lakini deep state wanao !? Kupitia Mawasiliano Yao etc
Wautoe huo ushahidi wawanyonge kama ni kweli sawa itakua ni haki yao lakini hivi kila mwenye akili lazima atahoji huu upuuzi wa kisheria na uonevu unaofanywa nn muungano bana? Kinachotakiwa wajifunze ata kwenye mchakato wakatiba wananchi tena wa bara walitoa maini yao wakitaka serikali 3 huu niuhuni tu na ufedhuli wa baadhi ya watu
 
Fuatilia kilichotokea kwenye hizi nchi hadi zikafikia kugawana vipande viwili
1. Sudan
2. Somalia
Kisha fuatilia majaribio yaliyofeli ya watu kujitenga kwenye nchi hizi
1. Nigeria jimbo la Beni
2. Jamhuri ya kati
3. Kenya jimbo la Mombasa
Ukiangalia kwa jicho la tatu unaweza kuona mpangaji wa haya yote ni kikundi kimoja ambacho hicho kimejificha chini ya uamsho wa Zanzibar.
Na Znz ilivyo ndogo wakiachiwa dakika sifuri sumu imesambaa.
Ni suala la muda tuu wataibuka wengine na wengine kwani na wao si wanaona faida ya muungano na hasara zake cha msingi kila pande ipate haki yake
 
Wewe unataka ushahidi gani?
Ngoja waachiwe waje wajifunge mabomu kwenye maeneo ya watu familia yako ife ndio utapata ushahidi

Lete ushahidi hapa mkuu, sio kuongea na kufurahisha genge humu. Mungu hapendi kusema uongo
 
Hao jamaa ni hatari kuliko hata yule Rogo wa Mombasa
 
Back
Top Bottom