Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Wataje hao watuMitihani gani ya dunia wakati hao wapumbavu walitwaa uhai wa watu wasiokuwa na hatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataje hao watuMitihani gani ya dunia wakati hao wapumbavu walitwaa uhai wa watu wasiokuwa na hatia
Aliapa kutenda haki. Aliapa kwa kutumia bible kwamba atatenda haki.Ndio. Weka uhusika wake hapo
Nakukumbusha tu wakati wanakamatwa alikua waziri wa ujenzi,barabara sio ulinzi wala mambo ya muungano
Kabla hujaomba ushahidi, elewa kwamba masuala ya ugaidi si sawa na kesi za ndoa na taraka. Fahamu kwanza sheria ya kimataifa ya ugaidi halafu ndipo ujitetee.Ushahidi wako muhimu paleka kwa DPP ,
Well said bossHaki itadaiwa kwa njia zozote hata kama watafsiri hatua hiyo ni vurugu.
Na haya mambo asikudanganye mtu, chanzo chake kikuu ni MUUNGANO tu....
Pumbavu sana haya majituKiusalama wewe unatakiwa uende mahabusu ukakae 7 solid years then uachiwe baada ya hiyo miaka kwa kua ushahidi utakua hakuna.
Bladful, uzalendo wa kitanzania ...
Tena mwambie waambie hao waliomwagiwa Tindikali si waende waweke pingamizi.Ikiwa mahakama imewaona hawana hatia ,iweje wewe useme hivyo?
Kumwagia mtu Tindikali ni hatia ,kama wewe unao ushahidi si uende ukaweke pingamizi.!
Mzushi mkubwa weee!
Ushindwe na ulegee kwa jina la aliye Kuumba
Kinyago ni nini na nani anafanya kinyago muumba? Sijakuelewa.Ni kweli mkuu wataanza kutokea watu kama waliompiga risasi Tundu Lisu,waliompoteza Mawazo,Ben Sanane ,Azory Gwanda,Mawazo na wengne.Mungu huyu adhihaikiwi lakini huwezi ukafanya kinyago ni muuumba wako ukawa na akili ,over
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
HaswaaaaaUtawala wa Magu ulikuqa wapi kufatilia ukweli wa mambo hadi alipotupwa kuzimu ndio wamepata nafuu.
Kazi iendeleeKazi iendelee
Mama tutamlazimisha akae miaka yote mpaka achoke.Kumi tena kwa mama
Aamyn aamynMama abarikiwe sana kwa kujitahidi kujiepusha na dhulma na kusimamia haki za watu.
Anahusika kiasi chake.Kwann uulizie utawala uliowakuta badala ya uliowafunga.Anza na wale viongozi wa zenji waliowatupia huku badala ya kuwaacha huko zenji. Jiwe hausiki hapa.
Wewe ni msengerema? Hakuna mtu aliyetaka hawa waachiwe ila watu walitaka hukumu itoke maana kama wana makosa wafungwe kama hawana waachiwe full stop, kama wamemwagia watu tindikali wafungwe tuMsiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia.
Mkajifunze kuheshimu haki za wengine kama nyie mnavyotaka haki zenu ziheshimiwe, msijione bora zaidi ya wengine mpaka kuwasababishia maumivu ya aina yoyote.
Mmefurahi kutoka jela ila mjue sasa mna jukumu la kulinda raia wengine wasio wa imani kama yenu, muache mihemko, fanyeni yenu muwaache wengine wafanye yao kwa uhuru wao, hii Tanzania ni yetu sote, hakuna alie juu ya mwingine wala hatakuwepo.
Hizi kama kama zilitakiwa zitatuliwe mahakamani. Waliowakamata walitakiwa waithibitishie mahakama kwamba hawa wanayo hatia ambapo kwa muda wa miaka 9 wameshindwa.Kama walikuwa hawana hatia basi sawa, ila kama kweli ni wazinguaji na wameachiwa kwa sababu tu za kisiasa itakuwa si sawa
Au walitaka waungane na Kenya. Kama wanataka Muungano na nchi nyengine waheshimu kila kitu.Mashekh wangu aluta Continua,
Madai ya Zanzibar yenye Mamlaka yake katika Muungano yako pale pale.
Kapumzikeni kidogo, karibuni ttaliamsha tena Dude, kwani Zanzibar bado imekaliwa kmabavi,Labda Huyu Bi kubwa afanye mndingo yake kuikwamua.
Tanzania = Tanganyika + Zanzibar
Tukipata mapato tugawane sawa sawa,
Kama Hamtaki nendeni mukaungane na Kongo ikiwa sisi munatuona wadogo, Wle ndio saizi yenu.
Ina maana jiwe hateteleki??jiwe hatetewi usipoteze muda wako. Unafata maneno ya watu au unazingatia haki? halafu watu wakikushauri ndio utukane?
Utaona ngoma inakujaBasi wafidiwe, wakate rufaa kwa kupotezewa muda
Anahusika kiasi chake.
Kama mtu anaependa haki alitakiwa ahakikishe haki inatokea.
Makafiri walisema hawatokaa
Mwache Magufuli peleka udini wako huko! Humtaji JK umekomaa na kumtukana JPM, mdini sana wewe au kwa vile JPM mkristo ndo maana unamtukana hapa? Not fear.Huyu huyu jiwe mpenda watu wa dini hahusiki??