Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U know nothing kuhusu kanisa mkuu kaa kimya. Unaweza kukuta nusu ya masheikh ni wakatoliki we hujui tuWaislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Ni kweli hao Masheikh hawajui vitu vingi wanaojua vitu vingi ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekezaMashee wangesoma kwanza ili kujenga uelewa. Hawajui vitu vingi
Umetamka vyema hapo.Vitu vinachukuliwa vinaisha na hamsemi neno.Bandari itatumika na tukiona kuna shida tutazuia wenyewe lakini bado wanaona bandari ndio mkataba mbaya pekee.Udini na maslahi yao tu.Wakijua tu kuwa suala hili lina udini wa wazi kabisa inatosha....wala hawahotaji kujua meeeengi hadi yawageuze kuwa waongo na wanafiki na wazandiki; kwamba muingereza achukue tu madini atakavyo, mchina achukue tu gesi atakavyo lakini biashara ya bandari na mwarabu hapana sababu. Ukiangalia vingine vyote vinaruhusiwa huku ikifahamika wazi kuwa vinakwisha huku kinachopingwa hakiishi kipo na kitaendelea kuwepo hata milele.
Bro issue siyo tamko pekee, je wanahoja ya maana ya kutolea tamko?? Kwani tec wametoa tamko la kupinga uislamu? Kama masheikh wanaungana na tec kutoa tamko la kupinga mkataba wa DP itakuwa saf Sana. Hizi hoja za kuchonganisha dini ni ujinga wa juu mno. Sisi ni Watanzania,anayeuza nchi ndiyo adui wetu na si hoja za maaskofu na masheikh wala ukristo na uislamu.Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Kama zilizokaa na kutoa huo walaka ni PhDChama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.
Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Kwanini usingeandika kiswahili?Kama zilizokaa na kutoa huo walaka ni PhD
Am hereby to address that PhD its piece of paper and am hereby to confirm that its simple to have educational badge but not being educated [emoji1787]
Nimejisikia kuandika [emoji1787]Kwanini usingeandika kiswahili?
Nimependekeza tu.....Nimejisikia kuandika [emoji1787]
Vipi kwan?
Sawa ntalifanyia kaz pendekezo lakoNimependekeza tu.....
Sio lazima Ushauri wangu ufuatwe.
Tatizo shule,wao wanautazama mkataba kwa mtazamo wa dini na Sio kwa maslai ya wananchi
Shida ni mkataba na Sio uarabuni na uislam.Wakijua tu kuwa suala hili lina udini wa wazi kabisa inatosha....wala hawahotaji kujua meeeengi hadi yawageuze kuwa waongo na wanafiki na wazandiki; kwamba muingereza achukue tu madini atakavyo, mchina achukue tu gesi atakavyo lakini biashara ya bandari na mwarabu hapana sababu. Ukiangalia vingine vyote vinaruhusiwa huku ikifahamika wazi kuwa vinakwisha huku kinachopingwa hakiishi kipo na kitaendelea kuwepo hata milele. Mamamaamamamamae! Kwa u###%$&nge huu, ngoja tu!!
Tatizo Mbumbumbu hawezi kukuelewa hata ukimwambia kuna vifungu kwenye mkataba havipo sawa aelewi yeye anamuona Mwarabu tuShida ni mkataba na Sio uarabuni na uislam.
Mbona waarabu wengi tu wamewekeza nchini bila shida
Kwenye kukutana, unauhakika. Wakristo wanakutana mara moja kwa wiki?Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Hajui huyo hawezi kukujibuKwenye kukutana, unauhakika. Wakristo wanakutana mara moja kwa wiki?