Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
sema wanakubaliana na waraka huuU know nothing kuhusu kanisa mkuu kaa kimya. Unaweza kukuta nusu ya masheikh ni wakatoliki we hujui tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema wanakubaliana na waraka huuU know nothing kuhusu kanisa mkuu kaa kimya. Unaweza kukuta nusu ya masheikh ni wakatoliki we hujui tu
Umeongea kikatoliki hapa ujue....Kama zilizokaa na kutoa huo walaka ni PhD
Am hereby to address that PhD its piece of paper and am hereby to confirm that its simple to have educational badge but not being educated [emoji1787]
Ukitaka kujua RC in taasisi imara inaongozwa kisomi angalia mifumo yao na jinsi inavyojiendesha.Kwaio tuache kujadili udini tuangali hili swala kwa maslahi mapana ya taifa.Hivi hamna kingine mpaka sasa cha kusema zaidi ya huu ujinga wenu?!!! Mtu analeta hoja ya maana tu mmekamatia huo ujinga wa kujihisi wasomi. PhD zipo ngapi na zimeleta nini?!!! We unafikiri hizo PhD zao zimewaongoza vema kwenye hili?!!!!!!!! Hapa wamekosea sana sana sana sana!!!
Waislamu ninaowajua mimi wakaipigie CCM. Kwa taarifa yako linapokuja suala la uchaguz huku mtaan tunajuana. Kama njaa tunashinda wote na kula tunagaiana wote so tunamjua tunaemchaguaInabidi Waislam tuongie kwenye siasa tukitaka tusitake.
Kwanza Waislam kura zetu zisiende kwa siyekuwa Muislam yoyote. Pili tupandishe wagombea wetu kila sehemu, tusiache mwanya
kama wanajibu hoja za kwenye waraka, kuna shida gani? ila sio kumshabikia mwarabu mungu mtu wao.Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Mimi nashauri wasichanganye Siasa na dini bali wachanganye dini na Uchumi na ulinzi wa nchi wala hakutakuwa na shida.Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa
Wafanye tuWaislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Umeeleza ukweli mtupu.Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Haujui ulichokiandika.Pole sana kwa ujinga wako.Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Hawa wenye elimu wamegundua nini?Hata njiti za kibiriti hawajui kutengeneza.Elimu unazaliwa nayo,waweza kusoma usielemike.Chama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.
Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Maneno yote aliyoyaongea shehe ni ukweli mtupu
Haya Ni Maoni Yako unaijua Tec ww?Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Unapokuwa ndani ya jamii yenye itikadi tofauti za kiimani inahitajika hekima kubwa sana kwenye kuzungumzia jambo linalogusa jamii hususani hilo suala likiwa na harufu ya siasa.kama wanajibu hoja za kwenye waraka, kuna shida gani? ila sio kumshabikia mwarabu mungu mtu wao.
Ewaaa!Haya Ni Maoni Yako unaijua Tec ww?
Unaijua Vatican yenye kiti UN ww? jua Hapa tulipo tupo kwenye' The Road of No Return 😡
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wana muda huo sasa,alafu Karatee Nani atawafundisha vijana.