Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.

..Tuwasihi Mashekhe nao waupinge mkataba wa Dp.

..Wote tunatakiwa TUUNGANE dhidi ya mkataba mbovu usio na manufaa kwa nchi.
 
..Tuwasihi Mashekhe nao waupinge mkataba wa Dp.

..Wote tunatakiwa TUUNGANE dhidi ya mkataba mbovu usio na manufaa kwa nchi.
Ndugu yangu, ikiwa mitizamo yenu juu ya Waislamu mnawazungumzia kwa dharau, kebehi, ninyi kujiona bora zaidi na huku mnatangaza bado mnataka umoja wao. Hii hali inanisikitisha sana!
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.

HIVI KWA NINI MNAKUWA NA HALI YA KUTOJIAMINI? MNAKUWA NA INFIRIORITY COMPLEX BILA SABABU. jE UNATAKA WAACHE MAMBO YA KUTOA MAWAIDHA YA DINI WAWE WANASHINDANA KWENYE MAMBO YA SIASA?

JE KUSUDIO LA KUKUTANA MARA TANO KWA SIKU LILIKUWA ILI KULETA MASHINDANO YA KIDINIAU NI KUTI MIZA MOJA YA NGOZO TANO KATIKA IMANI?
 
Unapokuwa ndani ya jamii yenye itikadi tofauti za kiimani inahitajika hekima kubwa sana kwenye kuzungumzia jambo linalogusa jamii hususani hilo suala likiwa na harufu ya siasa.

Ijapkuwa siasa huwezi kuitenganisha na dini lakini kwa jamii yenye itikadi tofauti za kiimani, siasa ikiingizwa kwenye dini au dini ikiingizwa kwenye siasa ni hatari kwa sababu yataathiri umoja na utulivu ndani ya nchi. Mfano hai ni India.

Binafsi mtazamo wangu ni kama wa Prof. Issa Shivji kwenye suala la bandari. Lakini hili suala lilichukua pande 3. Mojawapo ya pande ni kuwa hili linatazamiwa kwa misingi ya itikadi ya kidini.

Kwa mtazamo wangu, TEC wangeishia kwenye press conference tu waliyoifanya. Kwa sababu wao ni raia wa Tanzania na wana haki ya kutoa maoni. Ila suala la kupiga hatua zaidi na kuelekeza waraka wao usomwe kwenye nyumba za ibada hili suala ni la hatari. Kwa sababu hawa ni viongozi wa dini. Watakachokitoa kwa waumini wao ndicho waumini wao watakachokipokea. Lakini tukumbuke hii ni nchi iliyobeba watu wenye itikadi za kiimani tofauti.

Likisogea kwenye nyumba za ibada hilo kwa jamii yetu litatafsirika dini imeingia kwenye siasa. Hivyo itatafsirika ni udini. Ikitokea Taasisi nyengine ya kidini ikatoa mawazo tofauti na TEC kisha na wao wakalipeleka kwenye nyumba zao za ibada kwa maana waumini walisikie na walifuate. Watokee tena viongozi wa dini nyengine nao wafanye hivyo hivyo unafikiri hii nchi itakuwa imeshika njia nzuri? Itagawanyika hii! Kwa sababu dini itakuwa imeingia kwenye siasa!

Hawa wengine wametoa hili! Sijui kama ni la kweli au laa!

..mkataba ni mbaya.

..tuwahimize Maaskofu na Mashekhe waungane na kuupinga.

..serikali ingekuwa inatusikiliza wananchi suala hili lisingehitaji viongozi wa dini kuliingilia.

..Viongozi wa Dini watalazimika kujiingiza ktk siasa kama wanasiasa, haswa watawala, watathibitika kushindwa kutatua kero za wananchi.
 
Ndugu yangu, ikiwa mitizamo yenu juu ya Waislamu mnawazungumzia kwa dharau, kebehi, ninyi kujiona bora zaidi na huku mnatangaza bado mnataka umoja wao. Hii hali inanisikitisha sana!
Wakati yule Mwaipopo anasema mwislamu atakayehudhuria mkutano wa kina Dr Slaa atasomewa kunuti huoni kama hata viongozi wenu wanawadharau?
 
..mkataba ni mbaya.

..tuwahimize Maaskofu na Mashekhe waungane na kuupinga.

..serikali ingekuwa inatusikiliza wananchi suala hili lisingehitaji viongozi wa dini kuliingilia.

..Viongozi wa Dini watalazimika kujiingiza ktk siasa kama wanasiasa, haswa watawala, watathibitika kushindwa kutatua kero za wananchi.
Hayo yote ni sahihi!

Lakini hekima ya mtu inaonekana wakati panapokuwa na matatizo.

Mnachohubiri ni cha kweli lakini bado mnaidhihaki jamii yangu. Kisa dini? Kwamba sisi ni waislamu?!

Mungu awabariki! Ngoja mimi nikaswali.
 
Ndugu yangu, ikiwa mitizamo yenu juu ya Waislamu mnawazungumzia kwa dharau, kebehi, ninyi kujiona bora zaidi na huku mnatangaza bado mnataka umoja wao. Hii hali inanisikitisha sana!

..kila upande una makosa.

..kuna Wakristo wanawasema vibaya Waislamu.

..kuna Waislamu wanawasema vibaya Wakristo.

..lakini wapo wenye busara na hekima ktk dini zote mbili.

..Sasa ni juu yetu kuchagua upande wenye busara, au upande uliokosa busara.

..tunakubaliana kwamba mkataba huu ni mbaya.

..Sasa kwanini tusiende hatua moja zaidi kuwasihi Mashekhe na Maaskofu waungane nasi kuupinga?

..serikali na Ccm hawajali tena maoni ya vyama vya siasa.

..Ni muhimu Maaskofu na Mashekhe wasimame pamoja kuikemea na kuiasa serikali.
 
masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.
Hawana elimu wamesoma Qur'an tu, kwani kusoma hiyo Qur'an siyo elimu? Wewe ukiamka unakula ngano ya Bakhresa, unakunywa maji ya Bakhresa, unaangalia timu yako ya utopolo kupitia Azam ambayo ni Bakhresa. Unajaza wese gari yako kupitia mafuta unayonunua kwa Oilcom, Lake Oil, Mount Meru nk. Unapikia mihogo yako kupitia gas za haohao, unafurahia Yanga kupitia uwekezaji wa GSM. Hao wote wamesoma hiyo Qur'an unayoona hauna maana. Sasa kati ya wewe uliosoma Lenzi mbinuko na Lenzi mbonyeo nani elimu yake ina impact? Infact, elimu zenu ziko kwenye ujinga tu na ufisadi.
 
..kila upande una makosa.

..kuna Wakristo wanawasema vibaya Waislamu.

..kuna Waislamu wanawasema vibaya Wakristo.

..lakini wapo wenye busara na hekima ktk dini zote mbili.

..Sasa ni juu yetu kuchagua upande wenye busara, au upande uliokosa busara.

..tunakubaliana kwamba mkataba huu ni mbaya.

..Sasa kwanini tusiende hatua moja zaidi kuwasihi Mashekhe na Maaskofu waungane nasi kuupinga?

..serikali na Ccm hawajali tena maoni ya vyama vya siasa.

..Ni muhimu Maaskofu na Mashekhe wasimame pamoja kuikemea na kuiasa serikali.
Kwani shida vifungu vya mkataba au DPW au uwekezaji kwa ujumla wake?
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Kwani kuna baya lipo kwenye huo waraka wa TEC
 
Hawana elimu wamesoma Qur'an tu, kwani kusoma hiyo Qur'an siyo elimu? Wewe ukiamka unakula ngano ya Bakhresa, unakunywa maji ya Bakhresa, unaangalia timu yako ya utopolo kupitia Azam ambayo ni Bakhresa. Unajaza wese gari yako kupitia mafuta unayonunua kwa Oilcom, Lake Oil, Mount Meru nk. Unapikia mihogo yako kupitia gas za haohao, unafurahia Yanga kupitia uwekezaji wa GSM. Hao wote wamesoma hiyo Qur'an unayoona hauna maana. Sasa kati ya wewe uliosoma Lenzi mbinuko na Lenzi mbonyeo nani elimu yake ina impact? Infact, elimu zenu ziko kwenye ujinga tu na ufisadi.
Hawa uliowaorodhesha hapa ni masheikh wa Bakwata au ni wafanyabiashara?

Hizi ni akili za wapi?
 
Hayo yote ni sahihi!

Lakini hekima ya mtu inaonekana wakati panapokuwa na matatizo.

Mnachohubiri ni cha kweli lakini bado mnaidhihaki jamii yangu. Kisa dini? Kwamba sisi ni waislamu?!

Mungu awabariki! Ngoja mimi nikaswali.

..hivyo ndivyo Ccm wanavyotaka.

..wanataka kuwe na mgawanyiko kati yetu Watanzania.

..wasipotumia Udini watatumia ukabila.

..mimi nakusihi uwapuuze watukanaji. wapuuze watukanaji wa dini zote.

..tusipoungana kuupinga huu mkataba hasara itakuwa ni kwetu sote. Haitaangalia huyu ni Muislamu, au huyu Mkristo.
 
Hivi hamna kingine mpaka sasa cha kusema zaidi ya huu ujinga wenu?!!! Mtu analeta hoja ya maana tu mmekamatia huo ujinga wa kujihisi wasomi. PhD zipo ngapi na zimeleta nini?!!! We unafikiri hizo PhD zao zimewaongoza vema kwenye hili?!!!!!!!! Hapa wamekosea sana sana sana sana!!!
Wamekosea wapi?
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Hata wangekua wanaswali mara 60 kwa siku na wakasomewa waraka, je wanautashi kiasi gani cha kuelewa na je jazba na mihemko wanaweza idhibiti?
 
Kwani shida vifungu vya mkataba au DPW au uwekezaji kwa ujumla wake?

..Dpw siwaoni kama ni tatizo.

..Tatizo liko kwenye mkataba.

..Na mkataba una-determine uwekezaji.

..Dpw angekuja kama Ticts ya kina Nazir Karamagi sidhani kama kungekuwa na kelele kubwa.

..pia ingesaidia kama kungetangazwa tender ya wazi na tufanye kazi na kampuni itakayoshinda.
 
Kwani shida vifungu vya mkataba au DPW au uwekezaji kwa ujumla wake?
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Usilolijua ni kwamba Kanisa Katoliki inaongoza Dunia kichinichini.
 
Back
Top Bottom