Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Kutoa maoni sio Siasa, na maoni yatapimwa kwa hoja !!
 
Chama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.

Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Sasa kama una Phd lakini bado unakubali kuinamishwa uingiliwe na mwanaume mwenzio bado tutakutendea haki kukuita msomi??
Pole sana kuna Phd kibao wapuuzi tu ila sikulaumu sana mana sijajua elimu yako imeishia wapi😂😂
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Kuna shekhe yeyote mwenye akili anaweza akaandika waraka ukaeleweka?
 
Uislam hoyee, ukristu sio hoyee baada za kujibu hoja mmekimbilia kwenye mambo ya udin kubebana nk pumbv zn
 
Kina Mwaipopo?
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
 
TEC Wamefanya vyema Sana kuwafafanulia waumini wao vitu ambavyo hawavielewi...hao masheikh nao wakawafafanulie waumini wao kwanini wanaunga mkono mkataba huo
 
Inakua kama hv.
IMG-20230820-WA0007.jpg
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Wewe huna akili,kiufupi tu wewe ni walewale

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mbona PhD za Mafather,Maaskofu,Mapadre zinawatoa povu[emoji1787][emoji1787]
Hatujawazuia viongozi wenu kwenda kusoma.


Wewe unayesema PhD siyo akili,
Nenda kachukue yako uone kama ni rahisi kuipata bila akili.
 
Mkuu wewe usiwasikilize wahuni wachache wanaowakebehi

Lengo ni moja,Kutetea nchi yetu,,watu wa dini zote tuungane
Viongozi wenu pia waseme yale yaliyo ya haki
Tena mimi naamini viongozi wa kwenu sauti yao itapenya zaidi maana hata kiongozi anayeleta hilo jambo anatokea huko,
Atashtuka kuona hata viongozi wake wa kidini hawakubaliani naye.
I miss you too
 
Mbona PhD za Mafather,Maaskofu,Mapadre zinawatoa povu[emoji1787][emoji1787]
Hatujawazuia viongozi wenu kwenda kusoma.


Wewe unayesema PhD siyo akili,
Nenda kachukue yako uone kama ni rahisi kuipata bila akili.
Unaongelea hizi Phd za kununua au??
 
tofauti ya TEC na makanisa mengine na masheikh ni moja tu , TEC ni wasomi tena vipanga sana , wengine wanobaki sijui makinisa mengine na masheikh shule hamna ,
 
Back
Top Bottom