Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
So do iHow are you?
It's my pleasure to see you,Hammaz.
Thanks to Almighty God! I'm still very much alive.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So do iHow are you?
It's my pleasure to see you,Hammaz.
🙏🙏🙏So do i
Thanks to Almighty God! I'm still very much alive.
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Waislamu wa Zanzibar kura zote ni ACT, huwapati kwenye chama chako cha CCMInabidi Waislam tuongie kwenye siasa tukitaka tusitake.
Kwanza Waislam kura zetu zisiende kwa siyekuwa Muislam yoyote. Pili tupandishe wagombea wetu kila sehemu, tusiache mwanya
Waislam tunaamini "mkono wa juu ni bora kuliko mkono wa chini".Maaskofu wanaangalia madhara ya mkataba nyie mnaangalia tende na nyama za siku ya kuchinja
Hakuna tatizo kabisa.Waislamu wa Zanzibar kura zote ni ACT, huwapati kwenye chama chako cha CCM
Maaskofu wameiandikia serikali waraka na si udini uwege na akili.Mbona wakati wa Nape,Makamba na Kinana walipokuwa wakimsema Magufuli watu hawakusema.wanamsema kwa kuwa ni Mkristo?Wanaojificha kwenye kivuli cha udini wanafahamikaSasaa hivi udini ni wazi wazi, huwaoni maaskofu?
Mbona hawafiki kumi ndugu yangu?Aliyegundua simu unayochezea saa hivi no dini gani?Hawa wenye elimu wamegundua nini?Hata njiti za kibiriti hawajui kutengeneza.Elimu unazaliwa nayo,waweza kusoma usielemike.
Leo Algebra(muislamu)huyu hakuwa na Ph D,lakini bila Algebra leo dunia ingekuwa gizani.IT yote inategemea Algebra(muislamu),na bado hatujamtaja Avecina(ibn Sin)muislam na Bado Muhammad Alkhawarizzim(muislamu).
Haya hao wenye Ph D,wamegundua nini,zaidi ya kelele nyingi.
Kwani waislamu hawatetei rasilimali za nchi? Tamko la TEC sio la kidini ni la kizalendo.Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Watoe matamko hamna aliyewakatazaWaislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Ahadi za tende na nyama ya ngamia mkuu ndio inawapa shida ndugu zetu.Maaskofu wameshafanya kazi yao maneno yao ni mepesi tu ila mazito Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu sasa sijui sauti ya hao mashee wenu itakua sauti ya nani...
Nakumbuka kuna shehe mmoja Mwaipopo alipiga biti kwa yeyote atakayehudhuria mkutano wa kupinga huu mkataba uchwara sijui atasomewa nini ili Afe..
Sio kwamba mashee hawajasema wamesema ila hakuna hoja hata mmoja wameamua nao kuchukua vipande 30 vya fedha na kuwauza watu wao.
Kama mashehe wanaona ni Sawa hayo ni mawazo yao ila viongozi wa Kiroho wa Kikatoliki wameona HAPANA Kubwa.
Kuna masheikh Wana hizo PhD zako kibao,usifikiri elimu ya dini ya kiislamu ukiisoma utashindwa kutawala sehemu yeyote duniani...mfano mdogo Ni hao kina Mazinge akisimama kwa hoja Baraza Zima la Tech linakalishwa na hizo PhD zenu za hovyo.Chama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.
Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Hao wote uliowasema na huo utajiri wao walivyoupata, kwa hakika tajiri kuuona ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupita tundu la sindano ,bila sisi kula hizo chapati zao na kupikia gas zao si nao wangekuwa malofa tu sisi ndio tumewatajirisha mkuu.Hawana elimu wamesoma Qur'an tu, kwani kusoma hiyo Qur'an siyo elimu? Wewe ukiamka unakula ngano ya Bakhresa, unakunywa maji ya Bakhresa, unaangalia timu yako ya utopolo kupitia Azam ambayo ni Bakhresa. Unajaza wese gari yako kupitia mafuta unayonunua kwa Oilcom, Lake Oil, Mount Meru nk. Unapikia mihogo yako kupitia gas za haohao, unafurahia Yanga kupitia uwekezaji wa GSM. Hao wote wamesoma hiyo Qur'an unayoona hauna maana. Sasa kati ya wewe uliosoma Lenzi mbinuko na Lenzi mbonyeo nani elimu yake ina impact? Infact, elimu zenu ziko kwenye ujinga tu na ufisadi.
Huna hoja,Bakheresa akisitisha uzalishaji,Mo,Azania na hao wengine waliotajwa na Nani ataathirika.Hao wote uliowasema na huo utajiri wao walivyoupata, kwa hakika tajiri kuuona ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupita tundu la sindano ,bila sisi kula hizo chapati zao na kupikia gas zao si nao wangekuwa malofa tu sisi ndio tumewatajirisha mkuu.
Eti kisomi,msomi anaabudu sanamu la mtu,kwa akili ya PhD kabisa unaweza kuabudu sanamu la yule mama mnaemwita Bikira Maria, na Mwanae mnaemwita Yesu?Ukitaka kujua RC in taasisi imara inaongozwa kisomi angalia mifumo yao na jinsi inavyojiendesha.Kwaio tuache kujadili udini tuangali hili swala kwa maslahi mapana ya taifa.