Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Nilicho muelewa mleta hoja kinachotengenezwa ni cheche tu ili mlipuko utokee Yan machafuko na maana Kila Kona nadhan imeshindikana kutokana na asili yetu ila kama siasa ikiingia kwenye Dini Ina maana ipo siku pata tokea machafuko ambayo yatajikita Kwa minajili ya kulinda rasilimali zetu kupitia Dini ila ukweli ni tunatengenezewa njia ya kuchapana na wenye faida Yao waje wafanye Yao baada ya ujinga wetu wa udini na Kwa vile vijana wengi hawaoni kesho wanakuwa ni wafata upepo

Viongozi hao hao wadini wamekuwa wakiungana kuiombea nchi au shuhuli mbali mbali wameshindwa vipi kuungana na kuomba kuonana na Rais wakatoa Yao ya moyoni na kupendekeza Nini kifanyike kabla ya kuleta Kwa wanachi
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Kwani unadhani wao hawajui kwamba mkataba ni mbovu.
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Mbona hamjibu Hoja zao kuhusu mkataba?
 
Nilicho muelewa mleta hoja kinachotengenezwa ni cheche tu ili mlipuko utokee Yan machafuko na maana Kila Kona nadhan imeshindikana kutokana na asili yetu ila kama siasa ikiingia kwenye Dini Ina maana ipo siku pata tokea machafuko ambayo yatajikita Kwa minajili ya kulinda rasilimali zetu kupitia Dini ila ukweli ni tunatengenezewa njia ya kuchapana na wenye faida Yao waje wafanye Yao baada ya ujinga wetu wa udini na Kwa vile vijana wengi hawaoni kesho wanakuwa ni wafata upepo

Viongozi hao hao wadini wamekuwa wakiungana kuiombea nchi au shuhuli mbali mbali wameshindwa vipi kuungana na kuomba kuonana na Rais wakatoa Yao ya moyoni na kupendekeza Nini kifanyike kabla ya kuleta Kwa wanachi

Punguza jazba wewe umesikiliza waraka au unaropoka tu hawajakurupuka wametumia njia zote bado serikali ya Kilaghai inakaza shingo na huwezi kulipangia kanisa cha kufanya huu sio waraka wa kwanza wala wa mwisho huwezi litisha kanisa lililojengwa kwenye mwamba Imara.

Shauri wateule wako waachane na huo mkataba wa kimangungo
 
Kwani mashehe wanakubali bandari zetu Tanganyika kuuzwa
Au mashehe sio watanzania
Nadhani hata mashehe ni watanganyika wote tuungane kwenye hii kampeni ya kupinga mkataba mbovu
Waraka wa TEC usomwe hadi msikitini swala ya ijumaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.

Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Elimu ni nini??
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.

Kwani maasakofu waliingiza waraka kuhusu mkataba wakiwa kwenye swala?
 
Wakati yule Mwaipopo anasema mwislamu atakayehudhuria mkutano wa kina Dr Slaa atasomewa kunuti huoni kama hata viongozi wenu wanawadharau?
Mwaipopo si katika viongozi wa Kiislamu ambaye akitoa kauli ndiyo imetoka kwa viongozi wa Kiislamu na waislamu waifuate.

Si katika viongozi yeye. Mwaipopo ni Mhadhiri! Mtu wa mihadhara. Ni muislamu ambaye amejikita kwenye masuala ya mihadhara. Si kiongozi kwenye umma wa kiislamu wa Tanzania.

Tamko kama likitoka kwa Waislamu watakaa BAKWATA na Taasisi nyenginezo za Kiislamu. Litashuka mpaka ngazi ya chini. Litashuka mpaka kwa Maimamu. Maimamu ni viongozi wa misikiti yaani wanaoswalisha na kusimamia masuala.yatakayohitajika kwa umma wa waislamu (waumini wa eneo lake).

Hawa ndiyo wanaonana kila siku (swala 5) na waumini wa kiislamu wanaoswali wa eneo husika. Hawa ndiyo watakaotoa tamko na msimamo uliyoamuliwa juu na viongozi wetu wa kidini baada ya kufanya shura (mkutano kujadiliana kwa kina).

Katika hao wote nafasi ya Mwaipopo haipo! Hivyo, yeye kama raia wa Tanzania mweye imani ya kiislamu ametoa maoni yake. Chochote katika matamshi yake akiyatamka kwa kuuzungumzia umma wa kiislamu hasimami kama kiongozi anasimama kama yeye mtazamo wake.

Maneno mengine mithili ya nimeyarudia rudia ili kuliweka hili wazi lipate kueleweka.

Na kwa taarifa hata Waislamu kwa kupitia viongozi wao waliwasilisha mtazamo wa Mwaipopo na kusema si wenye afya njema. Yamfaa ahabarishwe!
 
..Dpw siwaoni kama ni tatizo.

..Tatizo liko kwenye mkataba.

..Na mkataba una-determine uwekezaji.

..Dpw angekuja kama Ticts ya kina Nazir Karamagi sidhani kama kungekuwa na kelele kubwa.

..pia ingesaidia kama kungetangazwa tender ya wazi na tufanye kazi na kampuni itakayoshinda.
Kuanzia 1-4 nimekuelewa, hapo tends ya wazi sijakuelewa. Ni kama hujaelewa investment modal inayotaka kufanywa. DPW au yoyote atakayefanya uwekezaji hapo sio wakala wa kuendesha Bandari, ni investor. Sasa ukiniambia investor apatikane kwa open tendering, ni kama tunapotea. Vinginevyo tusingekuwa na makongamano ya kuvutia uwekezaji.

Juu hilo la Mkataba, mbona Serikali imekubali maoni yaliyotolewa, sasa shida iko wapi?
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Kwani mashehe wanafagilia ndoa ya serikali na dpword?
 
Itakuwa kawaida tu. Hata hivyo hawawezi kutoa tamko au waraka wowote. Hii inahitaji elimu zote kwa pamoja, elimu dunia na ahera. Wengine wana moja tu.
 
Hayo yote ni sahihi!

Lakini hekima ya mtu inaonekana wakati panapokuwa na matatizo.

Mnachohubiri ni cha kweli lakini bado mnaidhihaki jamii yangu. Kisa dini? Kwamba sisi ni waislamu?!

Mungu awabariki! Ngoja mimi nikaswali.
Mkuu wewe usiwasikilize wahuni wachache wanaowakebehi

Lengo ni moja,Kutetea nchi yetu,,watu wa dini zote tuungane
Viongozi wenu pia waseme yale yaliyo ya haki
Tena mimi naamini viongozi wa kwenu sauti yao itapenya zaidi maana hata kiongozi anayeleta hilo jambo anatokea huko,
Atashtuka kuona hata viongozi wake wa kidini hawakubaliani naye.
 
Waingize mara ngapi? kwao uislam ni uarabu maaskofu sio kama masheikh wao wananyoosha na sababu zao ziko wazi zinamlinda kila mtanzania awe mkristo,Muslim,mhindu,mpagani...kwa sababu huko bandarini hakuna msikiti,kanisa wala hekalu.Unataka wazibe macho na masikio kisa mpagani anaonewa?MUNGU wao hayuko hivyo.
 
Kuhusu hili suala uislam umejidhihirisha kuwa ni utumwa si dini na ndio maana mmefungwa na utamaduni wa mwarabu.
 
Chama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.

Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Hivi unadhani PhD ndio akili pole ungekua hivo professor Mruma angeshinda kesi
 
Chama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.

Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Ni kweli CuF ni kama lilivyo tawi la Kanisa-CHADEMA
 

Attachments

  • Screenshot_20230820-201035_Twitter.jpg
    Screenshot_20230820-201035_Twitter.jpg
    71.2 KB · Views: 1
Kuhusu hili suala uislam umejidhihirisha kuwa ni utumwa si dini na ndio maana mmefungwa na utamaduni wa mwarabu.
Na nyinyi mliokalia kimya Ushoga (skuhiz hadi ndoa za jinsia moja mnafungishwa kanisani) kwakuwa Tamko limetoka Vatican tuwaite vipi??? Au watumwa pro
 
Back
Top Bottom