Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Ushawahi sikia padre gaidi?Padre utasikia Jasusi,Komandoo.upende mwingine sasa
 
Eti kisomi,msomi anaabudu sanamu la mtu,kwa akili ya PhD kabisa unaweza kuabudu sanamu la yule mama mnaemwita Bikira Maria, na Mwanae mnaemwita Yesu?
Miaka 2000 iliyopita Kamera man gani? Aliendikwa kwenye biblia aliyempiga picha Yesu na Mama yake na nani aliyehifadhi zile picha mpaka leo,mpaka mnatengeneza na masanamu yao mnayoyaabudu na PHD zenu?

Mkuu, hujui chechote kuhusu katoliki, acha kuingiza Mada ambazo hazihusiani, kwasababu sisi wakatoliki tunaelewa tunachokifanya, hata ukisema hivyo leo hauna cha kunibadilisha na kesho utaniona tena kanisani kwasababu nakifahamu nachokifanya
 
Tatizo mtoa bandiko ujanawa uso........sasa sijui unaalakia nini ...........hivi unajua kwanza umeandika nini?........maana sijaelewa kabisa umesema walaka then vita vya Ukraine..........wewe ni wale wale ........badala ya kwenda pre chekechea wewe ulianzia madrasa............Huna ulicho pata...............wale maaskofu wamewatetea wote kama wewe sifuri na mimi kumi maana nilienda shule ya wazungu mapema kujifunza..........wale maaskofu wanaipenda tanzania yote bila kutaja dini wala kabila la mtu .........wameangalia kesho kutwa ya watoto wote wa tanganyika............
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Kuna aliyewakataza?
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Wangekuwa wanausimamia Uislam vizuri... wasungebariki kuongozwa na MWANAMKE.
 
Masheikh tatizo ni shule hamna anaeweza kuchambua huo mkataba trust me
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Toa ujinga aisee. Msijione waislam peke yenu.

Wakati misikitini zinapigwa kampeni za apewe Lipumba ama apewe Kikwete ulikuwa umezaliwa??.

Toa ujinga aisee, nani kakwambia ishu ya Bandari ni siasa????

Kuna siasa hapo .

Toeni huu upuuzi wa kufanya check and balance.

Mkataba ni wa hovyo,

Period
 
Huwa wanato waraka zao sema vyombo vya habari havichukulli serious mana wanaona hawanaga kitu kichwani..ni pumba tu💨😂
Hata vyombo vya habari havijaripoti waraka huu wa TEC

Waislamu hawana umoja katika masuala yasiyohusu dini yao directly. Wao wana umoja kwenye ishu zinazogusa imani yao.

Ila nao pia wana network yao wakiamua kila swala ya Ijumaa au kila swala fulani kila siku hotuba ihusu mambo ya nchi nao ni Force kubwa tu.
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
TAPIKA TENDE NA HALUA ZA WAARABU
IMG_20230820_214004.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kidogo tu CCM na Serikali yake mmepelekea kutufikisha huku, kwa kuwa Serikali inasema Bandari hii hawajaigawa au kuikodisha milele, basi mnalazimisha nini kuendelea na mkataba huo unaolalamikiwa? Wananchi na raia wenye nia njema wameona kabisa hatari ya Mkataba huo nyinyi mnakomas tu kuwa watu wanapotosha.
Hakuna swali la msingi CCM na Serikali yake imelijibu, Ukomo wa hayo mnayoita makubaliano ni wapi? Msitupige flash eti mikataba midogo midogo itaweka ukomo, Kwani Kuna dhambi gani hayo makubaliano yakasema kuwa kwenye mikataba tutakayoingia haitazidi miaka fulani? Pili, kama swala hili lina maslahi mapana kwa Taifa letu, tupeni sababu moja tu kwanini Bandari ya Malindi Unguja haipo? Kwa maana katika watu wasiotaka mkataba huo yupo Rais Mwinyi mnayeshinda naye kwenye vikao vyenu na baraza la Mawaziri, anzeni kumuelewesha huyo mwenzenu akubali hiyo faida ya DP WORLD.
Mimi sijawahi kuwa upande wa TEC ila kwenye hili la DP nawaunga mkono, na kama mnataka kuwaona kama ni wanafiki rekebisheni hizo kasoro tuone unafiki wao.
Lakini CCM mmetutia aibu kubwa mno, yaani utetezi wenu eti Bandarini Kuna wapigaji...hivi nyie watu mna akili timamu kweli? Hao wapigaji wapo nchi gani? Kwa maana yake nyinyi mmeshindwa kudhibiti rushwa? Mmeweza kumkamata Mdude ila mmeshindwa kuwadhibiti wezi Bandarini Sasa mnataka msaidiwe na DP WORLD...idiots!
CCM mmeacha Rais aingie kwenye hili la udini, na Waislamu wenye akili washajitenga na hii dhambi kwa kisingizio cha udini.
Kuna waarabu na Uislam, waarabu wapo malaghai pia, msihusishe huu ujinga wao na dini.
Hakuna sehemu Uislam unaruhusu unyonyaji na waarabu sio watakatifu kiasi kwamba tuingie mkenge kwenye huu ulaghai wao.
Hapa sio Uislam dhidi ya Ukristo bali ni ulaghai wa CCM dhidi ya Nchi yetu, CCM hata ikiongozwa na dini gani inabaki kuwa adui na kichaka cha wizi. Samia abaki kuwa Muislam na nchi yetu ibaki kuwa Tanzania.
Umeandika TAKATAKA mkuu,
 
Eti kisomi,msomi anaabudu sanamu la mtu,kwa akili ya PhD kabisa unaweza kuabudu sanamu la yule mama mnaemwita Bikira Maria, na Mwanae mnaemwita Yesu?
Miaka 2000 iliyopita Kamera man gani? Aliendikwa kwenye biblia aliyempiga picha Yesu na Mama yake na nani aliyehifadhi zile picha mpaka leo,mpaka mnatengeneza na masanamu yao mnayoyaabudu na PHD zenu?
Ila kuabudu jiwe ruksa?
 

Attachments

  • FB_IMG_1692087231147.jpg
    FB_IMG_1692087231147.jpg
    29.4 KB · Views: 1
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Kiazi kweli, bila shaka na wewe ni mbuzi usiyeweza kuelewa mambo
 
Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.

Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.

Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.

Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Magaidi hawana uwezo wa kuandika waraka.
 
Back
Top Bottom