M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Bora umewakana na umekana upuuzi wao.Aliyesema majini yamuombee Samia ni Shk.Masoud Jongo Imamu wa msikiti wa Manyema siyo Sheikh wa mkoa,hata hivyo hawa watu wanatudhalilisha Waislamu wote na kuonekana washirikina kwa sababu ya njaa zao binafsi.
Mkuu nina swali hapa, kwani ili mtu apate mafanikio ni lazma atumie usaidizi wa nguvu za giza!?Hofu ya utabiri wa Sheikh Yahaya (RIP)
Kwenye maandiko matakatifu hakuna hicho kipengele mkuuMkuu nina swali hapa, kwani ili mtu apate mafanikio ni lazma atumie usaidizi wa nguvu za giza!?
Mimi ni muislamu na sioni ubaya ikiwa mama Samia atafanikiwa kwenye uchaguzi ujao kuendelea kuliongoza taifa, lakini nadhani kwa huo upumbavu unaofanywa na hao wanaojiita masheikh , naona ndio wanamtia mikosi ashindwe kwenye uchaguzi hasa kwa huyo shetani anayedai kuchimja mbuzi na kufanya kisomo Cha ALBADIRI!!.Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
ongeza akili kijana viongozi wengi wamepita waislamu kwa wakirisito na bado rushwa, umasikini, ujinga bado vina iandama Tanzania.Niliwaambia watu hapa JFkuwa viongozi waislamu ndiyo wanatuhalibia nchi ...wapumbavu wakabisha ...ni vyema waislamu waweke pembeni moja kwa moja kwenye uongozi wowote nchini ...nchi iongozwe na wapagani au wakristo tutafika mbali ila waislamu watakuja kuitumbukiza nchi shimoni
Maana yake kutakuwa na umwagaji mkubwa sana wa damu za Watanganyika ili kuyalisha hayo majini ya Samia. Hivi CCM mnataka nini kwa Watanganyika?Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Hili haliwezi kufanya waislamu wakamuwajibisha huyp sheikh jongo?? Angeweza kumpigia kampeni Samia bila kuhusisha majini na uislamuAliyesema majini yamuombee Samia ni Shk.Masoud Jongo Imamu wa msikiti wa Manyema siyo Sheikh wa mkoa,hata hivyo hawa watu wanatudhalilisha Waislamu wote na kuonekana washirikina kwa sababu ya njaa zao binafsi.
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Hii yote sababu ni zile prado na cruiser anazohawa biMkubwaShekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Kwa ufahamu wangu najini ni viumbe visivyopokea amri za kibinafamu.. In short wamemtapeli
Lucas Mwashambwa njoo useme nenoMashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
HatariiiiiMmewaona ndugu wa Damu wa majini. Uislamu bila majini haiwezekani
Nategemea waislamu mtaandamana Hawa masheikh kuhusisha uislamu na shirkiMimi ni muislamu na sioni ubaya ikiwa mama Samia atafanikiwa kwenye uchaguzi ujao kuendelea kuliongoza taifa, lakini nadhani kwa huo upumbavu unaofanywa na hao wanaojiita masheikh , naona ndio wanamtia mikosi ashindwe kwenye uchaguzi hasa kwa huyo shetani anayedai kuchimja mbuzi na kufanya kisomo Cha ALBADIRI!!.
Kisomo hicho ni uchawi wa wazi na kwa ushirikina huo wanaoufanya Mimi naamini wameishamtia nuksi mama Samia kwahiyo uchaguzi wa mwaka huu ni ngumu sana kwa CCM kupata ushindi!. MIKOSI! MIKOSI! MIKOSI!.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Dr.SuleMwenye kufahamu jina la huyu Sheikh.
View attachment 3222765
Sijawahi kuona mijitu mijinga kama hii mijamaa!Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Wilbroad Slaa anasemaje kwa hili CC Lucas MwashambwaTukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Maana yake kutakuwa na umwagaji mkubwa sana wa damu za Watanganyika ili kuyalisha hayo majini ya Samia. Hivi CCM mnataka nini kwa Watanganyika?
Sio dini tu wala kitabu hiko ambacho unacho kisikia ndo vinakataza.. hata maisha halisi hapa duniani yana tukataza kuongozwa na mwanamke.. ndo maana nyumban kwenu Baba yako Ndio kichwa cha familia, kwenye mahusiano yako wewe ndio uliye yaanzisha na wewe ndo utahudumia.Sisi binadamu tunamapungufu mengi sana, na huwenda hizi dini zetu kunaupande ni kama huwa tunadanganyana saana
Hawa hawa Mashekhe kipindi Rais Samia anaingia madarakani, walitusomea aya kuwa, Mwanamke kuwa kiongozi mwenye maamzi, yaani Mtawala, Kitabu na Dini ya Mnyaazi Mungu haikubali
Embu ona tena leo walivyomugeuka Huyu Mnyaazi Mungu na Kitabu chake!
Kuna mahali hata Mungu akitutazama anacheeeka na kutudharau sana kwa sababu huwa hatuna tujuacho kumhusu