Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutapaka mafuta ya kitimoto yutong zote za chamaKwa hiyo siku ya uchaguzi tunatakiwa kutawanya semi trailer 4 za mifupa ya nguruwe uone jinsi majini yatakavyo kimbia zaidi ya SanLG
Ndio kama hivyo miiona baadhi ya waislamu wanafanya mambo mabaya na maovu kama hayo msihukumu kwamba waislamu wote wako hivyo au kwamba uislamu ndio umewaelekeza kufanya hivyo au ndivyo mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم alivyofindisha! Laa hasha hao ni watu waovu wanaouchafua uislamu kwa matendo yao maovu!.Nimekuelewa, lakini hili lingesemwa na mwngine pasingekalika.
Baba mtakatifu aketiye Kitini pake Mtume Petro alishafanya maombi Kwa Rais Samia, Dr Nchimbi na Hussein Bashe walivyomtembelea Vatican 😀🌹Mapadri na wao watoke wamuombee lissu ashinde majini iwe ngoma droo
Nimeona Dr.sule ameanza na yeye kuuza mafuta kama mwamposa, pia anasema Mara nyingi muislamu kutumia majini kupata pesa sio dhambi.Huyu ni mpumbavu mmoja anajiuta Dr sule.
Anachozungumza siyo sahihi.
Mitume wa Allaah wamepewa miujiza ya kuweza kuongea na kuviamrisha viumbe ambavyo havisikii wala kuongea katika hali ya kawaida.
Baadhi ya mitume waliweza kuviamrisha hata miti na mawe na viumbe hivyo vikawasikiliza mitume na kufuata amri zao.
Nabii Suleiman aliwezeahwa kuzungumza na wanyama wote na alifundishwa lugha za ndege sisimizi na wanyama wengine ikiwa pamoja na mashetani na majini pia aliwezeahwa kuuamrisha hata upepo ufanye anavyotaka na upepo ulifanya.
Mtume صلى الله عليه وآله وسلم hakufuga majini ila kwa uwezo wa Allaah aliweza kuongea nao na kuwadhibiti baadhi ya majini waovu wasifanye kama kupita mbele yake akiwa anaswali na kitendo hiki ni katika miujiza aliyopewa kithibitisha utume na unabii wake na haimaanishi kwamba alifuga majini.
Tukisoma biblia hata Yesu aliyaamrisha mashetani yameache mgonjwa na yahamie kwenye kundi la nguruwe na kitendo kama hicho ni katika miujiza ya kuthibitisha utume na unabii wake na kila mtume na Nabii hupewa miujiza kulingana na hali , mazingira na watu aliotumwa kwao .
Tumia akili ....... hakuna kiongozi muislamu mzalendo tanzania .... ufisadi umejengwa na viongozi waislamu tz ...hata kanuni za kushikilia maiti muhimbili ni tunda la viongozi wapumbavu wa kiisiharamu...hayo mambo yameletwa awamu zao ...chunguza ninacho sema ....viongozi wakristo wamekuwa wanakuja kupambana na misingi mibovu na miovu iliyo letwa na viongozi waislamu ...nitajie mtoto yoyote wa rais asiye muislamu ambaye ametumia cheo cha baba yake au mama yake kufanya ufisadi na ufilauni hapa tanzania ...HATA ULE MSEMO WA BABA FISADI MAMA KAHABA..MTOTO ANAUZA NGADA unafiti kwa viongozi waislamu tu hapa tanzania ....mcheki riziwan ...mcheki abdul nkongeza akili kijana viongozi wengi wamepita waislamu kwa wakirisito na bado rushwa, umasikini, ujinga bado vina iandama Tanzania.
Kuna issue ya hawa makafiri kujiona ni bora sana kuliko wapagani, Waislam, rastafarai nk
Lissu ayasambaratisheHaya matapeli yamejificha kwenye dini kupiga dili na ushirikina
Wew una msongo wa mawazo pumzika kdg kama maiti ya ndugu yako ilizuiliwa muhimbili hilo sio kosa la raisi, kuna uongozi pale hospital raisi ana majukumu zaidi ya hayo..Tumia akili ....... hakuna kiongozi muislamu mzalendo tanzania .... ufisadi umejengwa na viongozi waislamu tz ...hata kanuni za kushikilia maiti muhimbili ni tunda la viongozi wapumbavu wa kiisiharamu...hayo mambo yameletwa awamu zao ...chunguza ninacho sema ....viongozi wakristo wamekuwa wanakuja kupambana na misingi mibovu na miovu iliyo letwa na viongozi waislamu ...nitajie mtoto yoyote wa rais asiye muislamu ambaye ametumia cheo cha baba yake au mama yake kufanya ufisadi na ufilauni hapa tanzania ...HATA ULE MSEMO WA BABA FISADI MAMA KAHABA..MTOTO ANAUZA NGADA unafiti kwa viongozi waislamu tu hapa tanzania ....mcheki riziwan ...mcheki abdul nk
Ndo maana masheik wakaona waikomba kwa allah, itakua soo maana amekataza wakaona wayacheki majini masheik so majinga ni majanjaSi nasikiaga kwenye dini ya kiislamu mwanamke harusiwi kuwa kiongozi?
Aya za shetani..Kumbe wenzetu wanatumia majini?
Jini hutumwa na binadamShekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Kwa ufahamu wangu najini ni viumbe visivyopokea amri za kibinafamu.. In short wamemtapeli