Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Kwa hapa waislam tumefeli na wakristo wakitusena wanakuwa kwenye haki kabisa

Viongozi wa BAKWATA ni wachumia tumbo tu hamna cha usheikh hapo

Kwanza picha linaanza huyo mufti ni Mganga na viongozi wengi wa BAKWATA ni waganga wa kienyeji


BAKWATA= CCM
 
Hali ni tete sana...
Shetani sasa anajidhihirisha namna alivyoitawala nchi hii kupitia CCM
Hawa nawaona kama makahaba wakiume wanaojipendekeza kwa mama Samia ili warambishwe asali.
Jambo ambalo mnatakiwa kujua ni kwamba viongozi wengi wa kisiasa kwa Tanzania bara ukimuondoa Mzee Mwinyi na Aboud Jumbe ( ambao ni wazanzibar ) hawakusoma elimu ya dini kabisa!. Mama Samia pamoja na kwamba ni mzanzibar lakini kwenye elimu ya dini ni mweupe!.
Sasa watu wa aina hii wanapokutana na masheikh wanaoendekeza NJAA huzidi kupelekwa gizani na viongozi hawa kwa sababu hawakupata fursa ya kusoma dini hushindwa kuelewa kuwa wanazidi kupelekwa motoni kwa dua za kumuomba shetani badala ya Allaah.
Nachotaka muelewe hapa ni kwamba wanachokifanya hawa wapuuzi wanaojifanya wasemaji na viongozi wa waislamu sio msimamo wa CCM!.
CCM ni chama cha kijamaa na HAKINA dini wala dhehebu na ndani ya CCM kuna waislamu, wakristo na hata wapagani wamo kama akina Kingunge! Kwahiyo huu uhuni uliofanywa na hao viongozi wa bakwata na huyo ibilisi anayejiita Maalim kingu isiwe sababu ya kusema CCM ni chama cha mashetani kwasababu hao hawawakilishi chama cha siasa.
Mama Samia anaweza kuwaunga mkono kutokana na unafiki wa kisiasa kama ambavyo hata walokole wakitangaza kumuombea kwa Yesu na maria wamsaidie ashinde uchaguzi pia atawakubalia kutokana na unafiki wa kisiasa.
Mabaniani wanaoabudu ng'ombe na masanamu mengine ya akina Krishna na mengine pia wakitangaza kuiomba miungu yao imuwezeshe mama ashinde uchaguzi pia mama atawashukuru.
Hizi siasa mtu akishaingia hupenda kuyaridhisha makundi yote yanayoonyesha kumuunga mkono ndiyo maana utamkuta mwanasiasa bila kujali dini yake siku ya idi atakuwa msikitini na siku ya pasaka atakuwa kanisani.
Nakumbuka Wiliamu Ruto na Rigathi Gachagua mwezi wa Ramadhani iliyopita waliingia msikitini na kusali na waislamu swala ya magharibi kisha nadhani kupata futari na waislamu na wakati huo alikuwa yupo kwenye kampeni za uchaguzi wa Kenya uliopita.
HIVYO NDIVYO WANASIASA WALIVYO.
 
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Kwa ufahamu wangu najini ni viumbe visivyopokea amri za kibinafamu.. In short wamemtapeli
Mkuu hao ni waganga hao

Wanamiliki mashetani maana sio majibu

Japo pia hawana uwezo huo wanaousema

Ni utapeli tu
 
Kwa hiyo kwa sasa kirefu cha CCM ni Chama Cha Majini!!
Jamani kumbukeni ndani ya CCM kuna watu wa dini tofauti tofauti pamoja na wasiokuwa na dini (wapagani )
CCM ni chama cha kijamaa ila wafuasi wao Wana dini zao.
Kesho au keshokutwa linaweza tokea kanisa linaloongozwa na askofu au mchungaji mwenye njaa zake akamuombea Mama Samia kwa iina la Yesu na maria wamsaidie ashinde uchaguzi.
Hilo likitokea haitamaanisha kwamba CCM ni chama cha kikristo.
Huu ni mwaka wa uchaguzi kwahiyo jiandaeni kushuhudia visa na vituko mbalimbali!.
Hilo walilolifanya hata kama nyinyi hamfurahii kuna wakristo wenzenu waliomo ndani ya CCM kama akina Dr Nchimbi na Paul Makonda ambao hawaoni kuwa hao masheikh wamefanya kosa lolote.
HIVYO NI MOJA YA VISA NA VITUKO VYA MWAKA WA UCHAGUZI!
 
Kwa hapa waislam tumefeli na wakristo wakitusena wanakuwa kwenye haki kabisa

Viongozi wa BAKWATA ni wachumia tumbo tu hamna cha usheikh hapo

Kwanza picha linaanza huyo mufti ni Mganga na viongozi wengi wa BAKWATA ni waganga wa kienyeji


BAKWATA= CCM
Hapana! Kusema Bakwata ni CCM na CCM ni bakwata sio sawa!
Ndani ya CCM kuna watu wa dini na madhehebu tafauti tafauti.
Ndani ya CCM kuna waislamu kama mama Samia, Kikwete nk.
Ndani ya CCM kuna wakristo wakatoliki kama akina Dk Nchimbi, Paul Makonda nk.
Ndani ya CCM kuna wakristo wa Madhehebu mengine kama akina askofu Gwajima nk.
Kwahiyo maneno ya kihuni yaliyosemwa na hao masheikh siyo msimamo wa CCM japo CCM hawawezi kuwakataa kutokana na unafiki wa kisiasa wa kutokuwa na upande wowote na kumuunga mkono kila anayekuunga mkono.
 
Kuna kazi kubwa ya kurudisha utaifa wa taifa hili huko tuendako ...
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?


Hizo sala zitafanya kazi tu kama kuna reform bila hivyo wanaombea wizi mwema😂
 
..tujiepushe kukosoa viongozi.

..mara nyingi mkiwakosoa viongozi wa dini, waumini wa dini husika huhisi mmeivunjia heshima dini yao.

..kiongozi wa dini akikosea kwa kutokujua, au kwa makusudi, ni vizuri kupotezea tu kwani watu wana akili za kujua jambo sahihi, na lisilo sahihi.
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Masheikh tena na majini ya vitabu.....hii ni laana kwa taifa. Imagine taifa linaongozwa na majini.
 
Kuna watu hawaelewi kinacho endelea hawaelewi nguvu za Mungu zinazo fanya kazi na mwisho wa huu mtalange utakavyokuwa. Nawaomba msubiri muone wenyewe nadhani sina mengi ila mwaka huu Taifa la Tz litamuona Mungu wakati wa mchana kweupe dunia itajithibitishia Tz sio Taifa la kawaida yupo Mungu tena Mungu wa Israel. Amen
Sijui ni kwa namna gani lakini nashawishika kukubaliana na hili usemalo
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Kama naona Tanzania inaanza kuwa nchi iliyo chini ya majini wa vitabu
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Ndio dini inataka hivyo.. uhuru wa kuabudu tuheshimu.
Hiyo ndio ya HAKI.
 
Jini ni kiumbe tu kama ulivyo wewe , jini na binadamu wanapomkosea Allah wanakuwa mashetani
 
Katiba mpya ni muhimu sana .

Rais ana mamlaka makubwa kuliko Mungu kwenye hizi nchi zinazofanana na Kongo kwa wingi wa Rasilimali .
Waarabu na wazungu wanawanunua sana watawala wa nchi za Afrika .

Katika nchi hizo marais wana pesa nyingi sana wanazogawa kwenye hizi taasisi za Dini kwa lengo la kuwapigia debe . Hapo wanaona Hija inakaribia na fungu la kuwapeleka maka lipo . Ni lazima majini yapewa nafasi ya kuongoza nchi .


Yaani wetu na akili zao wanasifika Bandari kupewa Wageni . Waafrika ni wapuuzi sana . Hapo dini imewekwa mbele utadhani ndiyo iliyowaleta Waarabu Tanzania . Waarabu wamekuja kuchukua pesa kwenye bandari na misitu na wanayama huku waliwaacha wajinga wakiwa wanakunywa chai na kusifia mizimu ya kiarabu na umaskini na huduma za afya duni kabisa .Wao wanakwenda kujenga nchi zao zenye ukame.

Siwezi kushangaa Kwamba majini ndiyo yanayoombwa badala ya Mungu Muumbaji mtenda haki . Maana kwa hakika Mwenyezi Mungu hakikutoa idhini kwa mwanamke kuwatawala wanaume au kuwa kiongozi wa wanaume na jamii kwa ujumla . Hapo Mungu hashitikishwi zaidi ya majini . Kule Dubai hakuna Mwanamke anatewatawala wanaume hata Saidia Arabia ilipotoka dini lakini huku Pesa inahalalisha haramu kuwa halali na halali kuwa haramu .

Lakini sijawahi kusikia Bakwata wakizungumza habari za haki katika uchaguzi . Wanadhani wako salama sana chini ya udhalimu wa watawala na wizi wa mali za umma .

Hata hivyo Giza haliwezi kuishinda Nuru . Haki itashinda na dhulma itabaki kwenye laana ya milele .
Samia akishinda kwa dhulma itakua ni hasara kubwa sana kwake duniani na ahera .
CCM ndiyo Chanzo Cha Matatizo.
 
Back
Top Bottom