Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kabsa Mkuu! Sisi tunaomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu! Shughuli ya Malaika Mikaeli wataisoma namba
Neno utatoa wapi ww!!! Walokole Ni tatizo kubwa kafanye kazi ww neno litakusaidia nn kufakala ww
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Majini tena?Hakuna kitu hapo.Imani batili dhidi ya Mungu aliye hai.
 
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Kwa ufahamu wangu najini ni viumbe visivyopokea amri za kibinafamu.. In short wamemtapeli
Uzi ufungwe.
 
Unaambiwa majini ya CHADEMA yamechachamaa huko bahari ya Hindi
Majini ya CHAUMA yenyewe yako bize na Mpunga
 
Huyu ni mpumbavu mmoja anajiuta Dr sule.
Anachozungumza siyo sahihi.
Mitume wa Allaah wamepewa miujiza ya kuweza kuongea na kuviamrisha viumbe ambavyo havisikii wala kuongea katika hali ya kawaida.
Baadhi ya mitume waliweza kuviamrisha hata miti na mawe na viumbe hivyo vikawasikiliza mitume na kufuata amri zao.
Nabii Suleiman aliwezeahwa kuzungumza na wanyama wote na alifundishwa lugha za ndege sisimizi na wanyama wengine ikiwa pamoja na mashetani na majini pia aliwezeahwa kuuamrisha hata upepo ufanye anavyotaka na upepo ulifanya.
Mtume صلى الله عليه وآله وسلم hakufuga majini ila kwa uwezo wa Allaah aliweza kuongea nao na kuwadhibiti baadhi ya majini waovu wasifanye kama kupita mbele yake akiwa anaswali na kitendo hiki ni katika miujiza aliyopewa kithibitisha utume na unabii wake na haimaanishi kwamba alifuga majini.
Tukisoma biblia hata Yesu aliyaamrisha mashetani yameache mgonjwa na yahamie kwenye kundi la nguruwe na kitendo kama hicho ni katika miujiza ya kuthibitisha utume na unabii wake na kila mtume na Nabii hupewa miujiza kulingana na hali , mazingira na watu aliotumwa kwao .
Sasa mbona sisi tukikemea na kuamrisha mapepo mnakataa utume na unabii wetu?
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Wewe unayeamini kuwa Majini ndo yatamchagua Kiongozi basi ndio huna akili
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.

Kwa kweli litakuwa ni jambo hema maana ile ya viongozi wa CCM kujazana kwa waganga wa kienyeji wakati wa uchaguzi, wameona haitoshi. Sasa wameamua kuwatumia wachawi wanaotumia dini!! Wanatamani Taifa liongozwe na nguvu za shetani.

Lakini hakika watashindwa, watu wa Mungu wazidi kumtegemea Mungu, hayo majini yao yatawarudia na kuwadhuru wao wenyewe na familia zao.
 
Mimi huwa naishia kulaumu mfumo tu. Hii kitu ilianza kidogo kidogo za kusifia mtu hata akaitwa mungu, sasa viongozi wa dini ambao hawafungamani na siasa wanakuwa wanasiasa, kwani hakuna wakristo, waislamu , budha, na imani zingine ambao sio ccm? Vipi waislamu wa chadema?
Viongozi wa dini acheni siasa mnakosa sifa ya kuwa washauri na kuonyesha kuwa mko kimaslahi.
 
Mufti yeye si mganga by proffesional

Ova
 
Wewe unayeamini kuwa Majini ndo yatamchagua Kiongozi basi ndio huna akili

Wewe punguani usiwe unachangia ukiona wenye akili wanachangia. Hao waliosema majini yahakikishe Samia anakuwa Rais, unafahamu wanaowaongoza watu milioni ngapi? Kama mimi niliyeleta tu kauli za hao viongozi, nitakuwa sina akili, hao mamilioni wanaoongozwa na hao watu, unawaambiaje?
 
Nchi hii inatakiwa ipate amshaamsha kama wanayopata wacheza sebene huko labda akili zitakaa sawa

Iva
 
Dkt Samia hana mpinzani, atashinda kwa 98% hilo halina ubishi.
Atakaye fanya fyoko atatupiwa Jini kali.
 
Back
Top Bottom