Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tuseme tu Mungu mwenyewe ndio mjuzi zaidi ila ukiangalia dunia ilipofika ambapo tunaweza kuwasiliana na mtu ambaye yupo mbali sana na wewe tena pengine pasina hata kumjua wala kumuona, hivyo pengine tatizo baadhi ya hizo njia zitumikazo kuwasiliana na hao viumbe.
Hicho ndicho kichochoro wanachokimbilia wale masheikh na walimu watetezi wa mambo ya ushirikina na uchawi wanapokosa hoja ya kutetea uchawi wao hukimbilia kufananisha uchawi na mambo ya maendeleo ya sayansi na teknolojia.
Ni WAONGO SANA.
Kuagua na kupiga ramli wanasema ni sawa na X-ray na Ultrasound!
SIO KWELI!
Ushirikina na uchawi vimekuwepo kwa Karne nyingi sana tangu enzi za Nabii Nuhu عليه السلام na mitume na manabii wote walikuja kuwatahadharisha wafuasi wao waepukane na mambo ya Ushirikina kama anavyosema Allaah katika Suurat Annahli Aya ya 36 ya kwamba :
"{ وَلَقَدۡ بَعَثۡنَا فِي كُلِّ أُمَّةٖ رَّسُولًا أَنِ ٱعۡبُدُواْ ٱللَّهَ وَٱجۡتَنِبُواْ ٱلطَّٰغُوتَۖ فَمِنۡهُم مَّنۡ هَدَى ٱللَّهُ وَمِنۡهُم مَّنۡ حَقَّتۡ عَلَيۡهِ ٱلضَّلَٰلَةُۚ فَسِيرُواْ فِي ٱلۡأَرۡضِ فَٱنظُرُواْ كَيۡفَ كَانَ عَٰقِبَةُ ٱلۡمُكَذِّبِينَ }
Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: MUABUDUNI ALLAAH, NA MUEPUKENI SHETANI. Basi kati yao wapo alio waongoa ALLAAH. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kakadhibisha".
Na kuhusu wanaadamu kutaka msaada kwa majini , majini wenyewe baada ya kusilimu walibainisha kwamba walikuwa wakiwasaidia baadhi ya watu waliotaka msaada na wao wakawaamrisha kufanya madhambi ikiwa ni sharti la kupata msaada waitakao hao watu kama walivyosema majini katika suuratul jinni Aya ya 6 kwamba :
"{ وَأَنَّهُۥ كَانَ رِجَالٞ مِّنَ ٱلۡإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٖ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَزَادُوهُمۡ رَهَقٗا }
Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga ( kutaka hifadhi na msaada )
kwa wanaume wa kijini; KWA HIVYO WAKAWAZIDISHIA MADHAMBI."
Mtume صلى الله عليه وآله وسلم
Kuna madhambi saba ambayo kayaita kuwa ni yenye kuangamiza na na dhambi ya kwanza kataja ni ushirikina na dhambi ya pili ni uchawi kama ilivyo katika hadithi aliyopokea Imamu Albukhary kutoka kwa swahaba Abuu Huraira kwamba mtume صلى الله عليه وآله وسلم
kasema: اجْتَنِبُوا السَّبْعَ الْمُوبِقَاتِ ". قَالُوا : يَا رَسُولَ اللَّهِ، وَمَا هُنَّ ؟ قَالَ : " الشِّرْكُ بِاللَّهِ، وَالسِّحْرُ، وَقَتْلُ النَّفْسِ الَّتِي حَرَّمَ اللَّهُ إِلَّا بِالْحَقِّ، وَأَكْلُ الرِّبَا، وَأَكْلُ مَالِ الْيَتِيمِ، وَالتَّوَلِّي يَوْمَ الزَّحْفِ، وَقَذْفُ الْمُحْصَنَاتِ الْمُؤْمِنَاتِ الْغَافِلَاتِ ".
Jiepusheni na madhambi saba yenye kuangamiza .
Wakasema: Ee mjumbe wa Allaah ni yepi hayo ?
Aksema:
" 1️⃣ kumshirikisha Allaah, na 2️⃣ Uchawi, na 3️⃣ Kuiua nafsi ( kuua mtu ) ambayo Allaah ameharamisha kuiua isipokuwa kwa haki , na 4️⃣ Kula riba , na 5️⃣ Kula mali ya yatima , na 6️⃣ Kukimbia siku ya vita ( kuwasaliti waislamu kwa kukimbia wakati wa mapambano na makafiri ) , na 7️⃣ Kuwasingizia ( dhambi ya uzinifu ) wanawake wenye kujitunza, waislamu, wasiofanya madhambi ya zinaa. Kwahiyo kufananisha uchawi na mambo ya sayansi ya kisiasa ni kutaka kuupotosha uislamu na kuwatoa waislamu kwenye njia ya sawa na kuwapeleka kwenye ushirikina.
Ushirikina na uchawi umekuwepo na umekemewa kwa maelfu ya miaka iliyopita kabla ya kudhihiri maendeleo ya sayansi ambayo imekuja ndani ya miaka 300 tu iliyopita. Na Lau kama mawasiliano kwa njia ya sayansi na teknolojia ingekuwa sawa na uchawi basi wanachuoni wanaotambulika duniani ( achana na hawa wahuni wa hapa TZ wanaohalalisha uchawi ) wangekuwa walishaandika vitabu kuwakataza waislamu kutumia mawasiliano ya sayansi na teknolojia .
 
Mimi ni muislamu.
Uislamu unatutaka tunapozungumza tuwe waadilifu.
Katika uadilifu ni kwamba mtu akisema ukweli hata kama ni adui yako mwambie kwahilo umesema kweli!
Na mtu akisema uongo hata kama ni rafiki yako mwambie kwahilo rafiki yangu umesema uongo.
Mimi kwa sasanina umri wa miaka 48.
Tangu nikiwa mtoto wa miaka 12 nilikuwa nikisikia tuhuma kutoka kwa wakristo wakisema sisi waislamu tunafuga majini na uislamu ni dini ya majini nikawa napinga kwa nguvu zote.
Baada ya kukua , kusoma na kutembea na kukutana na makundi mbalimbali ya waislamu wenye Imani, itikadi na misimamo tafauti nikagundua kwamba ni kweli kuna baadhi ya waislamu wanashirikiana na majini waovu ( mashetani ) katika kazi zao za uganga, uchawi na ushirikina na hao ndio wamechafua jina la uislamu na waislamu kuonekana katika macho ya jamii ya wakristo kuwa uislamu ni dini ya majini.
Kinachotakiwa sio kukataa jambo hili , bali ni kufafanua kuwa hao waislamu wenzetu wanaoshirikiana na mashetani wanakosea na dini yetu kupitia Quran na hadithi za mtume صلى الله عليه وآله وسلم inakataza mambo ya ushirikina wa aina zote ila Hawa wenzetu ambao wengine ni maimamu katika baadhi ya misikiti wamekengeuka na kumfuata shetani na kuyapa mgongo mafundisho ya uislamu yanayopiga vita aina zote za matendo ya ushirikina.
Mfano wa waislamu wanaoendekeza mambo hayo ni Dr sule anayefikia hatua ya kumsingizia mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم kwa kutangaza kwamba HATA MTUME MUHAMMAD صلى الله عليه وآله وسلم ALIFUGA MAJINI.
Mfano mwingine wa waislamu wanaofanya vitendo vya kishirikina hadharani ni huyu anayejiita Maallim kingu anayetangaza kusoma Albadiri na kuchinja mbuzi ili mama Samia apate mitano tena.
Huu ni ushirikina wa wazi unaofanywa na baadhi ya wanaojiita waislamu na huko sirini husema na kufanya mabaya zaidi ya hayo.
Umemaliza na ambao hawatakuelewa watakuwa ni wababaishaji tu ! 🙏
 
Majini yametajwa, haujaisikiliza?
Tatizo nyie wagalatia mnashndwa kumjua mganga na shekhe..video zipo mbili ya shekhe mkuu na na shekhe mganga
Nikufafanulie kidogo mganga yyt ambaye ni shekhe hana mamlaka ya kusalisha sala sababu yy ameshamkufuru mwenyezimungu hukumu za dini ya kiislam zipo wazi ukipiga ramli ukipima uwezo wa mwenyezimungu umekufuru hivo kama ni shekhe wa msikiti unaondolewa...
 
Waislam ndio waasisi wa Ushoga na Ufiraji, hata Mombasa na Zanzibar mlipojaa na Ufiraji na Ushoga vimejaa

Na sasa mpaka usagaji mnasambaza kwa kasi Sheikh
Ona sasa ulivyojaa kiroja kwhy dunia nzima tunafuata wasenge wa mombasa na Zanzibar kwa kuwa ndo waliomzisha...mzungu kabisaa afuate jambo liloloanzishwa na mwafrika au mwarabu?..
Tokea mwaka 1967 huko taifa la Israel lilipitisha kutambua mapenzi ya jinsia moja kwa nini waanzishaji wasianze kupitisha?..nenda Google ukatazame baraza la mawaziri la Israel lina mawaziri wangapi mashoga?..cm unayo hebu Google ujionee taifa lako teule linatambua ndoa za mashoga
 
Wewe kweli kichwani ni empty 🚮,umeshindwa kuwatetea viongozi wako wanaokujaza ujinga, unakuja na hoja za kipumbavuu
Nimekuuliza swali hebu jibu kwnz weeh mgalatia...kwani Rais Samia ndo wa kwnz kuombewa na viongozi dini?..
 
Mbona kama umeumia sana wewe mvaa kobazi?,hio imani unayoitetea huna unasaba nayo lakin mshipa wa matako unavyokutoka
Ipi wewe ambayo una nasaba nayo? nagawa wastani kutokana na mgalatia unavyokuja...ukija kama Yesu mungu nakupa wastani wako ukija kama Yesu ni mtoto wa mungu nakupa za kutosha hapo ulipo hujui ushike lipi?
 
Endelea kuishi kwa kuamini,wewe huna tofauti na mtoto anaeamini hadithi za sungura na fisi
Ninachojua mmejaa uzushi hiyo laana haitowaacha wagalatia wote..unataka kusema humjui yesu ni Brian Deacon?..umechorewa picha ukachongewa kinyago ukawekewa na movie vyote hivo unalazimishwa uamini tu...mkaona mje na uzushi kabambe kwmb anawatokea na kumuota blah blah kibao mara nimeongea na mungu.
 
Acha kupindisha mada. Bila Majini samia hashindi! Hii vita mliyoingia ni kubwa kweli kweli, Ngojeni muone nguvu ya asiyetumia majini.
Bora sasa mkae kwa hofu ya majini...Congo hapo Rais mgalatia mwenzenu mmekaa kimya...wala hakuna kelele za kobazi...Si Yesu anawatokea na kuwalinda kwa nini asiende kuwalinda wagalatia wenzenu?...laana ya uzushi haitowaacha wagalatia wote duniani
 
Ona sasa ulivyojaa kiroja kwhy dunia nzima tunafuata wasenge wa mombasa na Zanzibar kwa kuwa ndo waliomzisha...mzungu kabisaa afuate jambo liloloanzishwa na mwafrika au mwarabu?..
Tokea mwaka 1967 huko taifa la Israel lilipitisha kutambua mapenzi ya jinsia moja kwa nini waanzishaji wasianze kupitisha?..nenda Google ukatazame baraza la mawaziri la Israel lina mawaziri wangapi mashoga?..cm unayo hebu Google ujionee taifa lako teule linatambua ndoa za mashoga
Acha ubwabwajaji...kwasasa mpo vizuri kwenye hayo mambo vijana wa Mwamedi
 

Attachments

  • Screenshot_20250204_183940_Chrome.jpg
    Screenshot_20250204_183940_Chrome.jpg
    255.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250204_183838_Chrome.jpg
    Screenshot_20250204_183838_Chrome.jpg
    163.4 KB · Views: 1
Hapa shida ni moja tu,
baadhi ya watu hawajui kwamba Majini waislamu wapo
Sisi waislam tunaamini majini ni viumbe km viumbe wengine...sasa kama tunaamini ni viumbe kwa nini tuviombe?
Hapo video zipo mbili moja ya shekhe mkuu na nyngn ni ya shekhe mganga sasa tatizo lenu wagalatia hapo ndo mnapojikoroga mganga sio kiongozi wa kidini ktk uislam huyo ni mganga na mganga njia zake ni kumkufuru mwenyezimungu
 
Acha ubwabwajaji...kwasasa mpo vizuri kwenye hayo mambo vijana wa Mwamedi
Wapo waislam wengi tuu mashoga mabasha kama unataka justification ya za kidini...ni dini ipi kati ya hizi mbili iliyoruhusu official ndoa ya jinsia moja?...hata nikute mashoga 100 ya kiislam lkn si mwongozo wa dini..
Wenzetu mnaongea na mungu mda wwt mnapokea maagizo yake daily dini ina matamko wana kondoo mnatakiwa mfuate nikufahamishe uislam ushamaliza hukmu zake ukiwa mwizi ukiwa mzizi ukiwa shoga vyote vina hukmu yake hakuna jipya...kazi kwenu wagalatia waraka wa Papa Francis upo active na ameshawaambia Africa mtakubali tu kidogo kidogo yanii hapo ana maana kuwa kfiro kipo pale pale kama sio uzao wako basi wewe utafirika
 
Wapo waislam wengi tuu mashoga mabasha kama unataka justification ya za kidini...ni dini ipi kati ya hizi mbili iliyoruhusu official ndoa ya jinsia moja?...hata nikute mashoga 100 ya kiislam lkn si mwongozo wa dini..
Wenzetu mnaongea na mungu mda wwt mnapokea maagizo yake daily dini ina matamko wana kondoo mnatakiwa mfuate nikufahamishe uislam ushamaliza hukmu zake ukiwa mwizi ukiwa mzizi ukiwa shoga vyote vina hukmu yake hakuna jipya...kazi kwenu wagalatia waraka wa Papa Francis upo active na ameshawaambia Africa mtakubali tu kidogo kidogo yanii hapo ana maana kuwa kfiro kipo pale pale kama sio uzao wako basi wewe utafirika
Acha kubwabwaja Bin Mudy, IMAMU Daaiye Abdullah, Nur Warsame na wale wa South Afrika wanazidi kupata Waumin wengi wa Kiislam

Ushoga mliuasisi ninyi, mwaita Sunna🤣
 
Acha kubwabwaja Bin Mudy, IMAMU Daaiye Abdullah, Nur Warsame na wale wa South Afrika wanazidi kupata Waumin wengi wa Kiislam

Ushoga mliuasisi ninyi, mwaita Sunna🤣
Uislam haufuati matamshi mtu wala itikadi yake hakuna Sunna iliyoachwa katika Uislam..*Sunna maana yake mawaidha ktk Qur'an *...sasa kama Sunna haipo kwny Qur'an kivipi iitwe Sunna na tusisome na kufuata?
Pale Pale nakurudia tena UZUSHI...ndo mliolaaniwa nao kama mmeweza kumzushia Yesu ni mungu mtashndwa vipi kwa vingine ?
Mmezushia Yesu kwa picha
Vinyago na Movie...mtashndwa na jambo gani la kuzusha?..
Sasa mnamuota na mnaongea naye...
Weeh mgalatia Uislam haufuati matamshi ya shekhe yyt zaidi ya hukmu zake
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
View attachment 3222655
View attachment 3222658
Hawa waislamu wanaabudu majini, sasa tukae nao mbali aisee, Quran 2:97.
 
Uislam haufuati matamshi mtu wala itikadi yake hakuna Sunna iliyoachwa katika Uislam..*Sunna maana yake mawaidha ktk Qur'an *...sasa kama Sunna haipo kwny Qur'an kivipi iitwe Sunna na tusisome na kufuata?
Pale Pale nakurudia tena UZUSHI...ndo mliolaaniwa nao kama mmeweza kumzushia Yesu ni mungu mtashndwa vipi kwa vingine ?
Mmezushia Yesu kwa picha
Vinyago na Movie...mtashndwa na jambo gani la kuzusha?..
Sasa mnamuota na mnaongea naye...
Weeh mgalatia Uislam haufuati matamshi ya shekhe yyt zaidi ya hukmu zake
Acha uzushi Bin Mwamedi, Uislam unawataka Waumin muwaheshimu na kuyafuata ya Viongozi wenu 🤣🤣🤣
 
Acha uzushi Bin Mwamedi, Uislam unawataka Waumin muwaheshimu na kuyafuata ya Viongozi wenu 🤣🤣🤣
Uislam hauna huyo mtu kwmb kiongozi mkuu wa dini..Uislam unafuata hukmu zake na sifa za uzushi mnazo nyie wagalatia au umesharidhika na uzushi wa picha yake iliyopo kila sehemu ya dunia?
 
A
Uislam hauna huyo mtu kwmb kiongozi mkuu wa dini..Uislam unafuata hukmu zake na sifa za uzushi mnazo nyie wagalatia au umesharidhika na uzushi wa picha yake iliyopo kila sehemu ya dunia?
Acha Maruhan wewe bin Mudy, Uislam ndio uliasisi ushoga, hata hivi sasahivi Waarabu wanawaharibu wanawake zao nyuma na kuficha tupu ya mbele, nanyi Waarabu wa magomeni mapipa mkaiga
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
View attachment 3222655
View attachment 3222658
Hawa ni ndugu zake mswaki mbuyu
 
A

Acha Maruhan wewe bin Mudy, Uislam ndio uliasisi ushoga, hata hivi sasahivi Waarabu wanawaharibu wanawake zao nyuma na kuficha tupu ya mbele, nanyi Waarabu wa magomeni mapipa mkaiga
Basi Uislam ulianzishwa ili kuasisi maasi yote uzinzi wizi ushoga ujambazi...nyie wagalatia ni watakatifu kabisaa isitoshe pia tuna majini nyie ni watakatifu...
Sababu naona unaeleza hulka ya mtu binafsi nimekuuliza swali ni dini ipi iliyotoa justification ya kuidhinisha ushoga baina ya uislamu na ukristo?...uyahudi tuu unatambua ushoga kwny baraza la mawaziri la Netanyahu wapo mashoga...nakupa vitu fact havina uzushi wa maelekezo ya kuongea na mungu..Uislam una hukmu zake
 
Back
Top Bottom