Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.simba ya KIBU D MKANDAJIEmbu kwanza tajeni kabisa vigogo ni timu zipi maana kauli zisije kugeuka bafae. Tajeni tuwatambue vigogo kabisa
Muulize mleta uzi,unaniuliza mie tena??Embu kwanza tajeni kabisa vigogo ni timu zipi maana kauli zisije kugeuka bafae. Tajeni tuwatambue vigogo kabisa
Hata Yanga kashawahi kumfunga al Ahly Zaidi ya Mara mojaKwahiyo Simba haijawahi kuifunga El Meleikh?
Swali gani wewe? Mfungeni aliyewapiga bao 8 tuoneJibu swali
Sasa nyie ni kigogo gani mshamtoa knockout stage?Hata Yanga kashawahi kumfunga al Ahly Zaidi ya Mara moja
Naongelea knock out stage ,Simba anakutana na vibonde always,ndio maana akikutana na wababe Hua anatolewa , kila akitia pua robo Ni kipondo
Kakojoe ulale
Na Vipi Yanga akifungwa wasemaje?Hili ndio swali ninalojiuliza iwapo Yanga atatinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika na kukutana na baadhi ya vigogo na kuwafanga hapa nyumbani au ugenini kwani kwa Yanga hili linawezekana kabisa.
Hii ni kwasbabu, baada ya Yanga kutinga makundi kombe la Shirikisho na kufikia fainali, Simba walibadili wimbi wa Yanga hawawezi mechi za kimataifa, na wakaja na santuri mpya kuwa "Yanga anakutana na timu mbovu/dhaifu".
Naomba nianze kubashiri watachosema makolo;
1.Al Ahly(ikitokea tumepangwa nao), hii sio sawa na ya mwaka jana au ile iliocheza na Simba.
2. Yanga imebebwa.
3. Wamebahatisha
4.Hata sisi tuliwafunga,.,n.k
Yani bado unasafari ndefu sana ya kuufahamu mpira.... Kama hutaki endelea kukaza fuvuKipindi kile cha corona mlipopata mteremko mlikua mnajiona mmepaaataa
By the way, Al mereikh yupo daraja moja na al Hilal, kwenye ranking ya CAF Al mereikh yupo Namba 27
Wale power dynamo waliowakosa kuwabaka hata 75 Bora hawamo
Kila siku mnakutana na vihande
Nyasa big bullets
UD songo
Jwaneng galaxy
Premiero de agosto
Na sasa power dynamo
Hao wote hamna hata mmoja anaemkaribia Al mereikh
Hivyo utulie kolo ,huna jipya Zaidi ya kua kubwa jinga unaefeli form 4 kila ukireseat
HUNA AKILI.Kipindi kile cha corona mlipopata mteremko mlikua mnajiona mmepaaataa
By the way, Al mereikh yupo daraja moja na al Hilal, kwenye ranking ya CAF Al mereikh yupo Namba 27
Wale power dynamo waliowakosa kuwabaka hata 75 Bora hawamo
Kila siku mnakutana na vihande
Nyasa big bullets
UD songo
Jwaneng galaxy
Premiero de agosto
Na sasa power dynamo
Hao wote hamna hata mmoja anaemkaribia Al mereikh
Hivyo utulie kolo ,huna jipya Zaidi ya kua kubwa jinga unaefeli form 4 kila ukireseat
Zimeshuka kiwango 😁😁Hili ndio swali ninalojiuliza iwapo Yanga atatinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika na kukutana na baadhi ya vigogo na kuwafanga hapa nyumbani au ugenini kwani kwa Yanga hili linawezekana kabisa.
Hii ni kwasbabu, baada ya Yanga kutinga makundi kombe la Shirikisho na kufikia fainali, Simba walibadili wimbi wa Yanga hawawezi mechi za kimataifa, na wakaja na santuri mpya kuwa "Yanga anakutana na timu mbovu/dhaifu".
Naomba nianze kubashiri watachosema makolo;
1.Al Ahly(ikitokea tumepangwa nao), hii sio sawa na ya mwaka jana au ile iliocheza na Simba.
2. Yanga imebebwa.
3. Wamebahatisha
4.Hata sisi tuliwafunga,.,n.k
Huwa yanashindwa hata kureason kama hivi,yanabaki na mahaba niue tuHUNA AKILI.
AL MEREIKH HII AMBAYO KWAO HATA LIGI HAMNA?
JIULIZE MMEWAFUNGA KWAO AU UGENINI?TOKA MUANZE MNAPATA KUCHEZA NA WAKIMBIZI TU,[emoji23][emoji23][emoji23] NGOJA MPANGWE MAKUNDI NA KINA ÀHLY[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata msimu uliopita Yanga kila alipokuwa anashinda maneno ndio ya dizaini hayo hayo kuwa amewafunga vibonde. Lakini mwisho wa siku ligi ya vibonde ndiye iliyotoa mfalme wa michuano ya CAF. USM Alger bingwa wa CAF super cup katokea kwenye michuano ya vibondeHUNA AKILI.
AL MEREIKH HII AMBAYO KWAO HATA LIGI HAMNA?
JIULIZE MMEWAFUNGA KWAO AU UGENINI?TOKA MUANZE MNAPATA KUCHEZA NA WAKIMBIZI TU,[emoji23][emoji23][emoji23] NGOJA MPANGWE MAKUNDI NA KINA ÀHLY[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani haya Mikia FC, Bwimbwi FC, Ngada FC, Ndumba FC hawakosagi sababu.Hili ndio swali ninalojiuliza iwapo Yanga atatinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika na kukutana na baadhi ya vigogo na kuwafanga hapa nyumbani au ugenini kwani kwa Yanga hili linawezekana kabisa.
Hii ni kwasbabu, baada ya Yanga kutinga makundi kombe la Shirikisho na kufikia fainali, Simba walibadili wimbi wa Yanga hawawezi mechi za kimataifa, na wakaja na santuri mpya kuwa "Yanga anakutana na timu mbovu/dhaifu".
Naomba nianze kubashiri watachosema makolo;
1.Al Ahly(ikitokea tumepangwa nao), hii sio sawa na ya mwaka jana au ile iliocheza na Simba.
2. Yanga imebebwa.
3. Wamebahatisha
4.Hata sisi tuliwafunga, n.k
Unapayuka payuka tuHUNA AKILI.
AL MEREIKH HII AMBAYO KWAO HATA LIGI HAMNA?
JIULIZE MMEWAFUNGA KWAO AU UGENINI?TOKA MUANZE MNAPATA KUCHEZA NA WAKIMBIZI TU,[emoji23][emoji23][emoji23] NGOJA MPANGWE MAKUNDI NA KINA ÀHLY[emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa yanashindwa hata kureason kama hivi,yanabaki na mahaba niue tu
Pole sana bloangu kama nimekukwaza kwa ukweli huoItoshe kusema , huna Akili
Na mpaka mfe mwaka huu, maana kuteseka mshateseka tayari