Mashindano ya CAFCL: Yanga akizifunga timu vigogo barani Afrika, Simba watakuja na kauli gani?

Mashindano ya CAFCL: Yanga akizifunga timu vigogo barani Afrika, Simba watakuja na kauli gani?

Hili ndio swali ninalojiuliza iwapo Yanga atatinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika na kukutana na baadhi ya vigogo na kuwafanga hapa nyumbani au ugenini kwani kwa Yanga hili linawezekana kabisa.

Hii ni kwasbabu, baada ya Yanga kutinga makundi kombe la Shirikisho na kufikia fainali, Simba walibadili wimbi wa Yanga hawawezi mechi za kimataifa, na wakaja na santuri mpya kuwa "Yanga anakutana na timu mbovu/dhaifu".

Naomba nianze kubashiri watachosema makolo;

1.Al Ahly(ikitokea tumepangwa nao), hii sio sawa na ya mwaka jana au ile iliocheza na Simba.

2. Yanga imebebwa.

3. Wamebahatisha

4.Hata sisi tuliwafunga,.,n.k
Na Vipi Yanga akifungwa wasemaje?
 
Kipindi kile cha corona mlipopata mteremko mlikua mnajiona mmepaaataa
By the way, Al mereikh yupo daraja moja na al Hilal, kwenye ranking ya CAF Al mereikh yupo Namba 27
Wale power dynamo waliowakosa kuwabaka hata 75 Bora hawamo
Kila siku mnakutana na vihande
Nyasa big bullets
UD songo
Jwaneng galaxy
Premiero de agosto
Na sasa power dynamo
Hao wote hamna hata mmoja anaemkaribia Al mereikh
Hivyo utulie kolo ,huna jipya Zaidi ya kua kubwa jinga unaefeli form 4 kila ukireseat
Yani bado unasafari ndefu sana ya kuufahamu mpira.... Kama hutaki endelea kukaza fuvu
 
Kipindi kile cha corona mlipopata mteremko mlikua mnajiona mmepaaataa
By the way, Al mereikh yupo daraja moja na al Hilal, kwenye ranking ya CAF Al mereikh yupo Namba 27
Wale power dynamo waliowakosa kuwabaka hata 75 Bora hawamo
Kila siku mnakutana na vihande
Nyasa big bullets
UD songo
Jwaneng galaxy
Premiero de agosto
Na sasa power dynamo
Hao wote hamna hata mmoja anaemkaribia Al mereikh
Hivyo utulie kolo ,huna jipya Zaidi ya kua kubwa jinga unaefeli form 4 kila ukireseat
HUNA AKILI.

AL MEREIKH HII AMBAYO KWAO HATA LIGI HAMNA?
JIULIZE MMEWAFUNGA KWAO AU UGENINI?TOKA MUANZE MNAPATA KUCHEZA NA WAKIMBIZI TU,[emoji23][emoji23][emoji23] NGOJA MPANGWE MAKUNDI NA KINA ÀHLY[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili ndio swali ninalojiuliza iwapo Yanga atatinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika na kukutana na baadhi ya vigogo na kuwafanga hapa nyumbani au ugenini kwani kwa Yanga hili linawezekana kabisa.

Hii ni kwasbabu, baada ya Yanga kutinga makundi kombe la Shirikisho na kufikia fainali, Simba walibadili wimbi wa Yanga hawawezi mechi za kimataifa, na wakaja na santuri mpya kuwa "Yanga anakutana na timu mbovu/dhaifu".

Naomba nianze kubashiri watachosema makolo;

1.Al Ahly(ikitokea tumepangwa nao), hii sio sawa na ya mwaka jana au ile iliocheza na Simba.

2. Yanga imebebwa.

3. Wamebahatisha

4.Hata sisi tuliwafunga,.,n.k
Zimeshuka kiwango 😁😁
 
HUNA AKILI.

AL MEREIKH HII AMBAYO KWAO HATA LIGI HAMNA?
JIULIZE MMEWAFUNGA KWAO AU UGENINI?TOKA MUANZE MNAPATA KUCHEZA NA WAKIMBIZI TU,[emoji23][emoji23][emoji23] NGOJA MPANGWE MAKUNDI NA KINA ÀHLY[emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa yanashindwa hata kureason kama hivi,yanabaki na mahaba niue tu
 
HUNA AKILI.

AL MEREIKH HII AMBAYO KWAO HATA LIGI HAMNA?
JIULIZE MMEWAFUNGA KWAO AU UGENINI?TOKA MUANZE MNAPATA KUCHEZA NA WAKIMBIZI TU,[emoji23][emoji23][emoji23] NGOJA MPANGWE MAKUNDI NA KINA ÀHLY[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata msimu uliopita Yanga kila alipokuwa anashinda maneno ndio ya dizaini hayo hayo kuwa amewafunga vibonde. Lakini mwisho wa siku ligi ya vibonde ndiye iliyotoa mfalme wa michuano ya CAF. USM Alger bingwa wa CAF super cup katokea kwenye michuano ya vibonde
 
Hili ndio swali ninalojiuliza iwapo Yanga atatinga hatua ya makundi kombe la Club Bingwa Afrika na kukutana na baadhi ya vigogo na kuwafanga hapa nyumbani au ugenini kwani kwa Yanga hili linawezekana kabisa.

Hii ni kwasbabu, baada ya Yanga kutinga makundi kombe la Shirikisho na kufikia fainali, Simba walibadili wimbi wa Yanga hawawezi mechi za kimataifa, na wakaja na santuri mpya kuwa "Yanga anakutana na timu mbovu/dhaifu".

Naomba nianze kubashiri watachosema makolo;

1.Al Ahly(ikitokea tumepangwa nao), hii sio sawa na ya mwaka jana au ile iliocheza na Simba.

2. Yanga imebebwa.

3. Wamebahatisha

4.Hata sisi tuliwafunga, n.k
Yaani haya Mikia FC, Bwimbwi FC, Ngada FC, Ndumba FC hawakosagi sababu.
 
HUNA AKILI.

AL MEREIKH HII AMBAYO KWAO HATA LIGI HAMNA?
JIULIZE MMEWAFUNGA KWAO AU UGENINI?TOKA MUANZE MNAPATA KUCHEZA NA WAKIMBIZI TU,[emoji23][emoji23][emoji23] NGOJA MPANGWE MAKUNDI NA KINA ÀHLY[emoji23][emoji23][emoji23]
Unapayuka payuka tu
Kuandika Kwa herufi kubwa mtandaoni Ni sawa na kupiga kelele
Jibu hoja ,wakati WA corona mlivyokua mnapangiwa kina Galaxy na UD songo walikua na ligi ?
 
Back
Top Bottom