Said S Yande
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 879
- 652
Tatizo ndugu kuanzia singida kwenda Dodoma nakuendelea mnacheza drafts rahisi sana.hamuwezi kushindana na watu kanda ya ziwa Uganda na Kenya.kuhusu ronardo yeye alipasuka mbele ya kasikio mwanza tukarudi na ubingwa.muulize anaikumbuka sana siku ile.Ndugu huyo kasikio mbona hajulikani?
Kwenye Online kule Kuna MKULIMA na hapo Manyanya anajulikana na wote
Morogoro Kuna bingwa anaitwa Aradini anafahamika
Huyo kasikio anacheza chumban peke yake?
Utakuwa unazungumzia madraft yenu French, huku Dar na mikoa ya kidraft hayatambulikiTatizo ndugu kuanzia singida kwenda Dodoma nakuendelea mnacheza drafts rahisi sana.hamuwezi kushindana na watu kanda ya ziwa Uganda na Kenya.kuhusu ronardo yeye alipasuka mbele ya kasikio mwanza tukarudi na ubingwa.muulize anaikumbuka sana siku ile.
Wanakaguaje? sijaelewa hapaπNi kweli watu wanakagua miguu yako..kuna watu pia walikua wanamlaumu kiwembe kwann amecheza kabla ya mashindano.. manyanya kweli noel anaogopeka watu wamefurahi mno
Nadhan baada ya Era ya kina magwelele , Shaban katoto , CR7 , huyu Sisco na kiwembe Kuna mmoja atasumbuaKa Sisco ni kajanja kajanja sana kanavizia mnoo..ila hii michezo inabidi uwe unacheza sana chek mabingwa wakipumzika kidg.. cr7 alipigika vbaya na Sisco,, nae nduli alipigika vbaya mno..Leo noel anatoka mkoa kakalishwa mno,,ila Kuna lawama kutoka Kwa timu noel kua Kuna bingwa mkubwa pale hua anatoa ishara za goli Kwa aina flani
Wanapitia playing style yko,, offensive na defensive yako Yani tricks zako Kwa ujumla.. mfano Sisco vs cr7..cr7 alipigika vbaya akachukua Ile miguu ya Sisco akaikagua upya,,walivyorudiana akapigika Sisco ndiyo kama Leo noel amefungwa alivyotoka S.katoto akamfata wakafungua dalmax wakacheza michezo yote aliyofungwa noel..hvyo zamu ijayo wakikutana inabidi kiwembe abadilike tenaWanakaguaje? sijaelewa hapaπ
Shaban katoto huyu mwamba ana balaa SanaWanapitia playing style yko,, offensive na defensive yako Yani tricks zako Kwa ujumla.. mfano Sisco vs cr7..cr7 alipigika vbaya akachukua Ile miguu ya Sisco akaikagua upya,,walivyorudiana akapigika Sisco ndiyo kama Leo noel amefungwa alivyotoka S.katoto akamfata wakafungua dalmax wakacheza michezo yote aliyofungwa noel..hvyo zamu ijayo wakikutana inabidi kiwembe abadilike tena
Nlicheka kiwembe alivyotoka kucheza kumbe alikua anavuja jasho na baridi lote lileπ..uzuri wa cr7 ni mmoja jamaa draft la droo analijua mnoo ukimshikilia rahisi kuchoropoka akikushika yy ndo huipati..ivi mkulima ni nani aseee jamaa ni zaidi ya mtu na nusu yuleNadhan baada ya Era ya kina magwelele , Shaban katoto , CR7 , huyu Sisco na kiwembe Kuna mmoja atasumbua
Mimi Ni team Sisco namkubali Sana,
Mechi ya Sisco na Kiwembe sio yakukosa ,
Yah ila mm game zake nying naona anakufa tuu Kwa kipind iki nliona alikufa Kwa noel zaidi ya 3..ila bingwa wa manyanya pale Kwa Sasa ni dogo Sisco nazani,,mamba yupo wapi aseeShaban katoto huyu mwamba ana balaa Sana
Moja kati ya mafundi wa draft niliowahi kuwaona Tanzania
Ukitoa Enzi ya Magwelele , ilikuja Enzi ya Shaban katoto
Mkulima wengine wanasema ni jamaa yuko kenyaNlicheka kiwembe alivyotoka kucheza kumbe alikua anavuja jasho na baridi lote lileπ..uzuri wa cr7 ni mmoja jamaa draft la droo analijua mnoo ukimshikilia rahisi kuchoropoka akikushika yy ndo huipati..ivi mkulima ni nani aseee jamaa ni zaidi ya mtu na nusu yule
Mkulima Yupo nje ya Tz Kwenye WhatsApp group la Draft tz anatumia jina Aman sanga Kama sikoseiNlicheka kiwembe alivyotoka kucheza kumbe alikua anavuja jasho na baridi lote lileπ..uzuri wa cr7 ni mmoja jamaa draft la droo analijua mnoo ukimshikilia rahisi kuchoropoka akikushika yy ndo huipati..ivi mkulima ni nani aseee jamaa ni zaidi ya mtu na nusu yule
Mkuu, kuna mafundi watatu wa Arusha...wallah sidhani kama hao wa Dsm wanafua dafu...let's wait natamani fainali aingie wa Dsm na ChugaUtakuwa unazungumzia madraft yenu French, huku Dar na mikoa ya kidraft hayatambuliki
Kwasasa Kuna mchakato wa kuandaa Rasimu ya mchezo wa draft na kusajiri rasmi na kupata katiba
Lakini sio Hilo draft la kanda ya ziwa,
Kila mwaka mashindano ya kitaifa ya draft huwez kukuta kutoka huko kanda ya ziwa .
Kwasasa Kuna mikoa KABISA inajulikana Ni mikoa ya kidraft na mabingwa wake wanajulikana
Ukienda Moro Kuna Aradin
Njombe Kuna Noel bingwa wa dunia
Hapa Dar ndio Kuna mabingwa Kama wote
Kwasasa Shaban katoto nasikia kashuka , nilishuhudia Fainal moja tuliandaa mabibo tukawaita mabingwa wa manyanyaYah ila mm game zake nying naona anakufa tuu Kwa kipind iki nliona alikufa Kwa noel zaidi ya 3..ila bingwa wa manyanya pale Kwa Sasa ni dogo Sisco nazani,,mamba yupo wapi asee
Wamealikwa mbona , mwaka Jana kwenye Java cup Arusha walileta fund wao akafaMkuu, kuna mafundi watatu wa Arusha...wallah sidhani kama hao wa Dsm wanafua dafu...let's wait natamani fainali aingie wa Dsm na Chuga
Safi sana. Ubunifu mzuri. Onyesheni ''live'' kupitia Youtube kama mnaweza.1. SIFA ZA WASHIRIKI
1. Mshiriki awe raia wa Tanzania.
2. Mshiriki awe ameshawahi kucheza ligi tofauti tofauti kubwa zilizowahi kuchezwa miaka ya hivi karibuni (2020-2022)
3. Awe amepitishwa na mkoa wake
4. Kabla ya kuingia kwenye mashindano lazima mchezaji athibitishe uwepo wake kabla ya tarehe 16.07.2022.
2. ZAWADI
1. PIKPIKI (2,000,000Tsh)
2. 700,000Tshs
3. 400,000Tsh
4. 200,000Tsh
MIKOA ITAKAYOTOA WACHEZAJI ( mikoa ya kidraft )
1. KILIMANJARO
2.SINGIDA
3.ZANZIBAR
4. MOROGORO
5. NJOMBE
6. ARUSHA
7. TANGA
8. DODOMA
9. IRINGA
10. MBEYA
11. SONGEA.
12. KINONDONI
13. ILALA
14. TEMEKE
15. KIGAMBONI
16. UBUNGO
MAKUNDI YATAKUWA KAMA IFUATAVYO
KUNDI A
1. NDULI
2. MJAPE
3. SAIYA
4. MOROGORO
5. ZANZIBAR
6. MBEYA
7. PLAY OFF
KUNDI B
1. AMANI SIRI
2. NYEMI
3. DG ATHUMAN
4. ARUSHA
5. IRINGA
6. PRO NASSOR
7. SONGEA( PLAY OFF)
KUNDI C
1. ISSA
2. KATOTO
3. DG ALLY
4. SONGEA
5. ARUSHA
6. MALDINI
7. NJOMBE ( PLAY OFF)
KUNDI D
1. SISCO
2. KIWEMBE
3. SWEDI
4. DG HAMISI
5. TANGA
6. DODOMA (PLAY OFF)
7. PLAYOFF
KUNDI E
1. NOEL
2. DG SHUKU
3. ALLY WHITE
4. MWARABU SPEAR
5. MOROGORO
6. SAIDI MAZIWA
7. PLAYOFF
KUNDI F
1. RONALDO
2. DG YASSIN
3. MTANGA
4. ZANZIBAR
5. TANGA
6. MBEYA(PLAY OFF)
7. PLAYOFF
KUNDI G
1. SIMBA
2. GAIDI
3. MBOMA
4. CHAULA
5. SINGIDA
6. MOSHI
7. JAMES MAPIGO
KUNDI H
1. JOHN KIPAJI
2. DG. JANJA
3. DG JAFARI
4. KWATA MWIVI
5. MASUDI
6. SHIZA
7. IRINGA ( PLAY OFF )
NB: PLAYOFF ni mlango ambao umeandaliwa kwa wachezaji ambao hawajatambuliwa na mikoa yao ila wanadhani wana nguvu na uwezo wa kushiriki mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania ambapo endapo watafuzu watapaswa kujigharamia nauli na malazi.
DATA ENTRY ANALYST.
1. Jon loso
2. Dr. Emmanuel
MAKAMISAA
1. King Tofutofu- ( Kiongozi )
2. Fide ( Msaidizi )
3. Kocho
4. John Hugo
5. Charles Makofia
6. Cortinho
7. Backer manyanya
8. Richie ( Kitunda )
9. Haji Ngua
10. Ally Dogo
11. Mtanga
12. Tedbear-HAHA
13. Mood Mapeasi
14. Chande
15. Yusufu
16. Bad boy
Reserves
WAPIGA PICHA
1. Mkorea ( Manyanya )
2. Stanley ( Kitunda )
3. Dogo Hansi
4. Rilo
MRUSHA MATANGAZO kuanzia NUSU FAINALI
-LIVE YOUTUBE - Adolph
-PROJECTOR/TV ukumbini -
Juma Madevu
SHERIA ZA MASHINDANO KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2022.
1. Kufikiria sekunde 60 + Kumi za kuesabu baada ya hapo kamisaa atavuruga bao na kumpa mpinzani ushindi
2. Ikitokea umeshangilia hadi bao kuvurugika basi kamisaa atamkabidhi ushindi mpinzani wako.
3. Mchezo ukishaanza lazima uishe kwanza ndo ruhusa ya kwenda chooni itatolewa.
4. Hairuhusiwi kutumia simu wakati mchezo unaendelea.
5.Mwenye kingi moja anamamlaka ya kumvalisha mwenye kete tatu popote pale.
6. Mchezo au steps zitakazojirudia rudia mfano tatu gomea nk basi yule anayetafuta kushinda atapewa dakika tano tu endao ile kete ikishatoka step moja basi mchezo utaendelea kama kawaida.
7. Mfumo wa uchezaji kwenye Hatua ya Mtoano ( yaani 32 ) itapigwa Omary John Mshindi akipatikana mchezo umeisha, ila kama hawajafungana watacheza tege mbili ( 2 ) za muda wa kawaida nazo zikiisha sare, ndipo zitapigwa tege nne ( 4 ) goli la dhahabu mtu atakapofungwa mchezo utakuwa umeisha lakini endapo nazo zitaisha bila mshindi kupatikana sasa wataongezewa tege kwa goli la dhahabu huku wakipunguziwa muda kwa sekunde kumi tu hadi mmoja afe.
8. Kwenye Makundi endapo wachezaji watafanana points
Vitaangaliwa vigezo cmvifuatavyo
1. Tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa
2. kigezo cha matokeo yao walipokutana ( Head to Head )
3. Idadi ya magoli ya kufunga mwenye mengi ataenda
4. Kama kote huko wamefanana basi italazimika mechi ichezwe tena kati ya hao waliofanana.
9. Kitendo /vitendo vitakavyoashiria ushirikina haviruhusiwi katika mashindano na endapo mchezaji atabainika kujihusisha navyo na kamati ikijiridhisha anaweza kuondolewa katika mashindano.
10. Mchezaji hataruhusiwa kuwekea kete kivuli au kuashiria kucheza kete fulani, hesabu zote zipigwe nje ya uwanja, endapo kamisaa atajiridhisha kwamba imejengewa kivuli atakiwa kuicheza kete hiyo.
11. Endapo Mchezaji akichelewa kwa zaidi ya muda uliopangwa kamati itawasubiri kwa muda wa nusu tu, baada ya hapo atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye mashindano mpinzani wake ataendelea round inayofuata.
MFUMO WA UCHEZAJI
( hatua ya makundi )
Kwenye mzunguko kutakuwa na makundi manane (8) na wanatakiwa kupita wachezaji wanne (4) kila kundi,,
Katika kila kundi wachezaji watakutana wote yaani kila mchezaji atacheza na kila mchezaji mwenzake kwenye kundi lake,,
Kwenye Makundi michezo ni minne tu Yaani miwili kawaida na miwili tege.
Baada ya Hatua ya Makundi kuisha Utaratibu ufuatao utatumika:-
BEST 32 ROUND
Mechi A1B4
A1 vs B4
Mechi A2B3
A2 vs B3
Mechi A3B2
A3 vs B2
Mechi A4B1
A4 vs B1
Mechi C1D4
C1 vs D4
Mechi C2D3
C2 vs D3
Mechi C3D2
C3 vs D2
Mechi C4D1
C4 vs D1
Mechi E1F4
E1 vs F4
Mechi E2F3
E2 vs F3
Mechi E3F2
E3 vs F2
Mechi E4F1
E4 vs F1
Mechi G1H4
G1 vs H4
Mechi G2H3
G2 vs H3
Mechi G3H2
G3 vs H2
Mechi G4H1
G4 vs H1
BEST SIXTEEN ROUNDππ»ππ»
MECHI NAMBA BS1
Winner A1B4 vs Winner C3D2
[A1 vs B4] vs [C3 vs D2]
MECHI NAMBA BS2
Winner A2B3 vs Winner C4D1
[A2 vs B3] vs [C4 vs D1]
MECHI NAMBA BS3
Winner A3B2 vs Winner C1D4
[A3 vs B2] vs [C1 vs D4]
MECHI NAMBA BS4
Winner A4B1 vs Winner C2D3
[A4 vs B1] vs [C2 vs D3]
MECHI NAMBA BS5
Winner E1F4 vs Winner G3H2
[E1 vs F4] vs [G3 vs H2]
MECHI NAMBA BS6
Winner E2F3 vs Winner G4H1
[E2 vs F3] vs [G4 vs H1]
MECHI NAMBA BS7
Winner E3F2 vs Winner G1H4
[E3 vs F2] vs [G1 vs H4]
MECHI NAMBA BS8
Winner E4F1 vs Winner G2H3
[E4 vs F1] vs [G2 vs H3]
QUARTER FINALSππ»
MECHI NAMBA QF1
Winner BS1 vs Winner BS5
[A1B4 vs C3D2] vs [E1F4 vs G3H2]
MECHI NAMBA QF2
Winner BS2 vs Winner BS6
[A2B3 vs C4D1] vs [E2F3 vs G4H1]
MECHI NAMBA QF3
Winner BS3 vs Winner BS7
[A3B2 vs C1D4] vs [E3F2 vs G1H4]
MECHI NAMBA QF4
Winner BS4 vs Winner BS8
[A4B1 vs C2D3] vs [E4F1 vs G2H3]
SEMI FINALSππ»ππ»
MECHI NAMBA SF1
Winner QF1 vs Winner QF3
[BS1 vs BS5] vs [BS3 vs BS7]
MECHI NAMBA SF2
Winner QF2 vs Winner QF4
[BS2 vs BS6] vs [BS4 vs BS8]
THIRD RUNNERππ»ππ»
Looser SF1 vs Looser SF2
FINALππ»ππ»
Winner SF1 vs Winner SF2
Hatua ya Mtoano Zitapigwa Omary John kwa kufuata sheria namba 7 hapo juu
Wachezaji wa mikoani wafike Dar es salaam siku moja kabla ya mashindano tarehe 4.8.2022
Ligi Itaanza Rasmi Siku ya Ijumaa tarehe 5,6,7 Mwezi wa nane 2022, Saa mbili kamili Asubuhi kwenye Ukumbi wa Java Lounge Kitunda ulioko barabara ya kitunda kuelekea Kinyantila, na Siku ya kwanza kutakuwa na ufunguzi wa mashindano ambapo Tunatazamia kuwa na mgeni rasmi ( Waziri/Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa/Wilaya ama Mbunge ) Atafungua mashindano rasmi.
Sasa nyie mtafuteni huyo bingwa halafu mkishampata mleteni nimfundishe drafti. Yeye aweke jiwe mi nitaweka M1.1. SIFA ZA WASHIRIKI
1. Mshiriki awe raia wa Tanzania.
2. Mshiriki awe ameshawahi kucheza ligi tofauti tofauti kubwa zilizowahi kuchezwa miaka ya hivi karibuni (2020-2022)
3. Awe amepitishwa na mkoa wake
4. Kabla ya kuingia kwenye mashindano lazima mchezaji athibitishe uwepo wake kabla ya tarehe 16.07.2022.
2. ZAWADI
1. PIKPIKI (2,000,000Tsh)
2. 700,000Tshs
3. 400,000Tsh
4. 200,000Tsh
MIKOA ITAKAYOTOA WACHEZAJI ( mikoa ya kidraft )
1. KILIMANJARO
2.SINGIDA
3.ZANZIBAR
4. MOROGORO
5. NJOMBE
6. ARUSHA
7. TANGA
8. DODOMA
9. IRINGA
10. MBEYA
11. SONGEA.
12. KINONDONI
13. ILALA
14. TEMEKE
15. KIGAMBONI
16. UBUNGO
MAKUNDI YATAKUWA KAMA IFUATAVYO
KUNDI A
1. NDULI
2. MJAPE
3. SAIYA
4. MOROGORO
5. ZANZIBAR
6. MBEYA
7. PLAY OFF
KUNDI B
1. AMANI SIRI
2. NYEMI
3. DG ATHUMAN
4. ARUSHA
5. IRINGA
6. PRO NASSOR
7. SONGEA( PLAY OFF)
KUNDI C
1. ISSA
2. KATOTO
3. DG ALLY
4. SONGEA
5. ARUSHA
6. MALDINI
7. NJOMBE ( PLAY OFF)
KUNDI D
1. SISCO
2. KIWEMBE
3. SWEDI
4. DG HAMISI
5. TANGA
6. DODOMA (PLAY OFF)
7. PLAYOFF
KUNDI E
1. NOEL
2. DG SHUKU
3. ALLY WHITE
4. MWARABU SPEAR
5. MOROGORO
6. SAIDI MAZIWA
7. PLAYOFF
KUNDI F
1. RONALDO
2. DG YASSIN
3. MTANGA
4. ZANZIBAR
5. TANGA
6. MBEYA(PLAY OFF)
7. PLAYOFF
KUNDI G
1. SIMBA
2. GAIDI
3. MBOMA
4. CHAULA
5. SINGIDA
6. MOSHI
7. JAMES MAPIGO
KUNDI H
1. JOHN KIPAJI
2. DG. JANJA
3. DG JAFARI
4. KWATA MWIVI
5. MASUDI
6. SHIZA
7. IRINGA ( PLAY OFF )
NB: PLAYOFF ni mlango ambao umeandaliwa kwa wachezaji ambao hawajatambuliwa na mikoa yao ila wanadhani wana nguvu na uwezo wa kushiriki mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania ambapo endapo watafuzu watapaswa kujigharamia nauli na malazi.
DATA ENTRY ANALYST.
1. Jon loso
2. Dr. Emmanuel
MAKAMISAA
1. King Tofutofu- ( Kiongozi )
2. Fide ( Msaidizi )
3. Kocho
4. John Hugo
5. Charles Makofia
6. Cortinho
7. Backer manyanya
8. Richie ( Kitunda )
9. Haji Ngua
10. Ally Dogo
11. Mtanga
12. Tedbear-HAHA
13. Mood Mapeasi
14. Chande
15. Yusufu
16. Bad boy
Reserves
WAPIGA PICHA
1. Mkorea ( Manyanya )
2. Stanley ( Kitunda )
3. Dogo Hansi
4. Rilo
MRUSHA MATANGAZO kuanzia NUSU FAINALI
-LIVE YOUTUBE - Adolph
-PROJECTOR/TV ukumbini -
Juma Madevu
SHERIA ZA MASHINDANO KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2022.
1. Kufikiria sekunde 60 + Kumi za kuesabu baada ya hapo kamisaa atavuruga bao na kumpa mpinzani ushindi
2. Ikitokea umeshangilia hadi bao kuvurugika basi kamisaa atamkabidhi ushindi mpinzani wako.
3. Mchezo ukishaanza lazima uishe kwanza ndo ruhusa ya kwenda chooni itatolewa.
4. Hairuhusiwi kutumia simu wakati mchezo unaendelea.
5.Mwenye kingi moja anamamlaka ya kumvalisha mwenye kete tatu popote pale.
6. Mchezo au steps zitakazojirudia rudia mfano tatu gomea nk basi yule anayetafuta kushinda atapewa dakika tano tu endao ile kete ikishatoka step moja basi mchezo utaendelea kama kawaida.
7. Mfumo wa uchezaji kwenye Hatua ya Mtoano ( yaani 32 ) itapigwa Omary John Mshindi akipatikana mchezo umeisha, ila kama hawajafungana watacheza tege mbili ( 2 ) za muda wa kawaida nazo zikiisha sare, ndipo zitapigwa tege nne ( 4 ) goli la dhahabu mtu atakapofungwa mchezo utakuwa umeisha lakini endapo nazo zitaisha bila mshindi kupatikana sasa wataongezewa tege kwa goli la dhahabu huku wakipunguziwa muda kwa sekunde kumi tu hadi mmoja afe.
8. Kwenye Makundi endapo wachezaji watafanana points
Vitaangaliwa vigezo cmvifuatavyo
1. Tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa
2. kigezo cha matokeo yao walipokutana ( Head to Head )
3. Idadi ya magoli ya kufunga mwenye mengi ataenda
4. Kama kote huko wamefanana basi italazimika mechi ichezwe tena kati ya hao waliofanana.
9. Kitendo /vitendo vitakavyoashiria ushirikina haviruhusiwi katika mashindano na endapo mchezaji atabainika kujihusisha navyo na kamati ikijiridhisha anaweza kuondolewa katika mashindano.
10. Mchezaji hataruhusiwa kuwekea kete kivuli au kuashiria kucheza kete fulani, hesabu zote zipigwe nje ya uwanja, endapo kamisaa atajiridhisha kwamba imejengewa kivuli atakiwa kuicheza kete hiyo.
11. Endapo Mchezaji akichelewa kwa zaidi ya muda uliopangwa kamati itawasubiri kwa muda wa nusu tu, baada ya hapo atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye mashindano mpinzani wake ataendelea round inayofuata.
MFUMO WA UCHEZAJI
( hatua ya makundi )
Kwenye mzunguko kutakuwa na makundi manane (8) na wanatakiwa kupita wachezaji wanne (4) kila kundi,,
Katika kila kundi wachezaji watakutana wote yaani kila mchezaji atacheza na kila mchezaji mwenzake kwenye kundi lake,,
Kwenye Makundi michezo ni minne tu Yaani miwili kawaida na miwili tege.
Baada ya Hatua ya Makundi kuisha Utaratibu ufuatao utatumika:-
BEST 32 ROUND
Mechi A1B4
A1 vs B4
Mechi A2B3
A2 vs B3
Mechi A3B2
A3 vs B2
Mechi A4B1
A4 vs B1
Mechi C1D4
C1 vs D4
Mechi C2D3
C2 vs D3
Mechi C3D2
C3 vs D2
Mechi C4D1
C4 vs D1
Mechi E1F4
E1 vs F4
Mechi E2F3
E2 vs F3
Mechi E3F2
E3 vs F2
Mechi E4F1
E4 vs F1
Mechi G1H4
G1 vs H4
Mechi G2H3
G2 vs H3
Mechi G3H2
G3 vs H2
Mechi G4H1
G4 vs H1
BEST SIXTEEN ROUNDππ»ππ»
MECHI NAMBA BS1
Winner A1B4 vs Winner C3D2
[A1 vs B4] vs [C3 vs D2]
MECHI NAMBA BS2
Winner A2B3 vs Winner C4D1
[A2 vs B3] vs [C4 vs D1]
MECHI NAMBA BS3
Winner A3B2 vs Winner C1D4
[A3 vs B2] vs [C1 vs D4]
MECHI NAMBA BS4
Winner A4B1 vs Winner C2D3
[A4 vs B1] vs [C2 vs D3]
MECHI NAMBA BS5
Winner E1F4 vs Winner G3H2
[E1 vs F4] vs [G3 vs H2]
MECHI NAMBA BS6
Winner E2F3 vs Winner G4H1
[E2 vs F3] vs [G4 vs H1]
MECHI NAMBA BS7
Winner E3F2 vs Winner G1H4
[E3 vs F2] vs [G1 vs H4]
MECHI NAMBA BS8
Winner E4F1 vs Winner G2H3
[E4 vs F1] vs [G2 vs H3]
QUARTER FINALSππ»
MECHI NAMBA QF1
Winner BS1 vs Winner BS5
[A1B4 vs C3D2] vs [E1F4 vs G3H2]
MECHI NAMBA QF2
Winner BS2 vs Winner BS6
[A2B3 vs C4D1] vs [E2F3 vs G4H1]
MECHI NAMBA QF3
Winner BS3 vs Winner BS7
[A3B2 vs C1D4] vs [E3F2 vs G1H4]
MECHI NAMBA QF4
Winner BS4 vs Winner BS8
[A4B1 vs C2D3] vs [E4F1 vs G2H3]
SEMI FINALSππ»ππ»
MECHI NAMBA SF1
Winner QF1 vs Winner QF3
[BS1 vs BS5] vs [BS3 vs BS7]
MECHI NAMBA SF2
Winner QF2 vs Winner QF4
[BS2 vs BS6] vs [BS4 vs BS8]
THIRD RUNNERππ»ππ»
Looser SF1 vs Looser SF2
FINALππ»ππ»
Winner SF1 vs Winner SF2
Hatua ya Mtoano Zitapigwa Omary John kwa kufuata sheria namba 7 hapo juu
Wachezaji wa mikoani wafike Dar es salaam siku moja kabla ya mashindano tarehe 4.8.2022
Ligi Itaanza Rasmi Siku ya Ijumaa tarehe 5,6,7 Mwezi wa nane 2022, Saa mbili kamili Asubuhi kwenye Ukumbi wa Java Lounge Kitunda ulioko barabara ya kitunda kuelekea Kinyantila, na Siku ya kwanza kutakuwa na ufunguzi wa mashindano ambapo Tunatazamia kuwa na mgeni rasmi ( Waziri/Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa/Wilaya ama Mbunge ) Atafungua mashindano rasmi.
Nimetamani kuingia kwenye hilo groupMkulima Yupo nje ya Tz Kwenye WhatsApp group la Draft tz anatumia jina Aman sanga Kama sikosei
Huyu jamaa game zake online anatoa vipigo Sana ,
Kule online nadhan hakuna Kama Yeye