Mashirika na Miradi inayofadhiliwa na serikali ya Marekani itayoathirika na maamuzi ya Donald Trump

Mashirika na Miradi inayofadhiliwa na serikali ya Marekani itayoathirika na maamuzi ya Donald Trump

Kodi ikikusanywa vizuri kwenye sekta ya madini, Bandari na hifadhi za taifa. Halafu tukasitisha matumizi yasiyo ya lazima kama kununua mashingingi na safari za nje zisizo na kichwa Wala miguu, tutaweza kumudu vitu vya msingi kama madawa na huduma nyingine za jamii, na kuacha kuwa ombaomba..
 
Jobless people wanakwenda kuongezeka.

Hivi serikali ikisitisha ununuzi wa mashangingi tu, haiwezi fidia hilo gap?

Kama shangingi moja linafika mpaka milioni 500 au miloni 600, hizo fedha haziwezi kugharamia ununuzi wa ARV na gharama zingine zinazohusiana na miradi ya aina hii?
Je watafata huu ushauri?

Viongozi hawa walivyo walafi
 
Nimeingia website ya USAID nimekuta ni miradi mingi hasa ya afya(UKIMWI, KIFUA KIKUU, MALARIA, n.k) lakini pia kuna miradi ya mazingira, mambo ya haki za binadamu, utawala bora na demokrasia na miradi mingine mingi.

Kwa hakika hili litakuwa ni pigo kubwa labda tu watuhurumie waisiifute miradi mingi.

Sisi ni tegemezi mpaka aibu.
Magufuli alikuwa anawazindua kwamba ni muda wa kujitegemea tuache kuwategemea hao wazungu mkaanza kubweka eti anaua democrasia.

Haya kuleni democrasia sasa
 
Tuorodheshe hapa mashirika na taasisi pamoja na miradi inayofadhilwa na serikali ya Marekani ambayo itaathirika moja kwa moja na uamuzi wa serikali ya Marekani chini ya Donald Trump wa kusitisha ufafhili iwe ni kupitia shirika la misaada la Marekani (USAID Tanzania) au vinginenyo
USAID huwa hawapokei tu pesa kutoka Serikali
 
Tuorodheshe hapa mashirika na taasisi pamoja na miradi inayofadhilwa na serikali ya Marekani ambayo itaathirika moja kwa moja na uamuzi wa serikali ya Marekani chini ya Donald Trump wa kusitisha ufafhili iwe ni kupitia shirika la misaada la Marekani (USAID Tanzania) au vinginenyo
Trump ni Chizi
 
Magufuli alikuwa anawazindua kwamba ni muda wa kujitegemea tuache kuwategemea hao wazungu mkaanza kubweka eti anaua democrasia.

Haya kuleni democrasia sasa
Yeye mwenyewe alikwenda kukopa China tena mikopo ghali halafu unataka kumsifia nini hapa?

Ibrahimu Taore pekee ndio kiongozi wa mfano kwa Afrika ya sasa.
 
Kifupi DJ Trump ni disaster.
Anatufundisha kujitegemea; haiwezekani tuna umri wa almost 70 years from uhuru halafu hadi matundu ya vyoo vya shule tunataka kusaidiwa, tuache upuuzi. Tunaweza kununua magari ya anasa kwa hadi Tsh 500B halafu hatuwezi kuchimba vyoo, pumbafu. Trump katumwa na Mungu, shida kipimo cha akili
 
500 au miloni 600, hizo fedha haziwezi kugharamia ununuzi wa ARV na gharama zingine zinazohusiana na miradi ya aina hii?
Unahitaji mashang'ing'i 20 ya gharama hiyo, kufanya clandestine move ya kuwafungia Wataalamu wetu wa magonjwa na tiba sehemu kwa miaka mitatu baada ya hapo wanakuletea tiba na chanjo ya Ukimwi Tena vyote vyenye ufanisi wa 99.9%.
 
Nimeingia website ya USAID nimekuta ni miradi mingi hasa ya afya(UKIMWI, KIFUA KIKUU, MALARIA, n.k) lakini pia kuna miradi ya mazingira, mambo ya haki za binadamu, utawala bora na demokrasia na miradi mingine mingi.

Kwa hakika hili litakuwa ni pigo kubwa labda tu watuhurumie waisiifute miradi mingi.

Sisi ni tegemezi mpaka aibu.
Chadema na wazalendo hamtoathilika na chochote
 
Back
Top Bottom