Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #81
Hivi hawa ofisi zao kuu ndio ziko Mikocheni?Miradi yote ya MDH🙃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawa ofisi zao kuu ndio ziko Mikocheni?Miradi yote ya MDH🙃
Kupanga ni kuchagua. Je tununue shangingi moja kwa afisa mnene mmoja wa Serikali au tutumie fedha hizo kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu wanaohitaji matibabu ya ARV?Jobless people wanakwenda kuongezeka.
Hivi serikali ikisitisha ununuzi wa mashangingi tu, haiwezi fidia hilo gap?
Kama shangingi moja linafika mpaka milioni 500 au miloni 600, hizo fedha haziwezi kugharamia ununuzi wa ARV na gharama zingine zinazohusiana na miradi ya aina hii?
Safi sana.Tena Trump aongeze shariti la nchi kuwa na demokrasia( tume huru za uchaguzi, n.k) kabla ya misaada kurudishwa.