Mashirika na Miradi inayofadhiliwa na serikali ya Marekani itayoathirika na maamuzi ya Donald Trump

Mashirika na Miradi inayofadhiliwa na serikali ya Marekani itayoathirika na maamuzi ya Donald Trump

Nimeingia website ya USAID nimekuta ni miradi mingi hasa ya afya(UKIMWI, KIFUA KIKUU, MALARIA, n.k) lakini pia kuna miradi ya mazingira, mambo ya haki za binadamu, utawala bora na demokrasia na miradi mingine mingi.

Kwa hakika hili litakuwa ni pigo kubwa labda tu watuhurumie waisiifute miradi mingi.

Sisi ni tegemezi mpaka aibu.
Over 60 years of independence bado tunaishi kwa kutegemea misaada! Sisi ni wajinga sana, na bado tunawashangilia watu wanaofuja na kuuza rsilimali za nchi!
 
Wacha Trump atuoneshe umuhimu wa USA kwenye hii dunia kwa kujitoa maana mmezidi kushoboka na MRUSI ambae hana mambo ya Humanitarian
... tatizo ni moja, sio tu Marekani wanasitisha misaada bali hata kufuatilia Demokrasia na utawala bora pia wataacha! ... sasa mwananchi atabeba dhiki zote za kukosa misaada na utetezi dhidi ya watawala wabovu, ... mbona sisi wanyonge tayari tumeishafungwa tatu bila!!!?
 
Hela wananunulia mabasi ya CCM wakati udhibiti wa magonjwa yanayoua watanzania wengi tunategemea Marekani watusaidie.

Tumelaniwa kabisa!
Africans are useless creatures and ahuld be wiped off the face of the earth
 
Nyie kima mnawaza chaguzi tuuu ulivyo mjinga unataka Trump akuletee tume huru? Si mlisema Lissu ataileta? Leo unataka Trump akuletee? Mna akili Za kishenzi sana nyie kima.
Una hasira sana baada ya Mbowe kupigwa chini
 
Yeye mwenyewe alikwenda kukopa China tena mikopo ghali halafu unataka kumsifia nini hapa?

Ibrahimu Taore pekee ndio kiongozi wa mfano kwa Afrika ya sasa.
... huwa mnapenda zaidi mbwembwe zake za mivaaji ua vijikauli vyake?
1738060971451.png

Africa bado tunahitaji KUAMKA!
 
Yeye mwenyewe alikwenda kukopa China tena mikopo ghali halafu unataka kumsifia nini hapa?

Ibrahimu Taore pekee ndio kiongozi wa mfano kwa Afrika ya sasa.
Ulitaka aache kukopa kwa ghafla tu?
 
ARV za bure zinachangia ongezeko la maambukizi ya UKIMWI. ARV zikiwa adimu na kwa gharama watu wataogopa UKIMWI.
Wewe, ungejiuliza kwanza kwa nini Afrika ndo Kuna wagonjwa wengi wa Hiv kuliko huko Marekani na Ulaya?
Pili COVID-19 naamini imeua watu wengi sana huko Marekani na Ulaya,je unasema nini kukusu hilo? Trump anaiadhibu Who kwa sababu walishindwa kumanage hiv impacts na haongelei impact ya Hiv kwa nchi za Afrika wakati wao kama ni uzinzi Afrika haijawafikia!! Tusipende kuwa too judgemental as if siye ni saints.
 
Nimeingia website ya USAID nimekuta ni miradi mingi hasa ya afya(UKIMWI, KIFUA KIKUU, MALARIA, n.k) lakini pia kuna miradi ya mazingira, mambo ya haki za binadamu, utawala bora na demokrasia na miradi mingine mingi.

Kwa hakika hili litakuwa ni pigo kubwa labda tu watuhurumie waisiifute miradi mingi.

Sisi ni tegemezi mpaka aibu.
Lakini mkuu hiyo miradi tangu ianze imeleta nini kipya Cha kunufaisha taifa Kwa ujumla?
Ukimwi ndo umekolea,umaskini upon pale pale,demokrasia Africa ndo alnacha
Labda baadhi ya watu kuongezeka vitambi na akaunti zao kuzidiwa na noti zisizo na idadi
Inafikia mpaka ujenzi wa choo Cha shule kinajengwa Kwa msaada wa USAID miaka 60 bado tunalia na USAID?
FUNGA TU HIYO USAID
 
Suluhisho litaletwa na nani?

Magufuli alikuwa wa kuungwa mkono ila kwa sababu Sisi ni wapumbavu na akili za kitumwa tukaona anatupeleka shimoni
Walisema ni kichaa, ila hayo maamuzi ya Trump kama angekua kayafanya Magufuli wangesema ni kichaa.
 
Kunà mwafrika ànayeogopa ukimwi?
Mbongo anafanya sana ngono zembe ila akisikia mtu ana ukimwi ndio anaogopa kufanya nae ngono et kwa kuogopa kuambukizwa ukimwi, wakati huo yeye hajapima kujua afya yake na mshiriki wa ngono zembe.
 
... tatizo ni moja, sio tu Marekani wanasitisha misaada bali hata kufuatilia Demokrasia na utawala bora pia wataacha! ... sasa mwananchi atabeba dhiki zote za kukosa misaada na utetezi dhidi ya watawala wabovu, ... mbona sisi wanyonge tayari tumeishafungwa tatu bila!!!?
Kuna vitu tunaweza kuona ni misaada ila athari zake hutujenga hali ya ujinga na kujiona hatuwezi kufanya wenyewe, kama hata kudai baadhi ya haki zetu ndani ya nchi yetu tutegemee kupewa msaada na wengine hilo ni tatizo hututia ujinga.
 
Hela wananunulia mabasi ya CCM wakati udhibiti wa magonjwa yanayoua watanzania wengi tunategemea Marekani watusaidie.

Tumelaniwa kabisa!
Ni vitu vingi vya ajabu tunafanya waafrika na serikali zetu wakati tuna raslimali za kutosha kutoka misiti, bahari ,mbuga za wanyama, mito ,fikiria tu china kipindi like magufuli alishika meli yao. Kupitia bahari tu kuna billions of money. Why tuna rasilimali za kutosha lakini hatuwezi kutumia? Hata zikikusanywa zinaibiwa.
,
 
Back
Top Bottom