johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Alimuachia TrumpAlimuachia nani hilo suluhisho kabla hajayatoroka maisha na kujifia?
Trump awarejesha Kazini Watumishi na Wanajeshi waliogoma kuchanja COVID-19 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimuachia TrumpAlimuachia nani hilo suluhisho kabla hajayatoroka maisha na kujifia?
Honestly suala la jobless si la D.TRUMP, hilo ni tatizo la tz la kuegemea misaada na kujisahau.Jobless people wanakwenda kuongezeka.
Hivi serikali ikisitisha ununuzi wa mashangingi tu, haiwezi fidia hilo gap?
Kama shangingi moja linafika mpaka milioni 500 au miloni 600, hizo fedha haziwezi kugharamia ununuzi wa ARV na gharama zingine zinazohusiana na miradi ya aina hii?
pesa ya reasearch tu kwenye project kubwa haitoshi hatupelekiUnahitaji mashang'ing'i 20 ya gharama hiyo, kufanya clandestine move ya kuwafungia Wataalamu wetu wa magonjwa na tiba sehemu kwa miaka mitatu baada ya hapo wanakuletea tiba na chanjo ya Ukimwi Tena vyote vyenye ufanisi wa 99.9%.
Serikali yetu imejaribu lini na matokeo yake yakawa mabovu? Ni vipaumbele tu! Kama ARV Kuna kupata kamisheni ...hawahangaiki na kutafuta tiba ama chanjo zitakazoondoz kamisheni hiyo nadhani!pesa ya reasearch tu kwenye project kubwa haitoshi hatupeleki
Na ingekuwa rahisi kiasi hiko serikal nyingo duniani zingeshafanya
One time sua walikuwa wanafanya such reasearch although wao wali major kwneye kilimo zaidi, (sifaham kada zingine)Serikali yetu imejaribu lini na matokeo yake yakawa mabovu? Ni vipaumbele tu! Kama ARV Kuna kupata kamisheni ...hawahangaiki na kutafuta tiba ama chanjo zitakazoondoz kamisheni hiyo nadhani!
🤣 🤣 🤣Kabisa.Watufundishe umuhimu wao hapa duniani.Unakuta mtu mzima amechachamaza misuli anawasifia wachina na warusi halafu matusi anaporomosha kwa USA na wazungu wa Europe.Waminye kitufe hadi heshima itangulie mbele kama matiti ya msichana.
Tusihofu wachina na waarabu pia watatusaidia maana ndo tunaowasifia na kuwahusudu sana siku hizi kwamba wako karibu na sisi wabongo!Wacha Trump atuoneshe umuhimu wa USA kwenye hii dunia kwa kujitoa maana mmezidi kushoboka na MRUSI ambae hana mambo ya Humanitarian
Think twice sir.ARV za bure zinachangia ongezeko la maambukizi ya UKIMWI. ARV zikiwa adimu na kwa gharama watu wataogopa UKIMWI.
HahahahaMagufuli alikuwa anawazindua kwamba ni muda wa kujitegemea tuache kuwategemea hao wazungu mkaanza kubweka eti anaua democrasia.
Haya kuleni democrasia sasa
That's it, straight and clear.Think twice sir.
Suluhisho litaletwa na nani?Kwa hiyo tuanze kuzungumzia marehemu badala ya kutafuta suluhisho?Sivyo?
Kwa hiyo ni yeye tu alikuwa "mbarikiwa wa Bwana" tuliopo ni karunguyeye tu?Suluhisho litaletwa na nani?
Magufuli alikuwa wa kuungwa mkono ila kwa sababu Sisi ni wapumbavu na akili za kitumwa tukaona anatupeleka shimoni
Kila safari ina mwanzo. Kama wapo hao wengine wataje tuone impact yaoKwa hiyo ni yeye tu alikuwa "mbarikiwa wa Bwana" tuliopo ni karunguyeye tu?
Nyie kima mnawaza chaguzi tuuu ulivyo mjinga unataka Trump akuletee tume huru? Si mlisema Lissu ataileta? Leo unataka Trump akuletee? Mna akili Za kishenzi sana nyie kima.Tena Trump aongeze shariti la nchi kuwa na demokrasia( tume huru za uchaguzi, n.k) kabla ya misaada kurudishwa.
Huwa hawatajwi bila maono.Huinuliwa pasipo hata katiba kujua chochote.Kila safari ina mwanzo. Kama wapo hao wengine wataje tuone impact yao
Ujinga tu, miaka ya 90 hakukuwa na ARV Mbona maambukizi mapya ndio yalizidi?ARV za bure zinachangia ongezeko la maambukizi ya UKIMWI. ARV zikiwa adimu na kwa gharama watu wataogopa UKIMWI.
Kwahiyo watu wanafanya ngono zembe kwa hisana ya kodi za watu wa Marekan.Ujinga tu, miaka ya 90 hakukuwa na ARV Mbona maambukizi mapya ndio yalizidi?
Zikifutwa ARV za bure hapa Tanzania patachimbika. Itakuwa ni hatari kubwa mno.
Hawa watoto wa 2000 hawaogopi UKIMWIARV za bure zinachangia ongezeko la maambukizi ya UKIMWI. ARV zikiwa adimu na kwa gharama watu wataogopa UKIMWI.