Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Tuombe iwe hivyo.Laa sivyo,wagonjwa wataanza kugawana kidonge kimoja kama wanafunzi wanagawana visheti ilimradi kila mmoja apate kidogo.Watu wakiona wenye ngwengwe wakihangaika bila ARV watazingatia ngono salama.
Zero brain kabisaARV za bure zinachangia ongezeko la maambukizi ya UKIMWI. ARV zikiwa adimu na kwa gharama watu wataogopa UKIMWI.
Waliokuzaa tutawaitaje?Zero brain kabisa
Je watafata huu ushauri?Jobless people wanakwenda kuongezeka.
Hivi serikali ikisitisha ununuzi wa mashangingi tu, haiwezi fidia hilo gap?
Kama shangingi moja linafika mpaka milioni 500 au miloni 600, hizo fedha haziwezi kugharamia ununuzi wa ARV na gharama zingine zinazohusiana na miradi ya aina hii?
Magufuli alikuwa anawazindua kwamba ni muda wa kujitegemea tuache kuwategemea hao wazungu mkaanza kubweka eti anaua democrasia.Nimeingia website ya USAID nimekuta ni miradi mingi hasa ya afya(UKIMWI, KIFUA KIKUU, MALARIA, n.k) lakini pia kuna miradi ya mazingira, mambo ya haki za binadamu, utawala bora na demokrasia na miradi mingine mingi.
Kwa hakika hili litakuwa ni pigo kubwa labda tu watuhurumie waisiifute miradi mingi.
Sisi ni tegemezi mpaka aibu.
Kwa hiyo tuanze kuzungumzia marehemu badala ya kutafuta suluhisho?Sivyo?Magufuli alikuwa anawazindua kwamba ni muda wa kujitegemea tuache kuwategemea hao wazungu mkaanza kubweka eti anaua democrasia.
Haya kuleni democrasia sasa
USAID huwa hawapokei tu pesa kutoka SerikaliTuorodheshe hapa mashirika na taasisi pamoja na miradi inayofadhilwa na serikali ya Marekani ambayo itaathirika moja kwa moja na uamuzi wa serikali ya Marekani chini ya Donald Trump wa kusitisha ufafhili iwe ni kupitia shirika la misaada la Marekani (USAID Tanzania) au vinginenyo
Trump ni ChiziTuorodheshe hapa mashirika na taasisi pamoja na miradi inayofadhilwa na serikali ya Marekani ambayo itaathirika moja kwa moja na uamuzi wa serikali ya Marekani chini ya Donald Trump wa kusitisha ufafhili iwe ni kupitia shirika la misaada la Marekani (USAID Tanzania) au vinginenyo
Yeye mwenyewe alikwenda kukopa China tena mikopo ghali halafu unataka kumsifia nini hapa?Magufuli alikuwa anawazindua kwamba ni muda wa kujitegemea tuache kuwategemea hao wazungu mkaanza kubweka eti anaua democrasia.
Haya kuleni democrasia sasa
Anatufundisha kujitegemea; haiwezekani tuna umri wa almost 70 years from uhuru halafu hadi matundu ya vyoo vya shule tunataka kusaidiwa, tuache upuuzi. Tunaweza kununua magari ya anasa kwa hadi Tsh 500B halafu hatuwezi kuchimba vyoo, pumbafu. Trump katumwa na Mungu, shida kipimo cha akiliKifupi DJ Trump ni disaster.
wamelaaniwa kabisa1Hela wananunulia mabasi ya CCM wakati udhibiti wa magonjwa yanayoua watanzania wengi tunategemea Marekani watusaidie.
Tumelaniwa kabisa!
Unahitaji mashang'ing'i 20 ya gharama hiyo, kufanya clandestine move ya kuwafungia Wataalamu wetu wa magonjwa na tiba sehemu kwa miaka mitatu baada ya hapo wanakuletea tiba na chanjo ya Ukimwi Tena vyote vyenye ufanisi wa 99.9%.500 au miloni 600, hizo fedha haziwezi kugharamia ununuzi wa ARV na gharama zingine zinazohusiana na miradi ya aina hii?
coment ya kipuuzi kabisa hiiYeye mwenyewe alikwenda kukopa China tena mikopo ghali halafu unataka kumsifia nini hapa?
Ibrahimu Taore pekee ndio kiongozi wa mfano kwa Afrika ya sasa.
Suluhisho la Trump alikuwa nalo Shujaa Magufuli peke yake Africa nzima ππKwa hiyo tuanze kuzungumzia marehemu badala ya kutafuta suluhisho?Sivyo?
Alimuachia nani hilo suluhisho kabla hajayatoroka maisha na kujifia?Suluhisho la Trump alikuwa nalo Shujaa Magufuli peke yake Africa nzima ππ
Chadema na wazalendo hamtoathilika na chochoteNimeingia website ya USAID nimekuta ni miradi mingi hasa ya afya(UKIMWI, KIFUA KIKUU, MALARIA, n.k) lakini pia kuna miradi ya mazingira, mambo ya haki za binadamu, utawala bora na demokrasia na miradi mingine mingi.
Kwa hakika hili litakuwa ni pigo kubwa labda tu watuhurumie waisiifute miradi mingi.
Sisi ni tegemezi mpaka aibu.