Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

Uzi huu unanuka mavi tu hapa ptuu,na achana na mashoga certified,siku hizi Kuna wanawake wenzangu wanatoa tundu la haja kubwa kuliko papuchi yaani nawaambia fainali uzeeni mtakavyoanza kuvaa pampas washenzi nyie na vidume nyie endeleeni mtapigwa bomba bila ganzi, ndo maana joto limezidi kuwa kali hapa mjini.
 
Katika pitapita zangu za Krismasi, nilijikuta huko Mbezi kwa ndugu nikiwa nasubiri sinia la pilau na nyama ya sungura. Mazungumzo ya hapa na pale yakazua skendo inayotikisa mtaa: Jamaa mmoja alimfukuza mkewe na watoto na kuanza kuishi na "kaka poa" (shoga).

Kwa maelezo ya wenyeji, huyo kaka poa hakuonesha dalili zozote za kuwa shoga. Badala yake, alijulikana kwa shughuli nyingi zinazowaletea vijana kipato, kama ufundi wa bodaboda na kuendesha bodaboda. Mara nyingi, alionekana amekaa nje ya nyumba ya huyo kijana mwenye familia. Kumbe, usiku wa manane vijana wengine wanapotawanyika kutoka kwenye kijiwe, kaka poa huyo alikuwa wa mwisho kuondoka. Wakati huo, ndipo walikuwa wakikutana chooni kufanya yao. Mke wa jamaa alidhani mumewe anaenda kuvuta sigara!

Siku moja, mkewe aliamua kufuatilia na kufanya fumanizi. Alipogundua mke mwenza si mwanamke bali kaka poa, alijaribu kuokoa ndoa chinichini kwa kumpa ofa mumewe: kama "kupenda kwa mpalange" ndio tabia yake, basi awe anapata kwake kama mke halali. Hata hivyo, jamaa hakusikia, hali iliyosababisha fumanizi la pili. Safari hii, mke alitoa ultimatum: aidha yeye au kaka poa. Jamaa alivyokuwa bado hajajitambua, mke akaona bora afunge virago vyake na vya watoto na kuondoka.

Haikuchukua muda, nyumba ndogo (kaka poa) ikahamia rasmi pale nyumbani. Penzi lao lilijulikana mtaa mzima, na cha kushangaza ni kwamba kaka poa alikuwa akihudumiwa vyema kuliko hata mke na watoto walivyokuwa wakihudumiwa.

Maneno ya mtaani yalipomfikia mke wa zamani, akaamua kuwashirikisha ndugu wa mumewe. Baba mkwe na kaka wa mumewe waliingia mtaani na kumtembeza kichapo kizito kaka poa. Hadi sasa, mke amerudi nyumbani, lakini mume hajathubutu kurudi mtaa huo. Habari za chinichini zinasema mipango inaendelea ili familia ihame kabisa kutokana na aibu kubwa.

Dada zetu, mjihadhari katika ndoa hizi za sasa. Maana hizo "papuchi" zenu tayari zimepata mbadala mtaani. Kaka poa hawahitaji matumizi makubwa kama nyie, na kwa hali kama ya jamaa huyu, hata akikosa pesa anajua "mke no. 2" atakula ugali na dagaa bila manung’uniko!
Sheria zetu haziruhusu na zinatoa adhabu Kali so hawezi ishi nae hii ni chai labda wabanduane huko
 
Katika pitapita zangu za Krismasi, nilijikuta huko Mbezi kwa ndugu nikiwa nasubiri sinia la pilau na nyama ya sungura. Mazungumzo ya hapa na pale yakazua skendo inayotikisa mtaa: Jamaa mmoja alimfukuza mkewe na watoto na kuanza kuishi na "kaka poa" (shoga).

Kwa maelezo ya wenyeji, huyo kaka poa hakuonesha dalili zozote za kuwa shoga. Badala yake, alijulikana kwa shughuli nyingi zinazowaletea vijana kipato, kama ufundi wa bodaboda na kuendesha bodaboda. Mara nyingi, alionekana amekaa nje ya nyumba ya huyo kijana mwenye familia. Kumbe, usiku wa manane vijana wengine wanapotawanyika kutoka kwenye kijiwe, kaka poa huyo alikuwa wa mwisho kuondoka. Wakati huo, ndipo walikuwa wakikutana chooni kufanya yao. Mke wa jamaa alidhani mumewe anaenda kuvuta sigara!

Siku moja, mkewe aliamua kufuatilia na kufanya fumanizi. Alipogundua mke mwenza si mwanamke bali kaka poa, alijaribu kuokoa ndoa chinichini kwa kumpa ofa mumewe: kama "kupenda kwa mpalange" ndio tabia yake, basi awe anapata kwake kama mke halali. Hata hivyo, jamaa hakusikia, hali iliyosababisha fumanizi la pili. Safari hii, mke alitoa ultimatum: aidha yeye au kaka poa. Jamaa alivyokuwa bado hajajitambua, mke akaona bora afunge virago vyake na vya watoto na kuondoka.

Haikuchukua muda, nyumba ndogo (kaka poa) ikahamia rasmi pale nyumbani. Penzi lao lilijulikana mtaa mzima, na cha kushangaza ni kwamba kaka poa alikuwa akihudumiwa vyema kuliko hata mke na watoto walivyokuwa wakihudumiwa.

Maneno ya mtaani yalipomfikia mke wa zamani, akaamua kuwashirikisha ndugu wa mumewe. Baba mkwe na kaka wa mumewe waliingia mtaani na kumtembeza kichapo kizito kaka poa. Hadi sasa, mke amerudi nyumbani, lakini mume hajathubutu kurudi mtaa huo. Habari za chinichini zinasema mipango inaendelea ili familia ihame kabisa kutokana na aibu kubwa.

Dada zetu, mjihadhari katika ndoa hizi za sasa. Maana hizo "papuchi" zenu tayari zimepata mbadala mtaani. Kaka poa hawahitaji matumizi makubwa kama nyie, na kwa hali kama ya jamaa huyu, hata akikosa pesa anajua "mke no. 2" atakula ugali na dagaa bila manung’uniko!
Wanawake waliobahatika na ndoa wajifunze, alisikika mlevi mmoja nikiwa Arusha sehemu moja inatwa blue stone baada ya kumaliza session pale AICC nikapita kujipa raha nikamsikia kwa masikio yangu mawili kwamba mashoga wanajua kupenda tena umpate aliyeelimika yaan unapendwa hadi raha ila sio hao wanaojichubua kwa kweli, mwenzake akadakia kuwa wanawake ni stress midomo sanaa yaan huna raha hata ya nyumba yako, tendo lenyewe unapewa kijeshi husikii hata miguno ya utamuu yaan waliongea mengi na kwa hili wanawake mjifunze kwa kweli, maana kama dyudyu inaingia mdomoni basi na kwengine inaweza pita.
 
Wanawake waliobahatika na ndoa wajifunze, alisikika mlevi mmoja nikiwa Arusha sehemu moja inatwa blue stone baada ya kumaliza session pale AICC nikapita kujipa raha nikamsikia kwa masikio yangu mawili kwamba mashoga wanajua kupenda tena umpate aliyeelimika yaan unapendwa hadi raha ila sio hao wanaojichubua kwa kweli, mwenzake akadakia kuwa wanawake ni stress midomo sanaa yaan huna raha hata ya nyumba yako, tendo lenyewe unapewa kijeshi husikii hata miguno ya utamuu yaan waliongea mengi na kwa hili wanawake mjifunze kwa kweli, maana kama dyudyu inaingia mdomoni basi na kwengine inaweza pita.
Ngoja nioshe uso mana macho hayaoni vizuri, unasema???
 
Uzi huu unanuka mavi tu hapa ptuu,na achana na mashoga certified,siku hizi Kuna wanawake wenzangu wanatoa tundu la haja kubwa kuliko papuchi yaani nawaambia fainali uzeeni mtakavyoanza kuvaa pampas washenzi nyie na vidume nyie endeleeni mtapigwa bomba bila ganzi, ndo maana joto limezidi kuwa kali hapa mjini.
Ndo maana nzi wanaizunguka simu yangu nilikuwa najiuliza shida nini? Kumbe huu uzi unanuka.

Asante bibiye Kwa kunishtua maana nina mafua nashindwa kunusa.
 
Bila kusahau wale wamama wa kiswahili wanawaita pambe na kwenye sherehe wanawakaribisha kabisa

Wakitoka hapo waanza kulaumu hakuna wanaume, wao ndio influencer wa hii culture
Au sio?

Kwahiyo Mwanamke ndio anawala witi hao wanaume?

Yaani mwanaume mwenye uume na akili timamu anaamua kumuingizia uume kwenye njia ya kinyesi mwanaume mwenzie halafu analaumiwa Mwanamke kwa kufuata asili yake ya huruma/umama?

Umeshawahi kujiuliza ni kwanini pamoja na kwamba mwanaume amekua akiishi Kama adui kwa Mwanamke tangu kuumbwa, ila Mwanamke huyu huyu ndio kinga/mlezi na mpokezi wa maovu yote na dampo la uchafu + lawama zote?

Na Bado Mwanamke hajawahi kumtenga mwanaume wala kufurahia anguko lake!

Hebu jaribu kuona uhalisia tofauti, roho mbaya na ya kisasi mliyonayo wanaume dhidi ya wanawake kama wangekua nayo wanawake dhidi yenu na hili janga la ushoga and all the progress there is katika IVF & stuff, unadhani kungekua na any male species left?

Considering the fact that wanawake ndio makasha ya kubeba hizo mimba?!

Imetosha kulaumu wanawake, how about kila mmoja abebe msalaba wake yeye mwenyewe na matendo yake bila kujali jinsia!?!
 
Au sio?

Kwahiyo Mwanamke ndio anawala witi hao wanaume?

Yaani mwanaume mwenye uume na akili timamu anaamua kumuingizia uume kwenye njia ya kinyesi mwanaume mwenzie halafu analaumiwa Mwanamke kwa kufuata asili yake ya huruma/umama?

Umeshawahi kujiuliza ni kwanini pamoja na kwamba mwanaume amekua akiishi Kama adui kwa Mwanamke tangu kuumbwa, ila Mwanamke huyu huyu ndio kinga/mlezi na mpokezi wa maovu yote na dampo la uchafu + lawama zote?

Na Bado Mwanamke hajawahi kumtenga mwanaume wala kufurahia anguko lake!

Hebu jaribu kuona uhalisia tofauti, roho mbaya na ya kisasi mliyonayo wanaume dhidi ya wanawake kama wangekua nayo wanawake dhidi yenu na hili janga la ushoga and all the progress there is katika IVF & stuff, unadhani kungekua na any male species left?

Considering the fact that wanawake ndio makasha ya kubeba hizo mimba?!

Imetosha kulaumu wanawake, how about kila mmoja abebe msalaba wake yeye mwenyewe na matendo yake bila kujali jinsia!?!
mwanaume hawezi kumuingilia mwanaume mwenzake

men don't fvck men, they're into women EXCLUSIVELY

gays fvck gays, that's how it works!

kama msamiati haupo, basi uundwe! anayemuingilia shoga SIO MWANAUME.
 
mwanaume hawezi kumuingilia mwanaume mwenzake

men don't fvck men, they're into women EXCLUSIVELY

gays fvck gays, that's how it works!

kama msamiati haupo, basi uundwe! anayemuingilia shoga SIO MWANAUME.
Na ndicho hiki mnachokera! Why impose things that ain’t there in the first place?!

Whoever told that you’re that special kiasi uundiwe msamiati mpya?! Kivipi yaani?!

Mimi naona mwanaume mwenye u.bo.o anamuingilia mwenzie mwenye u.b.o.o kama wake na wote kwa macho yangu ya nyama na fahamu zangu natambua kwamba hao ni wanaume!
Then inakuwaje unataka niamini eti sio wanaume?

Unadhani ni rahisi kuaminisha watu hizo theory zenu za wagonjwa wa akili eti sio wanaume sijui ni them, they whatever!!

This world was Exclusively created for and with only two kinds of genders, MALE & FEMALE (MWANAMUKE & MWANAMUME) hayo mengine belong to Milembe in Dodoma na C1 Bugando Mwanza huko!
 
Back
Top Bottom