Mashtaka dhidi ya Kampuni za Mawasiliano yanawezekana

Mashtaka dhidi ya Kampuni za Mawasiliano yanawezekana

GeoMex

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
5,431
Reaction score
19,913
Aisee kumbe inawezekana kabisa kuzishitaki hizi kampuni za mitandao ya simu? Manaake naona wamekua na tabia ya kujifanyia mambo kiholela sana. AY na Mwana Fa walionesha njia naona na huyu mwamba kaamu kujilipua pia.

Jamaa Alikatwa TZS 4,650/- na Tigo kimakosa, Akawashitaki TCRA kuomba Fidia milioni 200 sababu kitendo cha makato hayo kilimfanya ashindwe kuwasiliana na mteja wake na hivyo kukosa kazi.

TCRA walimpa fidia ya TZS 1.5M, Jamaa kagoma anakata rufaa.

An interesting case. 😂😂

Screenshot_20210621-133255.png
 
Not declare any interest on! Jamaa akikomaa anashinda mchana kweupe! First maamuzi ya TCRA yapo kimlungula zaidi! Second jamaa ana hoja kwasababu kazi ni humanity case and dignity! Has lifetime effect! Including persistence ya mshahara wa lifetime plus kiinua mgongo kwa mda wote ambao angetumika kazini! Hivyo basi to shorten the story JAMAA AKOMAE!!
 
Hii ndio dawa wakipata kesi kama hamsini wakalipa fidia za kutosha wataajiri vijana wenye weledi waachane na cheap labour na watakuwa makini.
 
Jamaa alikatwa TZS 4,650/- na Tigo kimakosa katika huduma ya niwezeshe.

Akawashitaki TCRA na kutaka fidia ya shilingi milioni 200 sababu kitendo cha makato hayo kilimfanya ashindwe kuwasiliana na mteja wake na hivyo kukosa kazi.

TCRA walimpa fidia ya TZS 1.5M, jamaa kagoma na amekata rufaa.

An interesting case.
IMG-20210621-WA0042.jpg
 
Ni ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja

Hizo ni hisia za wengi za kuchukulia poa mambo na kukosa uthubutu wa kudai haki zetu, huwezi kuhukumu kwamba angeweza kukopa tena ili awasiliane.

Mikopo yenyewe ina riba.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hizo ni hisia za wengi za kuchukulia poa mambo na kukosa uthubutu wa kudai haki zetu, huwezi kuhukumu kwamba angeweza kukopa tena ili awasiliane.
Sio kwamba na hukumu, its logic, na mahakamani wanabase kwenye logic and common sense huku wakizingatia msimamo wa sheria unasemaje
 
Sio kwamba na hukumu, its logic, na mahakamani wanabase kwenye logic and common sense huku wakizingatia msimamo wa sheria unasemaje

Mkopo una riba, huenda aliwasiliana na mteja kwa namna nyingine na hiyo kazi akakosa… lakini baada ya kukaliculate hilo tukio ameona kuna namna ya kuwabana na kuwapiga.

Hukumu ya kwanza umeona ameshinda, ila malipo ya fidia ni kidogo (kwa logic)…. jamaa hataki na kuna dalili atawapiga pakubwa tu.
 
Back
Top Bottom