Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama kwa rushwa au kwa kushirikiana na mawakili wa Tigo, in which case, lolote linawezekana popote pale. Ila kwa court proceedings zilizonyooka, hakuna connection ya yeye kukosa kazi na hilo la kukatwa pesa, maana huwezi kuacha kazi ya milioni 200 kisa unaogopa riba ya shs.100/=, it defies logic! Hakuna jaji ambae hajala rushwa na mwenye akili timamu, atakupa ushindiMkopo una riba, huenda aliwasiliana na mteja kwa namna nyingine na hiyo kazi akakosa… lakini baada ya kukaliculate hilo tukio ameona kuna namna ya kuwabana na kuwapiga.
Hukumu ya kwanza umeona ameshinda, ila malipo ya fidia ni kidogo (kwa logic)…. jamaa hataki na kuna dalili atawapiga pakubwa tu.
Sasa kujikosesha kazi ya milioni 200 kwa kuogopa riba ya shs.100/= ambayo baadae angeweza kuipinga kama hivi ni kosa la nani? Alalamike kukatwa pesa ila sio kukosa kazi.., huo ni uzembe wake mwenyewe.Msingi wa hoja yake kwanini wamkate kimakosa? Kama alikuwa hataki kuomba tena kwasababu hataki kuingia deni tena ni lazima?
Mkuu mimi sio mwanasheria. Lakini najua mambo sio rahisi hivyo... Kama hakuna connection kwanini kalipwa 1.5M? Kapewa kifuta machozi? Bases zipi zimetumika kumu award 1.5M?Labda kama kwa rushwa au kwa kushirikiana na mawakili wa Tigo, in which case, lolote linawezekana popote pale. Ila kwa court proceedings zilizonyooka, hakuna connection ya yeye kukosa kazi na hilo la kukatwa pesa, maana huwezi kuacha kazi ya milioni 200 kisa unaogopa riba ya shs.100/=, it defies logic! Hakuna jaji ambae hajala rushwa na mwenye akili timamu, atakupa ushindi
Kuacha kazi ya milioni 200 kwa kuogopa deni la shs.500/= ambalo angeweza kufidiwa baadae kama hivi ni mediocre na ni kuitukana mahakama, kwamba mahakama haina kazi za kufanya.Kwani lazima kukopa? Akisema kuwa hakutaka tena kuingia deni jingine?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].yericko haachi fursaaaaKwa Undani zaidi Soma kitabu cha Ujasusi wa kidola na uchumi by Yericko Nyerere
Hakuna kampuni kubwa yenye size ya Tigo wanaweza kukubali kwenda mahakamani kwa ishu ya kipuuzi kama hiyo, maana kuandikwa vibaya magazetini kunaharibu biashara, hivyo wanaweza wakakupa hata usichostahiki ili kuepuka kuchafuliwa kwenye media, use logic!Mkuu mimi sio mwanasheria. Lakini najua mambo sio rahisi hivyo... Kama hakuna connection kwanini kalipwa 1.5M? Kapewa kifuta machozi? Bases zipi zimetumika kumu award 1.5M?
Shangaa na wewe [emoji1745][emoji1745]labda TCRA wana share TigoSasa ilikuaje TCRA wakataka kumlipa wakati kesi ni yeye na tiGO?
Mkuu sheria i hope unaijua. Hebu chukua hii case scenario.Kuacha kazi ya milioni 200 kwa kuogopa deni la shs.500/= ambalo angeweza kufidiwa baadae kama hivi ni mediocre na ni kuitukana mahakama, kwamba mahakama haina kazi za kufanya.
Kwanini atumie dakika 10 wakati kukopa ni kitendo cha dakika 1?Mkuu sheria i hope unaijua. Hebu chukua hii case scenario.
John Binder ana 5000 kwenye salio (tigo wakakata kimakosa) na alikuwa na appointment ya kazi na mteja wake. Muda ulipofika alipotaka kumpigia akakuta salio limekatwa hivyo akafanya jitihada za kutafuta salio ambalo alipata (let's assume baada ya dakika 10).
Baada ya kupata salio akampigia mteja wake ambae alimwambia kuwa kutokana na yeye kutompigia simu kwa muda waliokubaliana hataweza kufanya nae tena kazi kwakuwa ameshapata mtu mwingine.
Hivyo kutokana na hali hiyo amepata hasara ya millions kutokana na kushindwa kupiga simu kwa wakati kwa makosa ya Tigo kumkata salio lake.
Haya toa hukumu hapo.
Unaona sasa mzee unapoyumba? Kukopa ni lazima?Kwanini atumie dakika 10 wakati kukopa ni kitendo cha dakika 1?
Kwanini atumie dakika 10 wakati kukopa ni kitendo cha dakika 1?
Imeshatenguliwa kwenye appel na Judge MelloKina mwana fa walilamba bilioni 2 kwa uzembe wa tigo..
Naona jamaa nae anaenda lamba milioni 200 kama utani
Imeshatenguliwa kwenye appel na Judge Mello
Tungojee kesi isikilizwe sasaJe bilioni 2 wamezirudisha? Hiyo imeshatoka hiyoo