Ni ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja
Ni ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja
Sio kwamba na hukumu, its logic, na mahakamani wanabase kwenye logic and common sense huku wakizingatia msimamo wa sheria unasemajeHizo ni hisia za wengi za kuchukulia poa mambo na kukosa uthubutu wa kudai haki zetu, huwezi kuhukumu kwamba angeweza kukopa tena ili awasiliane.
Ni ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja
Kwani lazima kukopa? Akisema kuwa hakutaka tena kuingia deni jingine?Ni ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja
Pia kampuni kama hizi huwa hazipendi kuwa zinaandikwa andikwa negatively..........maana ina athari kwenye biasharaKushinda hizi kesi na kampuni ni rahis sana . Maana wafanyakazi wa hizo kampuni wanakusaidia ili ulipwe hizo hela mgawane
Kinauzwa bei gani bro?Kwa Undani zaidi Soma kitabu cha Ujasusi wa kidola na uchumi by Yericko Nyerere
Sio kwamba na hukumu, its logic, na mahakamani wanabase kwenye logic and common sense huku wakizingatia msimamo wa sheria unasemaje