Wewe ata uki bebwa Mimi kazi yangu ndogo tu, tukikutana nahakikisha naku Kanda.We foko kweli kalilie chooni na mwiko wako huko nyuma
Bado mechi mbili tuwalipe kubebwa na refa
Hivi kilichokuuma ni lile goli au ile sarakasi?Wewe ata uki bebwa Mimi kazi yangu ndogo tu, tukikutana nahakikisha naku Kanda.
Uta tukana matusi yote ila, utake naku Kanda usitake naku Kanda ata uje na refa wako Mdoe.
Unafaa kupewa mechi za simba uchezeshe weweTimu pinzani zinatakiwa zifahamu yule refa wa kati Mdoe wa Tanga ni refa wa Simba wa mechi za ki mkakati za mikoani.
Alifanya hivyo na Dodoma JiJi Leo na Mashujaa.
Na Kuna mdau uku mitandaoni kabla ya Simba kucheza na JKT mechi iliyo Hairishwa alisema, Mashujaa wajiandae watakutana na Simba inayo chezeahwa na Mdoe ni Ngumu kuchomoka.
Na kweli baadae ikafahamika Refa wa Simba na Mashujaa ni Mdoe.
Simba wamejipanga na refa wao wa mfukoni.
Duh hili swali au jibu?Hivi kilichokuuma ni lile goli au ile sarakasi?
Usenge wao niniHuu mpira wa kibongo wakipumbavu sana.. mashujaaa wasenge sana
Shabikia draft, soka huliwezi.Kihalali mpira ulikua umeshaisha huo, mambo ya kiseng-e sana haya.
Ishu ni hiyo sarakasi
Umejibu kikubwa sana big, jamaa anaona bila matusi hawez kujibWewe ata uki bebwa Mimi kazi yangu ndogo tu, tukikutana nahakikisha naku Kanda.
Uta tukana matusi yote ila, utake naku Kanda usitake naku Kanda ata uje na refa wako Mdoe.
Tafsiri kamili ya chufa π
Hizo dak 6 zilizoongezwa hao Mashujaa wallikuwa wamefungwa miguu wasicheze? Walikuwa wanacheza Simba si ndiyo wewe Utopolo unayetoa lawama kwa refa kipuuzi kabisa. Je, angetoa penalti si ndio ungeongea hadi povu likutoke? Hata kama huipendi Simba, jaribu kuwa fair basi katika baadhi ya mambo ya ukweli. Ukiona unaumia sana Simba ikishinda, basi jitahidi kujizuia kukaa kimya, kuliko kuandika upuuzi kama huu.Kwanza alifunika Tuta bahati mbaya mshika kibendera Ali mpotezea maana tukio alikua ana kimbia nalo mpaka kwenye kibendera Cha Kona na presha ya wachezaji wa Mashujaa aka potezea.
Pili muda ulio simama mpira haukufika dk 6 lakini kwakua ni refa wa mfukoni akaweka dk 6.
Tatu kwenye muda wa nyongeza uwezi ukaweka nyongeza wakati mpira haukusimama.
Refa Mdoe ana tabia zote za refa wa zamani wa Mchongo Abdalah Kama mbuzi.
Hiyo pombe unakunywa hapo ni ya aina gani? Maana unaropoka tuuπMkuu, umeona ubao lakini au unatype tu bila kuchungulia? πππ
Ivyo vyoote ulivyo taja ukivijumlisha havifiki dk 1 na ukitaka upate muda ulio potea sio shida ni kuangalia Ile running time ya kwenye TV wakati mpira unaendelea haiongopi.Muda uliosimama mpira wewe unaupimaje?
Ulikuwa una stopwatch pembeni pale mpira ambapo unakuwa umesimama wewe huko kwako ukawa unai stop?
Hukuona matukio ya balls boys kuacha kurusha mipira ndani ili kuchelewesha muda?
Hukuona matukio ya Kocha wa Simba akiokota mipira na kuwapa Mashujaa warushe na wao wakiwa wanajivuta kwenda kupokea mpira kwake?
Hukuona mpaka Kocha akajikuta anakasirika na kuanza kuwafokea hao wachezaji wa Mashujaa kwa ushamba waliokuwa wanamfanyia?
Hukuona kuna time hadi wachezaji wa Simba iliwabidi waende kuokota mipira wenyewe kuwapa Mashujaa ili kuokoa muda?
Hukuona mipira ya kurushwa kuelekea Simba kulikuwa na ucheleweshwaji wa kimakusudi wa muda?
Sometimes unaona mchezaji wa mashujaa anatoka eneo la mbali kwenda kurusha mpira huku akitembea taratibu na akishaufikia mpira anaunyanyua ishara ya kurusha lakini baadae anauweka chini anakuja mwingine kurusha, halafu huyu anayerusha ni mtu ambaye alikuwa karibu?
Ulikuwa una stop watch?Refa huwa anasimamisha stop watch mpira ukiwa hauchezwi.Jaribu kuficha mahaba yako.Leo mnamshambulia refa na sio nyie mliocheza?Ivyo vyoote ulivyo taja ukivijumlisha havifiki dk 1 na ukitaka upate muda ulio potea sio shida ni kuangalia Ile running time ya kwenye TV wakati mpira unaendelea haiongopi.
Hii mechi haikutakiwa izidi dk 3/4 za nyongeza.
Mimi ninacho paza Sauti kwa watu wa mpira wajue kua Mdoe ni refa wa Simba wa ki mkakati na timu pinzani zielewe Mdoe akiwa kati wajue wanatakiwa wapambane na bahati iwe upande wao.Hivi kilichokuuma ni lile goli au ile sarakasi?