Yanaona hayaHahahahaah hayoooooooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanaona hayaHahahahaah hayoooooooooo
Refa anatumia stop watch wewe endelea kutazama kwenye Tv.na dakika za nyongeza haziko fixed itategemea na refa ameonaje muda uliopotea baada ya muda wa nyongeza kuonyeshwa.Ivyo vyoote ulivyo taja ukivijumlisha havifiki dk 1 na ukitaka upate muda ulio potea sio shida ni kuangalia Ile running time ya kwenye TV wakati mpira unaendelea haiongopi.
Hii mechi haikutakiwa izidi dk 3/4 za nyongeza.
Kabisa a..alishinda kuzuia hisia zake..daahhYule mtangazaji wa Azam mnafiki Sana. Alikuwa ameanza kuwaponda Simba.
Refa ana saa mbili ndugu Mbumbumbu. Ana running time ambayo Iko sawa na tunayo iona kwenye tv na stop watch.Refa anatumia stop watch wewe endelea kutazama kwenye Tv.na dakika za nyongeza haziko fixed itategemea na refa ameonaje muda uliopotea baada ya muda wa nyongeza kuonyeshwa.
Kwa hiyo Simba wameshinda kwa kuwa mwamuzi alitaka kuwapa tuta halafu akalipotezea?Kwanza alifunika Tuta bahati mbaya mshika kibendera Ali mpotezea maana tukio alikua ana kimbia nalo mpaka kwenye kibendera Cha Kona na presha ya wachezaji wa Mashujaa aka potezea.
Kweli umekosa kazi za kufanya. Yaani shabiki mtazamaji unakaa kabisa na saa na kalamu, unajumlisha muda ambao mchezo umesimama ili uje ulinganishe na muda alioongeza mwamuzi?Muda anao Simamisha mchezo wewe mtazamaji unaweza uka angalia kwenye running time ya kwenye Tv na ku rekodi sehemu na akianzisha Tena una rekodi sehemu ameanzisha muda Gani baadae una jumlisha muda wote ulio Simama unapata muda sahihi wa stop watch ya refa.
Una utani weweIvyo vyoote ulivyo taja ukivijumlisha havifiki dk 1 na ukitaka upate muda ulio potea sio shida ni kuangalia Ile running time ya kwenye TV wakati mpira unaendelea haiongopi.
Hii mechi haikutakiwa izidi dk 3/4 za nyongeza.
Kweli umekosa kazi za kufanya. Yaani shabiki mtazamaji unakaa kabisa na saa na kalamu, unajumlisha muda ambao mchezo umesimama ili uje ulinganishe na muda alioongeza mwamuzi?
Hilo lipo wazi halina UbishiGsm anatuharibia mpira 😹
Refa ana saa mbili ndugu Mbumbumbu. Ana running time ambayo Iko sawa na tunayo iona kwenye tv na stop watch.
Muda anao Simamisha mchezo wewe mtazamaji unaweza uka angalia kwenye running time ya kwenye Tv na ku rekodi sehemu na akianzisha Tena una rekodi sehemu ameanzisha muda Gani baadae una jumlisha muda wote ulio Simama unapata muda sahihi wa stop watch ya refa.
Ni akili ndogo tu na ndio ana vyo Fanya Othmani kazi kuwaelekeza watu katika kipindi chake Cha kipenga Cha mwisho.
Ushauri wa ovyo waliopewa na Yanga umewaponza.Mashujaa VS Simba SC
| NBC Premier League
Uwanja wa Lake Tanganyika
Tarehe 1 November, 2024
YesMashujaa najua matanyinywa goli na kolo atapewa penaiti lakini lazima mtafunga goli...
Mashujaa 1 kolo 1
Na bado mpaka akili ikukae sawaHuu msimu roho ikinitoka Hawa Simba watakua wamechangia kwa asilimia 90... Ngoja nitafute hela hizi stress zingine ni za kujitafutia...
Singida kama hawatacheza kama hawa wasenge wa leo watakufa mapema tuKuna mechi za mikoani Simba anaenda kudodosha point! Hivi akutane na li Singida black stars pale atatoboa kweli?
Itisha press conference we mpumelelo[emoji23][emoji23]Timu pinzani zinatakiwa zifahamu yule refa wa kati Mdoe wa Tanga ni refa wa Simba wa mechi za ki mkakati za mikoani.
Alifanya hivyo na Dodoma JiJi Leo na Mashujaa.
Na Kuna mdau uku mitandaoni kabla ya Simba kucheza na JKT mechi iliyo Hairishwa alisema, Mashujaa wajiandae watakutana na Simba inayo chezeahwa na Mdoe ni Ngumu kuchomoka.
Na kweli baadae ikafahamika Refa wa Simba na Mashujaa ni Mdoe.
Simba wamejipanga na refa wao wa mfukoni.