Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Pole sana wewe na familia yakoSimba akijitahidi ni draw ila mashujaa wakikomaa points 3 zipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana wewe na familia yakoSimba akijitahidi ni draw ila mashujaa wakikomaa points 3 zipo
Waonaje ukiwasaidiamapuuzi wanashindw kushika bomba dak moja ya mwisho
Incident gani ambayo refa wa kati ameiamua au ameiacha kuamua ambayo imeenda kuipa faida Simba ya kunufaika na kupata bao?Timu pinzani zinatakiwa zifahamu yule refa wa kati Mdoe wa Tanga ni refa wa Simba wa mechi za ki mkakati za mikoani.
Alifanya hivyo na Dodoma JiJi Leo na Mashujaa.
Na Kuna mdau uku mitandaoni kabla ya Simba kucheza na JKT mechi iliyo Hairishwa alisema, Mashujaa wajiandae watakutana na Simba inayo chezeahwa na Mdoe ni Ngumu kuchomoka.
Na kweli baadae ikafahamika Refa wa Simba na Mashujaa ni Mdoe.
Simba wamejipanga na refa wao wa mfukoni.
We foko kweli kalilie chooni na mwiko wako huko nyumaTimu pinzani zinatakiwa zifahamu yule refa wa kati Mdoe wa Tanga ni refa wa Simba wa mechi za ki mkakati za mikoani.
Alifanya hivyo na Dodoma JiJi Leo na Mashujaa.
Na Kuna mdau uku mitandaoni kabla ya Simba kucheza na JKT mechi iliyo Hairishwa alisema, Mashujaa wajiandae watakutana na Simba inayo chezeahwa na Mdoe ni Ngumu kuchomoka.
Na kweli baadae ikafahamika Refa wa Simba na Mashujaa ni Mdoe.
Simba wamejipanga na refa wao wa mfukoni.
Mkuu hebu soma tena nimesema "LEO HATUTOSIKIA"Mkuu, umeona ubao lakini au unatype tu bila kuchungulia? 😀😀😀
Kweli Simba ni Simba hata achechemee au akonde hawezi kuitwa 'mbuzi'.Simba yangu jamani 😯
Wengine umewasahau broNgoja nikusanye post za wehu wapuuzi wote
Kwanza alifunika Tuta bahati mbaya mshika kibendera Ali mpotezea maana tukio alikua ana kimbia nalo mpaka kwenye kibendera Cha Kona na presha ya wachezaji wa Mashujaa aka potezea.Incident gani ambayo refa wa kati ameiamua au ameiacha kuamua ambayo imeenda kuipa faida Simba ya kunufaika na kupata bao?
Ndio ilivyo, Bongo bila unafki watu hawakupi attentionYule mtangazaji wa Azam mnafiki Sana. Alikuwa ameanza kuwaponda Simba.
..Teh teh teh teh 😃 😃MPIRA UMEISHA MASHUNAA 0 SIMBA 0
Tumsubiri matusi kwa mzee wetu MANGUNGU.
Ungepuliza kipenga Sasa...Kihalali mpira ulikua umeshaisha huo, mambo ya kiseng-e sana haya.
Muda uliosimama mpira wewe unaupimaje?Kwanza alifunika Tuta bahati mbaya mshika kibendera Ali mpotezea maana tukio alikua ana kimbia nalo mpaka kwenye kibendera Cha Kona na presha ya wachezaji wa Mashujaa aka potezea.
Pili muda ulio simama mpira haukufika dk 6 lakini kwakua ni refa wa mfukoni akaweka dk 6.
Tatu kwenye muda wa nyongeza uwezi ukaweka nyongeza wakati mpira haukusimama.
Refa Mdoe ana tabia zote za refa wa zamani wa Mchongo Abdalah Kama mbuzi.
Kocha namuunga mkono.Hapangi timu kwa kushinikizwa.Nenda kwenye mazoezi utaona wachezaji wanaojituma.Kocha anavyopanga kikosi, itakuja kumgharimu
Pole broHuu mpira wa kibongo wakipumbavu sana.. mashujaaa wasenge sana