redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Kikubwa mikando tu, na iyo mitego yenu hatunasi tuna wa Kanda na kulipa adhabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado viatu na saaUnatukana tukana watu mtandaoni kwanini? Haya chukua vifaa ukachezeshe weweView attachment 3140762
We ulikuwa unaangalia mpira au umesimuliwa. Umesahau pale kipa wao allivyolala akidai ameumia... kolo ni kolo tu. Kila mmoja ashinde mechi zake....Kwanza alifunika Tuta bahati mbaya mshika kibendera Ali mpotezea maana tukio alikua ana kimbia nalo mpaka kwenye kibendera Cha Kona na presha ya wachezaji wa Mashujaa aka potezea.
Pili muda ulio simama mpira haukufika dk 6 lakini kwakua ni refa wa mfukoni akaweka dk 6.
Tatu kwenye muda wa nyongeza uwezi ukaweka nyongeza wakati mpira haukusimama.
Refa Mdoe ana tabia zote za refa wa zamani wa Mchongo Abdalah Kama mbuzi.
kwanza jitahidi kuangalia mpira. baada ya dk 90 kumalizika ziliongezwa 6 za nyongeza. Dk ya 93 au 94 johora aliumia na akatibiwa kwa dk 1 na sek kama 15 na refarii akaja kuzifidia. Huna akili.Kwanza alifunika Tuta bahati mbaya mshika kibendera Ali mpotezea maana tukio alikua ana kimbia nalo mpaka kwenye kibendera Cha Kona na presha ya wachezaji wa Mashujaa aka potezea.
Pili muda ulio simama mpira haukufika dk 6 lakini kwakua ni refa wa mfukoni akaweka dk 6.
Tatu kwenye muda wa nyongeza uwezi ukaweka nyongeza wakati mpira haukusimama.
Refa Mdoe ana tabia zote za refa wa zamani wa Mchongo Abdalah Kama mbuzi.
We mbwa tuIvyo vyoote ulivyo taja ukivijumlisha havifiki dk 1 na ukitaka upate muda ulio potea sio shida ni kuangalia Ile running time ya kwenye TV wakati mpira unaendelea haiongopi.
Hii mechi haikutakiwa izidi dk 3/4 za nyongeza.
1. Ile ilikuwa ni penati halali kabisa ( refa hakuweka penati eti mchezaji wa mashujaa kagusa mpira, mbona haikuwa kona sasa) unasema refa kapewa maagizo kama ni maagizo si angeshikilia msimamo wake kuwa ile ni penati nani angepinga?Kwanza alifunika Tuta bahati mbaya mshika kibendera Ali mpotezea maana tukio alikua ana kimbia nalo mpaka kwenye kibendera Cha Kona na presha ya wachezaji wa Mashujaa aka potezea.
Pili muda ulio simama mpira haukufika dk 6 lakini kwakua ni refa wa mfukoni akaweka dk 6.
Tatu kwenye muda wa nyongeza uwezi ukaweka nyongeza wakati mpira haukusimama.
Refa Mdoe ana tabia zote za refa wa zamani wa Mchongo Abdalah Kama mbuzi.