Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Aaghh wapiMkuu,tusubiri Tanzania kuwa kana dubai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaghh wapiMkuu,tusubiri Tanzania kuwa kana dubai
Nitakupa conectionNahisi ndo lishangazi nalitamanigi siku zote katika viongozi sema sina uwezo wa kulifikia 😀
Huna baya mkuu..ukweli usemweNa kuongea yaani kwa mdomo ni mchapa kazi sn lakini uhalisia ni sifuri kabisa
Nampenda alivyoMkuu uko wapi kwani? Kuna sura gani pale? Mwanamke ana mdomo kama mfuko wa meno?
Mtu mmoja hawezi leta hatma.ya mfuko.mkubwa Kama NHIF. Serikali.yenyewe ndio inalemaza mfuko. Baadae Wanatafuta mbuzi wa kafara. Utashangaa miezi sita ijayo anarudiKaharibu sana ishu ya BIMA za Afya, kaleta majanga tu
Mtendaji ni Waziri, labda useme kwa maagizo ya Rais.Ummy aliyasimamia Kwa niaba ya Rais,Waziri sio Mtendaji Bali Mtendaji ni Rais Kwa muundo wa Serikali
Hakuna Waziri anayefanya maamuzi binafsi. Yote wanayofanya ni kwa mujibu wa maelekezo ya Baraza la Mawaziri.Mtu mmoja hawezi leta hatma.ya mfuko.mkubwa Kama NHIF. Serikali.yenyewe ndio inalemaza mfuko. Baadae Wanatafuta mbuzi wa kafara. Utashangaa miezi sita ijayo anarudi
Mmezoea mediocre performance aise. 90% kwa kipi? Yule hajatoboa hata 12%.Ummy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
Kaiharibu sana bima ya afya.Ummy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
Nipe alivyoharibu, mimi naona kama alijitahidi ingawa kuna hapa na pale alimess up...... toto afya, vifurushi kuwa ghali na matibabu mengine kutokuwepo....LAKINI maamuzi kama haya kuwa dialysis, CT scan etc isiwekwe kwenye bima si yake binafsi....I stand to be correctedKaiharibu sana bima ya afya.
Ova
Fine , ni wapi hasa aliharibu mpaka kuwa awarded less than 12%Mmezoea mediocre performance aise. 90% kwa kipi? Yule hajatoboa hata 12%.
Wako Watanzania wenzetu wenye uwezo mkubwa wa kuongoza wizara na kuleta picha tofauti.
Hawa wengi wao ni wapiga zumari wa Malkia tu, lakini hawana uwezo wala maono ya kuongoza vitu nyeti kama wizara!
Kama tu walimu na kusaidia kuiba kura, hiyo ni moja ya majukumu mtu unatumwa na bosi 😹Ukiwa mteuliwa kumsifia mteule ni sehemu ya job responsibilities.
Hakuna jema alilotenda, na baya ameharibu masuala ya bima!Fine , ni wapi hasa aliharibu mpaka kuwa awarded less than 12%
Wizara ya Afya inahitaji wachapa kazi sio wanaojitahidi. Wakati mjamzito Mariam Zahoro anakufa kwa uzembe kwenye Kituo cha Afya cha Kabuku, nyote mlipiga kelele za kumsulubu, ila sasa katolewa mnalalamika.Nipe alivyoharibu, mimi naona kama alijitahidi ingawa kuna hapa na pale alimess up...... toto afya, vifurushi kuwa ghali na matibabu mengine kutokuwepo....LAKINI maamuzi kama haya kuwa dialysis, CT scan etc isiwekwe kwenye bima si yake binafsi....I stand to be corrected