Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
- Thread starter
-
- #21
Hapa nadhani tukubaliane kuwa ubinafsi ndo unawapeleka huko kwenye uongozi na wala si kutenda haki kwa waTZ wote.
Kitu kingine ni kuwa je ushaona kiongozi akienda japo kufanya checkup kwenye hospitali zetu???....Kama mambo yenyewe ni kama kwenye hiyo picha ya hospitali unadhani watadhubutu??...mambo yote, hata kupimwa miwani wanafanyia majuu...
Hospitali hizi ni zetu sisi. Yaani walengwa wa hizi hospitali ni sisi, wala siyo wao. Walengwa wa hilo jengo ni wao wala siyo sisi!
Wewe shida zako umezimaliza hadi uanze kuwahurumia wengine?
Fanya yako!
Wewe shida zako umezimaliza hadi uanze kuwahurumia wengine?
Fanya yako!
kwenye hiyo mitaa anashinda peke yake? Waliopo huko je
Na badoooo roho mbaya anayo shetani mi naiga tu
Wasanii wengi wakishapata umaarufu wanaanza kutumia madawa kuvuta mibangi sijui kwanini au kuwa maarufu ni mpaka ufanye ya ajabu
Msanii ni kioo cha Jamii.
Akisaidiwa kunasuka kwenye haya Madudu atakuwa Balozi mzuri kwa vijana wenzie.
Tafakari ndugu.
nilianza kumuona kitambo kinondoni ushoga umekolea na Tid nikajua wanapiga mambo yao na dogo Abubakary Mzuri (BSS) anafuata mkumbo wao.
jipendekezeni. awadunde kama ray c
Wafe tu wapungue bana