Masikini kuwaza kujenga nyumba ya kuishi ni umasikini pia

Masikini kuwaza kujenga nyumba ya kuishi ni umasikini pia

Kwa upande wangu kujenga sio ttzo ila ttzo ni kwamba wanakimbilia kujenga nyumba ndogo
Mtu anakimbilia kujenga af mwisho wa sku anajenga nyumba ya vyumba 2 au 3 vya kulala na kulingana na maisha yetu ya kiafrika na kitanzania mtu uyo anataka awe na mfanyakaz na bado uzazi wetu ni wawatoto weng watoto 3 kuendelea na kulingana na maisha yetu watanzania ukijenga tu lazma upate ndgu wa kuja kuishi kwako mwisho wa sku ndan ya miaka 5 to 10 nyumba ishakua ndogo inabid ujipange kuongeza nyumba ingne apo ndo wanazid kuongeza umaskini
Kwa uwelewa wangu nyumba ni kitu cha kudumu na nyumba ni kitu cha kujenga mara moja unasahau unaamia kuwaza vtu vingne ila hii ya kujenga nyumba baada ya miaka kazaa unajenga nyingne au unaongeza vyumba ni ishara ya umaskini na kutokujipanga
Ni vema utumie miaka 10 kujenga nyumba nzuri na bora
 
Mtu unajibana wee Ili ujenge nyumba ya kuishi, ukimaliza unaanza kuishi kwenye hiyo nyumba kwa tabu nyingi. Ingekuwa na maana kama kungekuwa na maisha bila kifo, umasikini uliouchochea kwa kujenga ungepambana nao kwa kuwa muda upo tu. Kama we masikini pambana uweze kipato cha uhakika ambacho ndio kitawezesha mengine ikiwamo ujenzi.
Inategemea mkuu kuna familia ina three generation lakini hakuna mwenye umiliki wa ardhi mimi nikivunja laana ya familia kuna shida gani hapo mkuu.
 
Ukitaka kuona Umuhimu wa Kujenga, Kufa alafu uache watoto wako 3 ama 4 kwenye nyumba ya Kupanga.

Hata kama unadhani ni umasikini kuanza kujenga lakini ni muhimu sana Kaka. Tafakari kwenye hilo

Hakuna Baba mwenye gari ila kuna Baba mwenye nyumba.
Wala asife hao watoto aishi nao tu kwenye nyumba za kupanga ndio ataona mziki wake.
 
Wabongo aka waturutumbi wao wanachojua uwa ni kujenga nyumba tu ndio investment, kumbe ni akili za kimaskini walizonazo. Kujenga nyumba ni investment ikiwa tu hio nyumba ni ya kupangisha sio kuishi otherwise ni liability, utumie milioni 100 uisimike tu hapo ardhini huku unapiga miayo kila siku mwishowe ufe kwa diabetes shauri ya kufakamia vyakula vya ng'ombe i.e ugali wa mahindi na maharage [emoji23] [emoji23] [emoji23] . waturutumbi aka wabongo uwa hawawazi kua hio pesa ya kujenga wangeweka fixed deposits au wangenunua bonds BOT ni investment nzuri kuliko kujenga kibanda huko kigamboni. US baby. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huko unakoishi hulipi kodi au ni bure, kumbuka ukikokotoa pesa ya upangaji kwa miaka 5 bora ungekuwa na nyumba yako ya makuti kuliko hizo gharama ulizozitumia
 
Kwa upande wangu kujenga sio ttzo ila ttzo ni kwamba wanakimbilia kujenga nyumba ndogo
Mtu anakimbilia kujenga af mwisho wa sku anajenga nyumba ya vyumba 2 au 3 vya kulala na kulingana na maisha yetu ya kiafrika na kitanzania mtu uyo anataka awe na mfanyakaz na bado uzazi wetu ni wawatoto weng watoto 3 kuendelea na kulingana na maisha yetu watanzania ukijenga tu lazma upate ndgu wa kuja kuishi kwako mwisho wa sku ndan ya miaka 5 to 10 nyumba ishakua ndogo inabid ujipange kuongeza nyumba ingne apo ndo wanazid kuongeza umaskini
Kwa uwelewa wangu nyumba ni kitu cha kudumu na nyumba ni kitu cha kujenga mara moja unasahau unaamia kuwaza vtu vingne ila hii ya kujenga nyumba baada ya miaka kazaa unajenga nyingne au unaongeza vyumba ni ishara ya umaskini na kutokujipanga
Ni vema utumie miaka 10 kujenga nyumba nzuri na bora
Kuna mtu mmoja mzito hapa nchini alishawahi kuongea hii point yako. Watu wengi wanajenga vibanda badala ya nyumba. Yaani kila kitu ni low quality. Mtu anakuambia nina nyumba na gari ila ukiiona hiyo nyumba yake na gari lake ni umaskini mtupu. Inabidi kama taifa tukae chini tukubaliane mtu anaposema ana nyumba na gari ni liwe la viwango vipi.. sio mtu ana vitz ya kizamani na kijumba cha room 3 huko swekeni kwenye kiwanja ambacho hakijapimwa na yeye anahesabika kapiga hatua. Wengine wanauziana viwanja bonde la msimbazi. Yaani inashangaza sana.
 
Hahahahhah pazito sana aese! Ila kuna watu wakisoma maelezo yako watajaa sumu sana!

Kuna mtu mmoja mzito hapa nchini alishawahi kuongea hii point yako. Watu wengi wanajenga vibanda badala ya nyumba. Yaani kila kitu ni low quality. Mtu anakuambia nina nyumba na gari ila ukiiona hiyo nyumba yake na gari lake ni umaskini mtupu. Inabidi kama taifa tukae chini tukubaliane mtu anaposema ana nyumba na gari ni liwe la viwango vipi.. sio mtu ana vitz ya kizamani na kijumba cha room 3 huko swekeni kwenye kiwanja ambacho hakijapimwa na yeye anahesabika kapiga hatua. Wengine wanauziana viwanja bonde la msimbazi. Yaani inashangaza sana.
 
Wala asife hao watoto aishi nao tu kwenye nyumba za kupanga ndio ataona mziki wake.
Unataka watu wafe kwa msongo wa mawazo 😅

Hakuna kitu inauma kama umetoka kupokea mshahara tu then unakutana na invoices ya kodi kwa Baba mwenye nyumba
 
Huko unakoishi hulipi kodi au ni bure, kumbuka ukikokotoa pesa ya upangaji kwa miaka 5 bora ungekuwa na nyumba yako ya makuti kuliko hizo gharama ulizozitumia
Huku hatujengi tuna nyumba zetu tunanunua kwa mortgage tu, na bongo nina vibanda vyangu viwili nilivijenga nilipokua Long room huko. naongelea vijana wa sasa kujenga sio deal maana life span ya bongo ni fupi bora kujiwekea fixed deposits uwe unapata marejesho kuliko kuweka milioni 200 ardhini halafu kusota waya mlo mmoja. US baby
 
Unataka watu wafe kwa msongo wa mawazo [emoji28]

Hakuna kitu inauma kama umetoka kupokea mshahara tu then unakutana na invoices ya kodi kwa Baba mwenye nyumba
Mleta mada either atakuwa wakishua au unatuektia maisha.
 
Walengwa ni wanaojenga nyumba za milioni 100 na kuendelea.

Wazee wa control number wanataka pesa zenu zisifichwe kwenye majengo.

Kazi ipo.
 
Back
Top Bottom