Hapana kwa kweli wengine humu masika tunahama ikiisha tunarudi address tunazi mbili🤣Kwani si tulikubaliana humu wote ni matajiri?!!
Eti kirikuu ikiikaribia boda anakimbia 😆 😆 😆 😆Ili usijulikane Unaweza umuambie dereva wa sijui kirikuu/guta "Na mimi niwekeni kwenye jaba"
wengi hawapandagi kwenye hio gari, anapanda kwenye boda, tena akiona inamkaribia anaikimbiaa..
Au yupo ndani hathubutu kuangalia nje.
Sema mimi inshu ninayo iona hapa ni uchafu, labda na wale wa show-off.
Bado baba wa nyumba unawaza akiona matundu ya misumali kila sehemu na ukungu wa jiko ukutani, unaweza ughaili
Mkuu hii imekaaje?Hujajua mantiki ya kuhama usiku tatizo ni kijicho kama upo vizuri unaweza kurogwa kiuchumi watu wengi ni hali mbaya hvyo watu wanaogopa kurogana tu.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ili usijulikane Unaweza umuambie dereva wa sijui kirikuu/guta "Na mimi niwekeni kwenye jaba"
wengi hawapandagi kwenye hio gari, anapanda kwenye boda, tena akiona inamkaribia anaikimbiaa..
Au yupo ndani hathubutu kuangalia nje.
Sema mimi inshu ninayo iona hapa ni uchafu, labda na wale wa show-off.
Huku nyuma nako baba wa nyumba unawaza akiona matundu ya misumali kila sehemu na ukungu wa jiko ukutani, unaweza ughaili
Tujenge tabia ya kuuza na kununua vipyaKumbukumbu
Niwewe sio waoHali hii inatokana na CCM kushindwa kuleta maendeleo kwa zaidi ya miaka 50 huku viongozi wa CCM wakitajirika.
Fridge kama haijaharibika je?Tujenge tabia ya kuuza na kununua vipya
Haiwezekani ulalie godoro miaka 5
Fridge inakaa umri wa Form 4
TV hadi iibiwe
Wao hawahami na mizigo, Dodoma, Dar, Msolwa, Tanga, Uarabuni na Zanzibar wanazo nyumba na wafanyakazi wakutunza nyumba hizo wapo muda wote na kote huko suti na viatu vipo hata mswaki pia.Niwewe sio wao
Unbadilisha unawapa wahitaji.Fridge kama haijaharibika je?
Unbadilisha unawapa wahitaji.
Unachukua kitu kipya.
Mkuu, kwa uchumi huu mgumu ni ngumu kubadilisha kitanda, wakati unalala fresh hata kama umeongezea matofali kwenye uvungu, kuzuia chaga,Tanzania hatubadilishi kitu, mtu ana kitanda au godoro la toka mwaka 1980
Pole mkuu, du wale jamaa walivyo wachafu, na wakaona vitu vyako ni uchafu basi sina la kuongeza,Nilikuwa Nimetoa Vitu Vyangu Nje Ili Nifanye Usafi Ndani.
Nilipomaliza Usafi Naambiwa Gari La Taka Limebeba.
We Acha Tu
Tutafika, lakini kumbuka kuna mtu anapanga chumba kimoja uswahili, kumudu hii unayosema ni ngumu sana,Yana mwisho hayo tunakuoelekea vitu vimeshakuwa ni vya fashion nyumba mjini ni mortgage na zipo furnished wewe unahama na wallet tu mengine unayakuta huko huko..., Afrika na nchi nyingi thirdword ndio watu wanahama na mpaka ndoo...
Tunapoelekea mtu wa kawaida hata kujenga huwezi lakini ni rahisi kuwa na mortgage kwahio hata nyumba ukiamua kila mwaka unabadilisha (ni kuongeza au kupunguza mortgage) huko tutafika sooner than we think