Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
JF ukiwa na stress niwewe tu 🤣🤣🤣🤣🤣 huu uzi ni unacheka 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Endeleeni kutuburudisha....
Endeleeni kutuburudisha....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
samani kuu kuu ni uchafu? Au hujui maana ya uchafu?🤣🤣Hakuna kinachohalalisha uchafu bosi, hata kama ni kwako na hakuna wakukuliza.
🤣🤣🤣Acha hizo mzee Ipo direct kazungumzia uchafu, na kasema kabisa inshu sio umaskini.samani kuu kuu ni uchafu? Au hujui maana ya uchafu?
Sawa me Ni masikini na msafi siku nahama kitu Cha thamani Ni godoro na sabufa baada yahapo hakuna meza Wala kitanda Wala Kochi Ni vindoo tu daa Ni aibu sanaSamahani mkuu, kwani umasikini na uchafu vinaingiliana vipi?
Au lengo lako lilikuwa kukashifu watu?
Sijajua kipimo ulichotumia kuthibitisha kuwa umasikini na uchafu vinashabihiana.
Hao matajiri unaowasifu au kuwaona leo, kumbuka nao walikuwa maskini.
Halafu jifunze kumind your own damn business, huo muda wa kufatilia mambo ya watu nao ni uchafu
🤣🤣Mda mwingne sijui watu wanaona umaskini ni sifa au hurumaa....Sawa me Ni masikini na msafi siku nahama kitu Cha thamani Ni godoro na sabufa baada yahapo hakuna meza Wala kitanda Wala Kochi Ni vindoo tu daa Ni aibu sana
Ilisha nitokea hiiGodoro ndio mtihani mkubwa kuliko yotee, inafika hatua unalazimisha godogo liingie kwenye Safleti..
Nimecheka sana mkuu ha ha ha
Hali hii inatokana na CCM kushindwa kuleta maendeleo kwa zaidi ya miaka 50 huku viongozi wa CCM wakitajirika.
Mkuu, Jf wote wako njema bhana.Masikini atateseka km nje ni mtu wa Show-off,
Mchafu wewe huna pa kuponea, maana hali ya uchumi haihalalishi uchafu hapo sasa lazima uwe na timing ya giza na majiranii.
Maana kwenye kuhama bana! watu sikuhio utaona kama wameongezeka halafu kila yule unahisi anakuangalia.
Ukiwa zako ndani ukiangalia vyombo vyako unaona mbona viko poa tuuu, jarb kuhama uonee, kila ukiviangalia pale nje unaona kama ni stoo ya nje,
Hujawahi ona Uchafu kwenye godoro, siku hio litoe uone, unakutana na bonge ya Map na visiwa vya kutosha, hujakaa sawa limepigwa na jua hutojua mende katokea wapiii......
Aaaaah ikifika hapo ndio unavikana unajisemea kimoyomoyo hivi siongozani navyoo ng'ooo, Mnagawana njia na mbebaji.
Godoro ndio mtihani mkubwa kuliko yotee, inafika hatua unalazimisha godogo liingie kwenye Safleti.
Hujuagi tangazo lile la godoro la banco alinunua babu mpaka mjukuu analitumiaTanzania hatubadilishi kitu, mtu ana kitanda au godoro la toka mwaka 1980
Kijana mbona maneno makali hivi? Au kwakuwa ulikuwa na miadi na ziraili ukaghairi? Acha lugha chafuHalafu tambua usafi unahusisha vipengele vingi kijana.
Kumbuka Kuna usafi wa roho,mwili,kiakiii.
Unaeza kuta jitu Kama wewe ni Safi kimwili ila ndani ya moyo limejaza chuki nzito Kama kinyesi.
Mi nimemfahamisha tu, afu hilo swala jingine unaeza muuliza wife yako why iam I still aliveKijana mbona maneno makali hivi? Au kwakuwa ulikuwa na miadi na ziraili ukaghairi? Acha lugha chafu
CCM ndo imesababisha uwe mchafu?Hali hii inatokana na CCM kushindwa kuleta maendeleo kwa zaidi ya miaka 50 huku viongozi wa CCM wakitajirika.