Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
“Why iam I still alive” okay!! Punguza kutafuta attention! It aint worth it,kid!Mi nimemfahamisha tu, afu hilo swala jingine unaeza muuliza wife yako why iam I still alive
Dude for real???, Hope your family iko poa 🙏🙏“Why iam I still alive” okay!! Punguza kutafuta attention! It aint worth it,kid!
Relaaax, relaaax, kunywa maji jipe muda hio hali itapita brother....Halafu tambua usafi unahusisha vipengele vingi kijana.
Kumbuka Kuna usafi wa roho,mwili,kiakiii.
Unaeza kuta jitu Kama wewe ni Safi kimwili ila ndani ya moyo limejaza chuki nzito Kama kinyesi.
DuuuIli usijulikane Unaweza umuambie dereva wa sijui kirikuu/guta "Na mimi niwekeni kwenye jaba"
wengi hawapandagi kwenye hio gari, anapanda kwenye boda, tena akiona inamkaribia anaikimbiaa.
Au yupo ndani hathubutu kuangalia nje.
Huku nyuma nako baba wa nyumba unawaza akiona matundu ya misumali kila sehemu na ukungu wa jiko ukutani, unaweza ughaili
Unafika uendako nako kuna visista duu vimekaa nje, unaweza umuambie dereva rudi reverse twende sheli.
Siku hio hata panya hawaogopi, unashagaa Panya wanadandiana juu ya kirikuu..
Unahama, ukifika kwako unajisemea alhamdulillah.
Sio lazima uvipange kwa siku mojaMim sipendi kuhama usiku kwa sababu ya kupanga vitu bora nihame mapema ili nipange vitu mapema nilale
Daaah umenichekesha sana mkuu JF ni kiboko nimerudia kusoma mara mbili mbili ujue..Ili usijulikane Unaweza umuambie dereva wa sijui kirikuu/guta "Na mimi niwekeni kwenye jaba"
wengi hawapandagi kwenye hio gari, anapanda kwenye boda, tena akiona inamkaribia anaikimbiaa.
Au yupo ndani hathubutu kuangalia nje.
Huku nyuma nako baba wa nyumba unawaza akiona matundu ya misumali kila sehemu na ukungu wa jiko ukutani, unaweza ughaili
Unafika uendako nako kuna visista duu vimekaa nje, unaweza umuambie dereva rudi reverse twende sheli.
Siku hio hata panya hawaogopi, unashagaa Panya wanadandiana juu ya kirikuu..
Unahama, ukifika kwako unajisemea alhamdulillah.
Many people do things to boost their self image that smt prove to be distrarous and distraction of their personal development. People must focus/work on inner self actualization rather than self image and recognitionUnatakiwa kuhama tu ndgu.. Epuka kuzingatia watu wasio kuhusu pindi unapotekeleza majukumu yako