Masikini na wachafu wanateseka na kuaibika sana wanapohama makazi

Masikini na wachafu wanateseka na kuaibika sana wanapohama makazi

Halafu tambua usafi unahusisha vipengele vingi kijana.
Kumbuka Kuna usafi wa roho,mwili,kiakiii.

Unaeza kuta jitu Kama wewe ni Safi kimwili ila ndani ya moyo limejaza chuki nzito Kama kinyesi.
Relaaax, relaaax, kunywa maji jipe muda hio hali itapita brother....
Jitahidi pia usiwe unakaa peke yako mda mwingi.
 
Ili usijulikane Unaweza umuambie dereva wa sijui kirikuu/guta "Na mimi niwekeni kwenye jaba"

wengi hawapandagi kwenye hio gari, anapanda kwenye boda, tena akiona inamkaribia anaikimbiaa.
Au yupo ndani hathubutu kuangalia nje.

Huku nyuma nako baba wa nyumba unawaza akiona matundu ya misumali kila sehemu na ukungu wa jiko ukutani, unaweza ughaili

Unafika uendako nako kuna visista duu vimekaa nje, unaweza umuambie dereva rudi reverse twende sheli.
Siku hio hata panya hawaogopi, unashagaa Panya wanadandiana juu ya kirikuu..

Unahama, ukifika kwako unajisemea alhamdulillah.
Duuu
 
Ili usijulikane Unaweza umuambie dereva wa sijui kirikuu/guta "Na mimi niwekeni kwenye jaba"

wengi hawapandagi kwenye hio gari, anapanda kwenye boda, tena akiona inamkaribia anaikimbiaa.
Au yupo ndani hathubutu kuangalia nje.

Huku nyuma nako baba wa nyumba unawaza akiona matundu ya misumali kila sehemu na ukungu wa jiko ukutani, unaweza ughaili

Unafika uendako nako kuna visista duu vimekaa nje, unaweza umuambie dereva rudi reverse twende sheli.
Siku hio hata panya hawaogopi, unashagaa Panya wanadandiana juu ya kirikuu..

Unahama, ukifika kwako unajisemea alhamdulillah.
Daaah umenichekesha sana mkuu JF ni kiboko nimerudia kusoma mara mbili mbili ujue..
 
Unatakiwa kuhama tu ndgu.. Epuka kuzingatia watu wasio kuhusu pindi unapotekeleza majukumu yako
Many people do things to boost their self image that smt prove to be distrarous and distraction of their personal development. People must focus/work on inner self actualization rather than self image and recognition
 
Hahahahahahaha kiukweli huu uzi haujaniacha salama... ukiwa maskini huna vitu huwa ni balaa tupu. Huwa inauma zaidi kwa sisi wazee wa kuji-brand nje kwa kuvaa vizuri na kula vizuri kumbe ndani balaa tupu... Godoro jembamba hatari hata kitanda huna. Sahani 2, vijiko 2, sufuria 2 (moja ndogo), na begi lako tu. Omba isivuje kuwa unahama hiyo siku maana majirani muda wote wanakulia timing... wakati fulani nilibahatika kuhama usiku na umeme ulikua umekatika. Hiyo siku niliona kabisa Mungu hakutaka niaibike.
 
Back
Top Bottom