mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kuna uhusiano kati ya uvivu,uchafu na umasikiniSamahani mkuu, kwani umasikini na uchafu vinaingiliana vipi?
Au lengo lako lilikuwa kukashifu watu?
Sijajua kipimo ulichotumia kuthibitisha kuwa umasikini na uchafu vinashabihiana.
Hao matajiri unaowasifu au kuwaona leo, kumbuka nao walikuwa maskini.
Halafu jifunze kumind your own damn business, huo muda wa kufatilia mambo ya watu nao ni uchafu