Masikini na wachafu wanateseka na kuaibika sana wanapohama makazi

Kuna uhusiano kati ya uvivu,uchafu na umasikini
 
Ni kwamba nchi yetu haina mipangilio; ni rahisi sana kwa mtu mwenye kipato badala ya kupangishwa na mtu akachukua mortgage bank (badala ya kulipa mwenye nyumba analipa benki siku ya siku nyumba inakuwa yake) kwa wale wasio na uwezo wa hayo kunakuwa na flats za watu masikini ambapo na bei inakuwa ya chini sana... (ingawa tulikuwa na national housing kwa ajili ya hilo jambo ingawa sasa imegeuka kuwa ya wenye pesa na sio watu wa kawaida)

Kuhusu vitu hio ni mentality Africa tunathamini sana vitu (sentimentality) ila tunapoelekea hata makochi ni fashion unabadilisha kila mwaka na nyumba nyingi zikiwa furnished hata unapohama kuna vitu itafika wakati labda kuama na vyombo vya kupikia vichache alivyokuachia bibi yako kama kumbukukumbu vingine utavikuta unapoamia.... Na uzuri wa kuwa na mortgage na nyumba kuwa liquid unaweza kuamua kuhama time yoyote kwenda sehemu yoyote na kuuza hii kununua ile wakati wowote (ukizingatia kukiwa na mipangilio hata nyumba nyingi zitakuwa saresare kila mtaa (unless wewe ni Don na serikali inakupiga Tozo ya kufa mtu
 

Halafu tambua usafi unahusisha vipengele vingi kijana.
Kumbuka Kuna usafi wa roho,mwili,kiakiii.

Unaeza kuta jitu Kama wewe ni Safi kimwili ila ndani ya moyo limejaza chuki nzito Kama kinyesi.
🤣🤣🤣Duuu we jamaaa umekua mkali sana kwenye huu uzii...

Humu unaweza ugombane mpk na masufuria hapo ulipo ukihisi kila kitu unasemwa wewe..
Relaaaax brother...
 
Nmecheka sana nikakumbuka mwaka jana jirani yangu alikua anahama mchana ,basi bwana wale wanaomuhamisha kwa guta wakawa wana nsaidie kutoa vitu nje, walipotoa godoro mara mmoja wa wale vijana akarudi kinyumenyume huku macho yanemtok akaanza kupiga kelele mtu!,mtu!.Akaja mwenye vitu vyake akauliza nini yule jamaa akajibu kuna mtu kwenye godoro ,yule mama akaingiza mkono kwenye godoro (lilikua limekunjwa) huku anasema sio mtu ni wigi hili ,akalitoa,, aisee jamaa waliishia kucheka tu
 
Mkuu hii imekaaje?
Yani urogwe kisa kuhama/mali au nini hii hoja sijaielewaa...
Yaani maisha ya ushwahilini kama upo vizuri kiuchumi ukihama mchana watu wanaona TV fridge kitanda kizuri makochi safi lazima wakupige zongo

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Umewaza nini wewe hasa ... hatareeee.
 
Hahahaha watu huwa wanasingizia oooh ukihama mchana wezi watakuchora wakat godoro alinunua Babu mpaka mjuu analitumia wataiba Nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ukiishi msisha yako bla kufuatilia wengne watasema nn juu yako ata kama ni maskini na mchafu wala hautawaza .
 
We jamaa,hebu nipe break...hahahaa!
 
😂😂😂Mtatuvunja mbavu
 
🤣🤣🤣🤣 Nmecheka hadi so poa.
Yalaaaaaaaaah
 
Eti kirikuu ikiikaribia boda anakimbia 😆 😆 😆 😆
Hapo unakuelekeza mwenye kirikuu mtaa unaohamia unamwambia akifika ashushe aulize chumba aingize ndani utaenda unamaliza kuwaaga wapangaji wenzio😂😂
 
Uzuri wanahamia walipojenga, wewe endelea kulala nyumba za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…