Kuna uhusiano kati ya uvivu,uchafu na umasikiniSamahani mkuu, kwani umasikini na uchafu vinaingiliana vipi?
Au lengo lako lilikuwa kukashifu watu?
Sijajua kipimo ulichotumia kuthibitisha kuwa umasikini na uchafu vinashabihiana.
Hao matajiri unaowasifu au kuwaona leo, kumbuka nao walikuwa maskini.
Halafu jifunze kumind your own damn business, huo muda wa kufatilia mambo ya watu nao ni uchafu
Ni kwamba nchi yetu haina mipangilio; ni rahisi sana kwa mtu mwenye kipato badala ya kupangishwa na mtu akachukua mortgage bank (badala ya kulipa mwenye nyumba analipa benki siku ya siku nyumba inakuwa yake) kwa wale wasio na uwezo wa hayo kunakuwa na flats za watu masikini ambapo na bei inakuwa ya chini sana... (ingawa tulikuwa na national housing kwa ajili ya hilo jambo ingawa sasa imegeuka kuwa ya wenye pesa na sio watu wa kawaida)Tutafika, lakini kumbuka kuna mtu anapanga chumba kimoja uswahili, kumudu hii unayosema ni ngumu sana,
Na ndio wanahama usiku, maana vitu vimechoka na ni vichafu,
Wengine wanakaa vyumba vya giza, yaani hakuna umeme, anaona vitu vyake vipo poa tu,
Siku akivitoa uwanjani kwenye mwanga, lazima avikimbie, nawapa pole wenye virikuu wanaovibebe,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Samahani mkuu, kwani umasikini na uchafu vinaingiliana vipi?
Au lengo lako lilikuwa kukashifu watu?
Sijajua kipimo ulichotumia kuthibitisha kuwa umasikini na uchafu vinashabihiana.
Hao matajiri unaowasifu au kuwaona leo, kumbuka nao walikuwa maskini.
Halafu jifunze kumind your own damn business, huo muda wa kufatilia mambo ya watu nao ni uchafu
🤣🤣🤣Duuu we jamaaa umekua mkali sana kwenye huu uzii...Halafu tambua usafi unahusisha vipengele vingi kijana.
Kumbuka Kuna usafi wa roho,mwili,kiakiii.
Unaeza kuta jitu Kama wewe ni Safi kimwili ila ndani ya moyo limejaza chuki nzito Kama kinyesi.
Mkuu umeamua kunisema kabisaKUWAOGOPA WATU AU KUWAZINGATIA NI UFINYU WA AKILI.be ur self.
🤣🤣🤣 mara wachawi watatuchoraHahahaha watu huwa wanasingizia oooh ukihama mchana wezi watakuchora wakat godoro alinunua Babu mpaka mjuu analitumia wataiba Nini🤣🤣🤣
Yaani maisha ya ushwahilini kama upo vizuri kiuchumi ukihama mchana watu wanaona TV fridge kitanda kizuri makochi safi lazima wakupige zongoMkuu hii imekaaje?
Yani urogwe kisa kuhama/mali au nini hii hoja sijaielewaa...
Umewaza nini wewe hasa ... hatareeee.Kuhama nyumba halijawahi kua jambo rahisii, hasa kama wewe ni mchafu unaweza ukimbie vyombo vyako.
Maskini si shida sana labda km ni mtu wa show-off atajihisi aibu, ila mwingne km maisha yake anayaweka level basi sio shida hasa kama ni msafi, inshu uwe mchafu.
Uwe tajiri au masikini kama ni mchafu hapo kazi unayo, hali ya kiuchumi haiwezi halalisha uchafu,
Wengi wanahama usiku kufunika kombe.
Kwenye kuhama bana! watu macho yanakua juu juu sanaa, tension inaongezekaa kwa unaowapita ×2
Ukiwa zako ndani ukiangalia vyombo vyako unaona mbona viko poa tuuu, jarb kuhama uonee, kila ukiviangalia pale nje unaona kama ni stoo ya nje,
Hujawahi ona Uchafu kwenye godoro, siku hio litoe uone, unakutana na bonge ya Map na visiwa vya kutosha, hujakaa sawa limepigwa na jua hutojua mende katokea wapiii......
Aaaaah ikifika hapo ndio unavikana unajisemea kimoyomoyo hivi siongozani navyoo ng'ooo, Mnagawana njia na mbebaji.
Godoro ndio mtihani mkubwa kuliko yotee, inafika hatua unalazimisha godogo liingie kwenye Safleti.
[emoji28][emoji28][emoji28]Hahahaha watu huwa wanasingizia oooh ukihama mchana wezi watakuchora wakat godoro alinunua Babu mpaka mjuu analitumia wataiba Nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa,hebu nipe break...hahahaa!Ili usijulikane Unaweza umuambie dereva wa sijui kirikuu/guta "Na mimi niwekeni kwenye jaba"
wengi hawapandagi kwenye hio gari, anapanda kwenye boda, tena akiona inamkaribia anaikimbiaa.
Au yupo ndani hathubutu kuangalia nje.
Huku nyuma nako baba wa nyumba unawaza akiona matundu ya misumali kila sehemu na ukungu wa jiko ukutani, unaweza ughaili.
Siku hio hata panya hawaogopi, unashagaa Panya wanadandiana juu ya kirikuu..
😂😂😂Mtatuvunja mbavuIli usijulikane Unaweza umuambie dereva wa sijui kirikuu/guta "Na mimi niwekeni kwenye jaba"
wengi hawapandagi kwenye hio gari, anapanda kwenye boda, tena akiona inamkaribia anaikimbiaa.
Au yupo ndani hathubutu kuangalia nje.
Huku nyuma nako baba wa nyumba unawaza akiona matundu ya misumali kila sehemu na ukungu wa jiko ukutani, unaweza ughaili.
Siku hio hata panya hawaogopi, unashagaa Panya wanadandiana juu ya kirikuu..
🤣🤣🤣🤣 Nmecheka hadi so poa.Kuhama nyumba halijawahi kua jambo rahisii, hasa kama wewe ni mchafu unaweza ukimbie vyombo vyako.
Umaskini km ni msafi si shida labda km ni mtu wa show-off atajihisi aibu, inshu ni uwe mchafu, hapo lazima uwe na timing ya giza na majiranii.
Maana kwenye kuhama bana! watu sikuhio utaona kama wameongezeka halafu kila yule unahisi anakuangalia.
Ukiwa zako ndani ukiangalia vyombo vyako unaona mbona viko poa tuuu, jarb kuhama uonee, kila ukiviangalia pale nje unaona kama ni stoo ya nje,
Hujawahi ona Uchafu kwenye godoro, siku hio litoe uone, unakutana na bonge ya Map na visiwa vya kutosha, hujakaa sawa limepigwa na jua hutojua mende katokea wapiii......
Aaaaah ikifika hapo ndio unavikana unajisemea kimoyomoyo hivi siongozani navyoo ng'ooo, Mnagawana njia na mbebaji.
Godoro ndio mtihani mkubwa kuliko yotee, inafika hatua unalazimisha godogo liingie kwenye Safleti.
Hapo unakuelekeza mwenye kirikuu mtaa unaohamia unamwambia akifika ashushe aulize chumba aingize ndani utaenda unamaliza kuwaaga wapangaji wenzio😂😂Eti kirikuu ikiikaribia boda anakimbia 😆 😆 😆 😆
Acha kabisa best...yani vyombo vyako unaviangalia kama sio vyakoHapo unakuelekeza mwenye kirikuu mtaa unaohamia unamwambia akifika ashushe aulize chumba aingize ndani utaenda unamaliza kuwaaga wapangaji wenzio😂😂
🤣🤣Hakuna kinachohalalisha uchafu bosi, hata kama ni kwako na hakuna wakukuliza, pia umaskini sio wakutetea sana hasa kwa sisi vijana, hatuna ila tupambane tuache kutafta huruma boss.Uzuri wanahamia walipojenga, wewe endelea kulala nyumba za watu.